Hellow. Natambua uwepo wenu wakubwa kwa wadogo. Tuko pamoja nipokeeni kijana wenu tushirikishane mambo mbalimbali Niko teari Kuchangia na kuto mada humu ndan.
nianze kwa kushukuru uongozi wa JF kwa kunipa nafasi ya kujiunga na mtandao huu wenye kutembelewa na watu wengi nadni na nje ya Tanzania.
pia naombeni ushirikiano wenu na mimi nitakuwa tayari...
Issue ya sitti mtemvu vipi? Hakuna suluhisho hadi sasa hivi, siku zinaenda na washiriki miss world 2014 wameanza kupromotiwa ndani ya tovuti ya miss world, wanavuta vuta siku ili wampeleke...
Hi guys
i registered today on this forum because i have plans to visit east Africa next year, as tourist.
Of course, i hope i will have fun here on forum too.
Cya
Lionking
ni ukweli usiopingika kuwa kansa zimekuwepo toka zamani hata kabla babu yangu hajazaliwa lakini kwa jinsi rekodi zinavyoonyesha kansa imekuwa ikongezeka sana miaka ya hivi karibuni. nimejaribu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.