marafiki naomba mnipokee humu ndani, kwani nimekuja na mawazo mazuri ya kujenga taifa letu, je naombeni mniambie marafiki wabaya ni akina nani ili niwaepuke.
Toka ujinini jini nimeingia mjini katika pita pita zangu nimeibukia humu naomba mnikaribishe mimi ndio yule jini Mzizimkavu ananiongelea na tayari nishamgeuzi sara umbwa asanteni saana kwa sasa...