Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

  • Sticky
Wakuu, Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena: Mnapoamua kufanya...
22 Reactions
44 Replies
29K Views
  • Sticky
All about Satellite tv, both FTA free to air and paytv available in Africa. Sat gear in use plus more....
86 Reactions
36K Replies
6M Views
  • Sticky
Pata kujua jinsi watu wanavyounlock modem unakaribishwa kwa maswali na utasaidiwa. BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU JAMBO HILI Wakuu Habarini! Nimekwama Hapa Jinsi Ya Ku Unlock Hii...
7 Reactions
426 Replies
144K Views
  • Sticky
Katika thread hii tutajifunza namna ya kutengeneza application za Android "from the scratch", Japokuwa kuna "platforms" mbalimbali mtandaoni ambazo zinaweza kumsaidia mtu yoyote kuunda apps hata...
54 Reactions
185 Replies
96K Views
  • Sticky
Simu yangu ya htc ilipasuka kioo, nikatafuta weee, mwisho kuna mtu humu jukwaani akanitajia fundi yupo posta anaitwa sele. nikaenda kufika kaniambua kioo kipo ila bei laki, haipungui wala nini...
68 Reactions
2K Replies
386K Views
  • Sticky
Hello Guys, Najua Mobile users wa JF wanamiss vitu ving sana vya uzuri wa JF. Mfano kuweka Rangi katika Maandishi ya Post yako au Thread. SASA KAMA UNATAKA KUWEKA rangi katika Post yako kuna...
111 Reactions
6K Replies
482K Views
  • Sticky
hapa nimeweka na nitakuwa naweka kwenye uzi huu wallpapers za jamiiforums (submitted by users) ambazo mtaweza kupamba desktop za computer zenu.... pia soon zitakuja za mobile as soon as poassible...
50 Reactions
88 Replies
80K Views
  • Sticky
Habari wakuu, Kutokana na jukwaa letu kuwa na mada nyingi nzuri japo nyingine za muda kidogo, mada maalum zinazoelezea matatizo ya kitu fulani lakini hazionekani kirahisi na kadhalika nimeomba...
21 Reactions
55 Replies
50K Views
Fridge zipo za aina tofauti kulingana na ujazo na aina ya matumizi, fuatana nami katika Makala hii fupi itakayokuongoza namna ya kuchagua kulingana na mahitaji yako; Fridge zenye pande mbili Hizi...
5 Reactions
32 Replies
790 Views
Hi? DAYS GONE ni game ambalo liliniteka kihisia na kiakili mpaka nikajihisi na mimi ni moja ya character wa mule ndani ya game mpaka siku ile namaliza mission ya mwisho najihisi kama naenda...
4 Reactions
61 Replies
1K Views
Kuna Uzi nilifungua kuhusu scam aliyotufanyia Mo Dewji, Kwa kujifanya account yake ilikuwa hacked, na wengi tulifahamu baada ya Kanye west kutufumbua macho. McAfee aliwahi kusema alikuwa na uwezo...
29 Reactions
901 Replies
18K Views
HABARI WANDUGU NAPENDA ULIZIA MATUMIZI YA RICE COOKER YA 1.8L , IKIWA INAPIKIWA MCHANA NA USIKU YAANI INATUMIKA MARA 2 KWA SIKU , JE UMEME WA 5000 UTAFAA KWA SIKU 30 ? AU NI KUBWA SANA ...
2 Reactions
46 Replies
3K Views
Japan kutuma chombo kwenda kusafisha Anga kwenye roketi zilizokufa Shirika la Anga toka Japan Astrocale inakabiliana na tishio la kuongoezeka kwa takataka Angani na kuamua kuzindua Misheni ya...
3 Reactions
6 Replies
183 Views
Jinsi ya Kuepuka Kutapeliwa Online Katika dunia ya kidigitali, kuna fursa nyingi za kufanya biashara, kupata huduma, na hata kujifunza. Lakini pamoja na faida hizi, kuna pia hatari ya kutapeliwa...
