kwa kipnd kiref nlikuwa naptiaptia tu hp jamii.imefika wakat nmeona n bora kuwa mwana-family.ckuchelewa,jana nikafanya niwezalo n sasa nko humu rasmi nipokeen plz,maana waswahili husema"ugeni utoto"
Nlipokuwa chuo kuanzia 2010 rafiki yangu mwanyeji wa Dar alipenda sana kutumia JF wakati huo mimi nikitumia sana Mjengwa. Basi bwana tukaambukizana mi pia nikaapenda Jf na kwa mjengwa. Baada ya...
Jamani kama nilivyojitambulisha ni mgeni wa kujiunga JF lakini ni mtumiaji wa JF tangu 2010 nikiwa chuoni.
Naombeni mnipe sapoti hasa masuala ya Ujasiriamali,siasa,michezo na habari mchanganyiko...
Wakuu mi ni mgeni humu jamvini naombeni sana mnipokee.. Ninaahidi kutimiza yote yanayopaswa kutimizwa humu jf ili niepuke vitu kama ban au kukwaruzana na members wenzangu with no good reason..pia...
wakubwa shikamoni,wadogo mambo,mimi ni mgeni humu ndani ila ni ila ni mwenyeji nje,nimekuwa nikisoma mawazo yenu humu ndani kwa muda mrefu nimevutiwa nayo sana na mengi yanafundisha.si mnajua tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.