Hodi hodi jamana,mi mgeni naomba mnipokee na kuni juvya yote yaliyomo humu na huwa naburudika na jmf,natumaini mmenipokea asanteni sana wenyeji wangu nawasilisha.
hello naitwa EDDY MHANDO naombeni ushirikiano wenu vile vile usisite kuwasiriana nami kwa
email. eddymhando@planetbongo.com au namba zangu +255653688004 nawapenda sana naamini jamiiforums ni...
Habari za wakati huu.
Wakuu, nimefungua account ya Jamiiforums hivi karibuni. Nimeona ni vyema nijitambulishe kwenu.
Mimi ni mtumiaji mzuri wa JamiiForums kwa takribani miaka mitatu sasa, Lakini...