1 Reactions
2 Replies
41 Views
Wakuu naomba anaeweza kueleza vizuri kuhusu theory ya relativity ya Einstein aje. Nilisoma physics Advance lakini niwe mkweli nilikariri. Nimeangali tutorials nyingi lakini bado sielewi. Mwenye...
0 Reactions
2 Replies
62 Views
Je, uhai lazima uwe na macho? Lazima utambe au uruke? Au unaweza kuwa kitu tulivu, kinachostawi gizani, kikienea polepole kwa mamia ya karne bila mtu yeyote kugundua? Katika simulizi ya ajabu ya...
0 Reactions
0 Replies
33 Views
Pia kama una AC, hapa panakuhusu. Twende moja kwa moja kwenye mada. Watu wengi tunamiliki majokofu au friji lakini tunauelewa mdogo juu ya utendaji wa hichi kifaa. Kimsingi, kama mtumiaji...
80 Reactions
144 Replies
26K Views
Habari za muda huu ndugu zangu? Ukweli ushamba mzigo kumbe kenya wanabei ndogo ya simu kuliko aliexpress? Juzi nilikuwa nataka simu aliexpress nilikuwa na laki 8 niliona ngoja nitafute xiamon...
2 Reactions
27 Replies
6K Views
Wadau Leo ktk pitapita zangu nikakutana na mpango wa Marekani kufungua crypto reserve kama walivyofanya kwenye Gold reserve kule fort Knox. Lakini Kuna siku niliwahi sema siiamini USDT kwasabu ni...
0 Reactions
1 Replies
85 Views
Viongozi habari zenu, Naomba kwa yeyote anaejuwa mfumo unaoweza kutumika kweny kampuni ambao unaweza kutumiwa kweny hizi departments 1.Accounting 2.Inventory 3.Sales 4.Human resource Etc...
2 Reactions
3 Replies
178 Views
Najua kuna vijana wengi wana mawazo yao lakini changamoto huwa ni fedha. Ningependa kujua ni wapi naweza kupata fursa ya kuweza kuhudhuria maonyesho ya projects zinazodeal na mambo ya computers...
3 Reactions
17 Replies
344 Views
Wakuu nataka blog advanced kama hii. Tafadhari kabla hujasema dau ipitie kwanza uione
1 Reactions
4 Replies
214 Views
Habari ndugu... Naomba mtaalamu mmoja wa IT kuna project nataka tuifanye kwa pamoja. Ahsante!
3 Reactions
6 Replies
176 Views
Heshima kwenu wakuu. Ninatafuta fundi simu (mwenye ofisi). Nataka nijifunze kutengeneza simu (smart android na viswaswadu). Malengo yangu ni kufungua ofisi ya kuuza simu na vifaa vyote vya...
0 Reactions
1 Replies
87 Views
Nataka nianze work from home. Sasa naulizia hizi PC naziona online bei Tsh 550-750k All in One, majina makubwa kama Dell, HP, Lenovo. Sasa niko hapa najiuliza, zina faa au danganya toto? Kama...
1 Reactions
6 Replies
194 Views
Habari za muda huu wakuu wa JF! Najua hapa JF kuna vichwa vyenye akili kali na ujuzi wa kila aina, lakini leo nimekuja na swali moja nyeti je, kuna mtu humu anayeweza kuhack WiFi? Sio kwamba ni...
7 Reactions
55 Replies
772 Views
Anayefahamu kuhusu Voda Kasi internet kifurushi cha 50,000 unlimited. Na kifurushi cha Halotel cha 50,000 unlimited. Naomba anielze na kipi bora..
4 Reactions
14 Replies
350 Views
Mimi ni mwanafunzi diploma in computer science. Nimeangalia google, kwa nchi nyingine php ni kama ya kizamani kidogo na wengi hawa recommend. Lakini kuna mtu kaniambia tanzania website nyingi...
1 Reactions
33 Replies
3K Views
Back
Top Bottom