Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Mshiriki mpya kabisa ndani ukumbi huu maridhawa. Ni kijana kutoka huko kusini mwenye elimu ya kati na natambulika kama Mr.SongeaOne. NAOMBENI USHIRIKIANO WENU WANDUGU.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau m mgen umu natka rafk yoyote yule wa kuchat na kupeana maarifa
0 Reactions
5 Replies
1K Views
nielekezeni jinsi ya ku copy post ya mtu na kua attach maneno yako..mm cjui
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimejiunga rasmi jamii forums tarehe 04/08/2015! May i come in!
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Ndo naingia rasmi
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Naomba mnipokee na kunipa ushirikiano wa kutosha wakuu, nilikuwa intruder for longtime lkn pasipo kushurutishwa na mtu yeyote nimeamua mwenyewe kujisajili na kuwa member kamili Naombeni...
0 Reactions
6 Replies
944 Views
Habari zetu wapendwa. Mimi ni mgeni humu naomba mnipokee na mnipe ushirikiano.
0 Reactions
4 Replies
886 Views
Salama wa ndugu.
0 Reactions
3 Replies
853 Views
mgeni nimeingia salaam kwenu nyote naomben mnipokee niwe miongoni mwa wanafamilia hii
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Baada ya kujisajili wiki mbili zilizopita hatimaye leo nimepata fursa ya kupost hii topic yangu ya kwanza. Ila admin mnazingua kuconfirm account ni wiki mbili jamaa, tena mpaka personal emails...
0 Reactions
3 Replies
824 Views
Naomba kujiunga Jf ili niweze kutoa mchango wangu wa kifikra kama mtanzania ninayelitakia mema taifa langu.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mimi ni mgeni jamani nahitaji kuwa humu mjengoni kwa ruhusa yenu. Naomba mnipokee.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nashukuru kujiunga na jf watu makini wanaojua nini wanaandika.Tofauti na nyingine hapa nimekuta habari za uhakika na zilizochambuliwa na watu wenye akili.Nimekuwa nikitembelea humu mara kwa mara...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Mgeni nimefika naomba mnipokee!
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nawasalimu kwanza, wakubwa shikamoo, vijana wenzangu mabo vipi?. Nimekuja tushirikiane ktk forum hii ili kwa michango na mawazo yetu hakika 2tajenga nchi ye2 kwa pamoja. Asanten
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Nimekuwa msomaji siku nyingi sana, leo nimeona nijiungie rasmi. Hilo ni jina langu halisi, naomba nijulisheni ni vipi linakuwa verified?
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Nimekuwa nikichangia mara mojamoja kwenye baadhi ya thread kwenye majukwaa mbalimbali ya jf naomba mnikaribishe mwenzunu jamani wana jf hodi!!
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wenyeji nimekuja tushiriki pamoja katika mada mbalimbali, ni mgeni tusaidiane kwa yale ambayo nitaona mapya nisaidiwe kuelekezwa kv, kuna neno uni PM sijui maana yake, nilikutana na neno hili kwa...
0 Reactions
5 Replies
875 Views
Hodi hodi wana jf,
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jamani mi ni mgeni humu ndani naomba mnipokee
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom