Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Habari zenu wakuu naomba msaada kwa anaejua biashara ya maua karkade wapi nitapata kwa jumla na bei zake naomba msaada huu wakuu
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Naomba mwenye kujua bei ya karanga kwa kilo ni sh ngapi anijulishe nipo arusha. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Kwanini kuku hukimbia kabla ya kupandana? Hii ina maana gani kitaalamu?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba anaejua bei ya mashine za kukeleza mbao, pia zinakopatikana, msaada pls
0 Reactions
13 Replies
11K Views
M mwanafunzi nasoma njee ya nchi sehemu nilipo Vifaa vya hospital bei rahisi na kwa makampuni niliyoyafatilia yote yapo iso certified nimebakisha mwaka na nusu katka masomo yangu,kwa mda uliobaki...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wapenda humu ndani nina uza pump ya kumwagilia inch tatu aina ya boss kwa laki tatu na thelathini mpira wake laki moja na arobaini mpira ni mitaa mia vitu vyote bado vipya kabisa havitumika...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wana jamii, tunakukaribisha katika ziara ya mafunzo ya fursa zitokanazo na bidhaa za kilimo nchini Kenya February 2019, Tafadhali fungua kiambatanisho Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Wanataalam Wang humu, ninataka kulima alizeti, nataka kutumia dawa ya kuua magugu. Ni dawa ipi inafaa kuua magugu kwenye shamba la alizeti? Asanteni na karibuni kwa ushauri. Sent using Jamii...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nimesikia machinjio kubwa na ya hadhi ya juu inaendelea kujengwa Soga wilayani Kibaha! Sent from my iPhone using JamiiForums
0 Reactions
2 Replies
787 Views
Nime-attach picha,ni hali ambayo siilewi ..yani tikiti inakuwa kama inakauka sijui inakuwaje..hiyo ni nini jamani na naidhibiti vipi?????
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Wadau, natafuta kwa udi na uvumba kama kuna dawa ya kuzuia magugu yasiote. Yananisumbua sana, kila siku yanaoteana tu. Nipo Dar es Salaam. Natanguliza shukrani.
2 Reactions
9 Replies
5K Views
Habar zenu wadau! Naomba uuliza ili nipate faida kubwa katika ufugaji huu je! Ni vema nianze na kuku wangapi? Msaada tafadhari. Na lenga sana kuku wa mayai Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwenyekujua dawa ya ugonjwa wa Kuku kutokwa na Maji Maji mdomoni na puani mithiri ya makamasi. Naomba ushauri please [emoji120][emoji120][emoji120] Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
976 Views
Habari wakuu , Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nahtaji kulima alizet ila sifahamu mashine ya kupandia akizet ipoje na inauzwa bei gani ..kwa mwenue uzoefu na hiyo anaweza tuma mchango hapa...
0 Reactions
0 Replies
735 Views
Nipo Dar maeneo ya Mbezi, nimelima nyanya aina ya Money Maker kama nusu heka huku. Ninamwagilia kwa maji ya kisima nilichochimba. Tatizo nilipatalo ni kupukutika kwa maua kila zinavyoanza kutoa...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Pole sana kwa kuhangaika wakuu ! Panya kutokuwepo kabisa sio nzuri kwa afya ya mazingira ,kisayansi huwa wana kila kiumbe ni muhimu duniani hata nyoka na mbu,tatizo kuna muda balance inaharibika...
6 Reactions
6 Replies
6K Views
Ndugu natarajia kuvuna nyanya zangu kwa kipindi hiki cha January natafuta soko nzuri kwa tenga kuanzia 50 Na kuendelea nakuletea ulipo kikubwa maelewano Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu poleni na majukumu ya kulijenga taifa. Naomba kuuliza kwa wajuzi wa mambo... Nina shamba langu maeneo ya kisarawe mkoa wa pwani nimejipanga mwaka huu nilime muhogo. Naomba kuuliza...
0 Reactions
19 Replies
8K Views
incubator in machine ya kutotoleshea vifaranga salama. ni rahisi kutumia na imara. https://amzn.to/2QreLdf EDITED SORRY GUYS, HIZI MASHINE HAZISAFIRISHWI KUJA TANZANIA. SIKUFATILIA...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Naomba kufahamu nina kuku wanajisaidia kinyesi chekundu, wanakohoa pia Wanakuwa wamepoa sana Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
732 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…