Ugandan News and Politics

Serious discussions on Politics and Latest news from Uganda

JF Prefixes:

Robert Amsterdam, the International lawyer and comrade to National Unity Platform (NUP) Presidential Flagbearer Robert Kyagulanyi Ssentamu alias Bobi Wine, feels he has so much power around him...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Grandpa been sworn again, I bet he can remember the words just like Out Father prayer.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Foreign affairs minister Sam Kutesa Wednesday urged all stakeholders in last week’s presidential and parliamentary elections to move on following results announced by the Electoral Commission...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Ugandan opposition leader Bobi Wine on Sunday urged the international community to demand he be released from "house arrest" after a disputed election returned President Yoweri Museveni to office...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Idadi kubwa ya mawaziri akiwemo makamu wa rais na wabunge wa mlengo wa serikali wamepoteza ubunge, Waganda wameamua, wamefanya aina ya maamuzi tuliyofanya zaidi ya miaka 20 iliyopita, ukombozi wa...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa matangazo ya idhaa ya Kiswahili ya DW mchana wa leo, tayari salamu za pongezi kwa ushindi wa kishindo wa Museveni zimeanza kumiminika Uganda. Wakati salamu hizo zikienda huko, ugeni...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Ktk biblia imeandikwa kuwa zitiini mamlaka zilizowekwa ikiwa ni msisitizo kuwatii viongozi wote wa umma na jeshi kwa ujumla kwa maamzi yote yanayoamriwa. Mambo yalianza kuwa tofauti kwa mfalme...
12 Reactions
65 Replies
9K Views
Tume ya Uchaguzi (EC) imemtangaza Yoweri Museveni (76) aliyeongoza Taifa hilo tangu mwaka 1986 kuwa Mshindi wa nafasi ya Urais kufuatia Uchaguzi Mkuu uliofanyika Januari 14, 2021 Tume imesema...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Upepo unapeperusha mawingu kwa taratibu na huwezi kujua kama mawingu yanasafiri, kumbe ni dunia ndiyo inazinguka kwenye muhimili wake. Kulingana na vyanzo mbalimbali vya taarifa vinasema...
15 Reactions
261 Replies
28K Views
Jeshi limezunguka na kuingia kwenye nyumba ya Bobi wine na kumuweka chini ya ulinzi, Bobi amelalamika uchaguzi ulikuwa na ubadhilifu na amejitangaza kama raisi wa nchi hiyo na kwamba ameshinda kwa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Ukiangalia baadhi ya matukio ya kisiasa Africa utabaki kujiuliza maswali mengi yasiyo na majibu. Baada ya Uchaguzi wetu Tanzania kuleta taharuki nyingi leo wote tunaangazia uganda kinachoendela...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kama jinsi video inavyoongea
4 Reactions
1 Replies
977 Views
ukitaka kujipakulia ujionee mambo ingia. hapa ni hatari sana. info.csv - AnonFiles
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Mgombea wa upinzani nchini Uganda Bobi Wine amepinga matokeo ya uchaguzi ambayo yametangazwa hadi sasa na kujitaja binafsi kama rais mteuli, licha ya tume ya uchaguzi kusema kuwa sio kura zote...
1 Reactions
40 Replies
4K Views
Polisi nchini Uganda wamevamia hoteli moja ambako kikundi cha wanaharakati wa mashirika ya kiraia na wakaguzi wa uchaguzi walikuwa wamekusanya taarifa kutoka kwa waangalizi wengine wa uchaguzi...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Dunia imeendelea kushuhudia matukio ya viongozi mbali mbali wa Afrika wakigeuka miungu watu nchini kwao. Uganda inashuhudia babu M7 akiwania uongozi hata baada ya kufikisha miaka 76,uzee ushapiga...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Watetezi wa haki za binadamu wanne wa Kenya wamekamatwa nje ya ubalozi wa Uganda jijini Nairobi asubuhi muda mfupi kabla ya kuwasilisha taarifa yao kwa vyombo vya habari kuhusiana na ukatili wa...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Huyu mzee tulimuonya tangu mapema sana kwamba miaka aliyoingoza Uganda inatosha , mwaka ujao asigombee tena , kwa bahati mbaya sana akapuuza. Akaanza Juhudi za kishetani za kupunguza miaka yake...
7 Reactions
71 Replies
7K Views
Leo Uganda wanapiga kura uchaguzi mkuu Tume ya uchaguzi Tanzania iko vizuri ona Uganda Bob wine kamaliza kupiga kura kituoni leo asubuhi ona vurugu kituoni utafikiri mkutano wa kampeni
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…