Ndio kwanza najiunga kwenye jukwaa zima la jf sina nimjuaye zaid ya kuwasoma kwa muda mrefu kupitia google hebu nipeni uzoefu wenu wa jumba hili ili nisije potezwa mwenzenu@happy xmass
by masinki
Habari wana jf. Baada ya kuwa msomaji na mtazamaji kwa muda mrefu nimeona ni vyema nijumuike nanyi. Naomba mnipokee,mnielekeze hata kunirekebisha. Asante sana
Hi everyone, I m new to this site. I am James Liu connected with TOEFL Network at British Columbia an online e-learning Institute of Technology. Its provide an online TOEFL e-learning website...
Nimekuwa nikisoma majadiliano yenu kwa aina mbalimbali nimekuwa nikiyafurahia na kuelimika pia, nimeona sina budi niungange nanyi naamini ntapata kujijuza na kujifunza mengi toka kwa wazoefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.