Naikubali sana hii kitu coz huwa siko nyuma ya muda hata siku moja na mengine niyapatayo humu hayapatikan kwingine..big up sana founder wa hii ktu
Sent from my iPhone 4 using JamiiForums
Natumaini ni wazima wa afya na mkotayari kwa mapokez yangu,nitafurahi pindi nitakopoona nakaribishwa na kupokelewa kwa moyo mkunjufu bila kinyongo.Asanteni,,,..@
Habari gani hapo ulipo, natumaini utakuwa ni mziwa wa afya ila kama utakuwa c mzima wa afya nakupa pole sana kwani hakuna aliyekamilia ktk dunia hii na si kama wewe ukiamka mzima basi na yule...