Ugandan News and Politics

Serious discussions on Politics and Latest news from Uganda

JF Prefixes:

  • Closed
Wahenga waliposema kuwa ukistaajabu ya Musa basi tegemea kuyaona ya Firauni kumbe walikuwa wako sahihi na wala hawakukosea na huenda sasa inabidi tuamini kuwa Watu wa zamani ( Mababu na Mabibi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hannington Nuwamanya, 32, mkazi wa Magogo amewatupa watoto wake wawili ndani ya Ziwa Magogo kisha kuchoma nyumba yake moto Ndani ya nyumba hiyo alikuwepo Mtoto mwingine ambaye alifariki kutokana...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
UGANDA: BOBI WINE AFANIKIWA KUTOROKA POLISI KWA KUTUMIA BODABODA - Amefanikiwa kutoroka ulinzi mkali wa Polisi uliokuwa ukizingira nyumba yake huko Magere - Inadaiwa anaelekea kwenye Tamasha...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Isma Ssesanga anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumuua Mtoto wake wa kike aliyekula chakula chake alichochukua kwenye sherehe Mtoto Salama Nassanga mwenye umri wa miaka 10 alifariki baada ya...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Polisi wanamshikilia Mwanamke mmoja waliyemkata kwa kumgawa Mtoto wake wa miezi 3 kwa jirani yake Annet Kabalisa amefanya kitendo hicho ili msaidie jirani yake Annet Kobusinge aliyepanga...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Waziri wa afya nchini Uganda, amezindua kipimo binafsi cha Virusi vya Ukimwi kwa kutumia mdomo lengo likiwa ni kuhamasisha wananchi kupima afya zao hususani wanaume. Uzinduzi huo umelenga...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
ARCHBISHOP Janani Jakaliya Luwum (left), head of the church of Uganda from 1974, and one of the most influential leaders of the modern church in Africa, with his assassin Dictator Idi Amin...
5 Reactions
25 Replies
4K Views
CROCODILE tears: idi amin, who accused his wife kay of adultery, visiting her at the mulago hospital in kampala, before he allegedly got her killed. watch the movie: the last king of scotland.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Uganda ni nchi ambayo haikuwahi kuwa koloni. Ingawa ilikuwa na mgawanyiko mkubwa wa kiimani. Uislam uliingia Uganda kutoka Kaskazini pia wafanyabiashara wa Kiarabu kutoka Pwani ya Afrika...
2 Reactions
47 Replies
8K Views
TANZANIA INASHINDWA WAPI ? Uganda imesaini makubaliano na Urusi kuisaidia kujenga uwezo wake wa kutumia teknolojia ya nyuklia kwa matumizi ya kutengeneza nishati, dawa na matumizi mengine ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
A court has sentenced a 29-year-old man to one month of community service for forcibly attempting to inherit his uncle’s wife. Kitgum Grade One Magistrate Paul Obuya ruled that prosecution had...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Spika wa bunge Rebecca Kadaga amewashauri wabunge wa Uganda na maafisa wa itifaki kulinda hadhi yao wakati wote wa Mkutano wa 64 wa Bunge la Jumuiya ya Madola. Mkutano huo, uliopangwa kufanywa...
6 Reactions
23 Replies
4K Views
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Harvard na raia wa Uganda amefungua kesi akiwashtaki, Rais Yoweri Musreveni, Msemaji wa Serikali, Ofwono Opondo na Mkuu wa Kitengo cha Siasa ndani ya Idara ya Polisi...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
This is to bring to your attention that the government planning to privatize the CT2 container terminal 2 to certain top government individuals. This is depriving Mombasa residence of their...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Takriban watu 8 wamefariki dunia baada ya basi la Kampuni ya Modrrn Coast kugongana na Lori la mizigo katika barabara kuu ya Jinja-Tororo Mashuhuda wamesema kuwa Lori hilo lilipoteza uelekeo na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Safe houses: In whose interest does function of State security act? A state is the constitutive virtual power of a polity (citizens) and a government is the administrative levers (or machinery)...
0 Reactions
1 Replies
856 Views
KAMPALA, UGANDA, SERIKALI imeidhinisha hoja ya kutaka kubuniwa kwa Baraza la Kitaifa la Kiswahili litakalotoa mwongozo kuhusu mchakato wa kufanya Kiswahili kuwa lugha rasmi nchini Uganda...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Waganda wanena: But these miss Uganda organizers are also not serious, Uganda is being elevated and the whole world is watching, and then you bring Zari to do that?, they would have chosen...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
NIMEPENDEZEWA SANA NA HOTUBA ZA RAIS YOWERI MUSEVEN HASA HIZI MBILI ALIZOZITOA DAR JUZI ZINA MAFUNZO MENGI SANA Kama ilivyo hapo juu, kwa kweli Rais Yoweri Kaguta Museven ni...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Ina maana Mzee Museven ni mvumilivu kiasi hiki?
3 Reactions
24 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…