June 25, 2019
Beijing, China
President Yoweri Museveni has arrived in Beijing China for a four-day working visit on the invitation of his Chinese counterpart, President Xi Jingping.
On arrival...
Huwezi kuwa na Bunge imara na huru wakati Spika mwenyewe au wabunge wake ni wanafiki na wanajikomba komba kwa muhimili mwingine hususani kwa rais.
Wala uimara au uhuru wa Bunge haupimwi kwa...
Mtafiti wa Chuo kikuu cha Makerere nchini Uganda Dkt. Stella Nyanzi ameagizwa kujitetea katika kesi ambapo anatuhumiwa kumtukana rais Yoweri Museveni.
Ikitoa uamuzi wake mahakama iliopo katika...
Ubalozi wa Marekani nchini Uganda umetoa tahadhari nyengine ya shambulio la kigaidi nchini humo
Kulingana na tahadhari hiyo iliochapishwa katika ukurasa rasmi wa mtandao wa kijamii wa balozi hiyo...
IGP wa Uganda nae ajitokeze aseme kuwa taarifa walikuwa nazo hata kabla ubalozi haujatoa tahadhari.
Wamarekani ni watu wenye tecknolojia ya hali ya juu sanaa na wao ndio wanaomiliki mitandao ya...
Mtoto wa miaka mitano nchini Uganda apatikana kuwa na Ebola, shirika la afya duniani (WHO) limethibitisha.
Hiki ni kisa cha kwanza kuthibitishwa katika nchi hiyo wakati kukishuhudiwa mlipuko wa...
Kiongozi wa upinzani Kizza Besigye na Mbunge Robert Kyagulani maarufu Bobi Wine nchini Uganda, wamekubaliana kufanya kazi kwa pamoja ili kukishinda chama kilichoko madarakani cha NRM cha Rais...
Zaidi ya watu sita wamethibitishwa kupoteza maisha na wengine zaidi ya 50 hawajulinaki waliko kufuatia maporomoko ya matope katika wilaya ya Bududa, mashariki mwa Uganda.
Nyumba zaidi ya 150...
Uamuzi wa Serikali ya CCM inayoongozwa na Dkt John Pombe Magufuli ya kupiga marufuku pombe za viroba 2017 sasa umeigwa na nchi mbalimbali ikiwemo Serikali ya Uganda.
Serikali ya Uganda nayo...
Haaa uuwiii eti shirika la ndege litaanza kupata faida baada ya miaka 10,hii ni baada ya kufufuliwa,mbona sisi ATCL imepiga faida ya 29 billions ndani ya mwaka mmoja tena hayo maneno yamesemwa na...
Source: The Guardian
Sam Little arrested after Guardian exposed massive distribution network of MMS in Uganda that was being supervised by US pastor
A British man has been arrested in Uganda on...
Kama muswada huo utapitishwa kuwa sheria basi itakuwa ni kosa kutoa msaada wa fedha, chakula na msaada mwingine kwa Watoto wanaoomba kando ya barabara za nchi hiyo
Kwa mujibu wa mapendekezo ya...
Msemaji wa jeshi la polisi nchini Uganda Bw. Fred Enanga amesema, maiti mbili zimepatikana na watu kati ya 13 hadi 16 hawajulikani walipo baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kupinduka katika Ziwa...
Kuna Watanzania walikuwa na ' dhihaka ' za kila aina ( GENTAMYCINE hayupo ) kwa Rais Dkt. Magufuli hasa pale alipokuwa akizipokea Ndege zako kadhaa zilipowasili na ' wakimcheka ' labda wakimuona...
Mwili wa Mtalii mmoja kutoka Saudia alikufa maji baada ya kutumbukia kwenye mto Nile nchini Uganda siku ya Jumamosi , sasa umepatikana.
Kwa mujibu wa polisi nchini humo, Alsubaie Mathkar alikuwa...
Ni wimbo pamoja na video ambapo msanii Bobi Wine ameutunga na kuutengeza akiwa kizuizini nyumbani kwake yaani hatakiwi kutoka. Wanajeshi wakiwa nje yeye ndani yuko busy kuujulisha ulimwengu namna...
Tume ya mawasiliano ya nchini Uganda imeagiza kufungwa kwa vituo 13 vya radio na Televisheni pamoja na kufutwa kazi baadhi ya wanahabari kwa ''kupotoshaji' na kuchochea ghasia kwa kutangaza...
Ukishangaa ya Musa utayaona ya firauni! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia Mjerumani, Bernhard Bery Glaser, kukamatwa na Jeshi la Polisi nchini Uganda kwa tuhuma za kuwatumia kingono zaidi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.