Ugandan News and Politics

Serious discussions on Politics and Latest news from Uganda

JF Prefixes:

June 25, 2019 Beijing, China President Yoweri Museveni has arrived in Beijing China for a four-day working visit on the invitation of his Chinese counterpart, President Xi Jingping. On arrival...
0 Reactions
0 Replies
860 Views
Huwezi kuwa na Bunge imara na huru wakati Spika mwenyewe au wabunge wake ni wanafiki na wanajikomba komba kwa muhimili mwingine hususani kwa rais. Wala uimara au uhuru wa Bunge haupimwi kwa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Mtafiti wa Chuo kikuu cha Makerere nchini Uganda Dkt. Stella Nyanzi ameagizwa kujitetea katika kesi ambapo anatuhumiwa kumtukana rais Yoweri Museveni. Ikitoa uamuzi wake mahakama iliopo katika...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ubalozi wa Marekani nchini Uganda umetoa tahadhari nyengine ya shambulio la kigaidi nchini humo Kulingana na tahadhari hiyo iliochapishwa katika ukurasa rasmi wa mtandao wa kijamii wa balozi hiyo...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
IGP wa Uganda nae ajitokeze aseme kuwa taarifa walikuwa nazo hata kabla ubalozi haujatoa tahadhari. Wamarekani ni watu wenye tecknolojia ya hali ya juu sanaa na wao ndio wanaomiliki mitandao ya...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Mtoto wa miaka mitano nchini Uganda apatikana kuwa na Ebola, shirika la afya duniani (WHO) limethibitisha. Hiki ni kisa cha kwanza kuthibitishwa katika nchi hiyo wakati kukishuhudiwa mlipuko wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kiongozi wa upinzani Kizza Besigye na Mbunge Robert Kyagulani maarufu Bobi Wine nchini Uganda, wamekubaliana kufanya kazi kwa pamoja ili kukishinda chama kilichoko madarakani cha NRM cha Rais...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Zaidi ya watu sita wamethibitishwa kupoteza maisha na wengine zaidi ya 50 hawajulinaki waliko kufuatia maporomoko ya matope katika wilaya ya Bududa, mashariki mwa Uganda. Nyumba zaidi ya 150...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Uamuzi wa Serikali ya CCM inayoongozwa na Dkt John Pombe Magufuli ya kupiga marufuku pombe za viroba 2017 sasa umeigwa na nchi mbalimbali ikiwemo Serikali ya Uganda. Serikali ya Uganda nayo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Haaa uuwiii eti shirika la ndege litaanza kupata faida baada ya miaka 10,hii ni baada ya kufufuliwa,mbona sisi ATCL imepiga faida ya 29 billions ndani ya mwaka mmoja tena hayo maneno yamesemwa na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Source: The Guardian Sam Little arrested after Guardian exposed massive distribution network of MMS in Uganda that was being supervised by US pastor A British man has been arrested in Uganda on...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama muswada huo utapitishwa kuwa sheria basi itakuwa ni kosa kutoa msaada wa fedha, chakula na msaada mwingine kwa Watoto wanaoomba kando ya barabara za nchi hiyo Kwa mujibu wa mapendekezo ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msemaji wa jeshi la polisi nchini Uganda Bw. Fred Enanga amesema, maiti mbili zimepatikana na watu kati ya 13 hadi 16 hawajulikani walipo baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kupinduka katika Ziwa...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna Watanzania walikuwa na ' dhihaka ' za kila aina ( GENTAMYCINE hayupo ) kwa Rais Dkt. Magufuli hasa pale alipokuwa akizipokea Ndege zako kadhaa zilipowasili na ' wakimcheka ' labda wakimuona...
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Mwili wa Mtalii mmoja kutoka Saudia alikufa maji baada ya kutumbukia kwenye mto Nile nchini Uganda siku ya Jumamosi , sasa umepatikana. Kwa mujibu wa polisi nchini humo, Alsubaie Mathkar alikuwa...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Ni wimbo pamoja na video ambapo msanii Bobi Wine ameutunga na kuutengeza akiwa kizuizini nyumbani kwake yaani hatakiwi kutoka. Wanajeshi wakiwa nje yeye ndani yuko busy kuujulisha ulimwengu namna...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Tume ya mawasiliano ya nchini Uganda imeagiza kufungwa kwa vituo 13 vya radio na Televisheni pamoja na kufutwa kazi baadhi ya wanahabari kwa ''kupotoshaji' na kuchochea ghasia kwa kutangaza...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Ukishangaa ya Musa utayaona ya firauni! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia Mjerumani, Bernhard Bery Glaser, kukamatwa na Jeshi la Polisi nchini Uganda kwa tuhuma za kuwatumia kingono zaidi ya...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom