Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Jamani mi ni mgeni humu ndani, kukaribishana IMO?
0 Reactions
105 Replies
6K Views
Habari Nataka kubadili user name je, inawekana kama inawezekana nifanyeje?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za humu Wana Jf mi ni mgeni, hata hivo nafurahi na mi kuwa member wa The great Thinker, Naombeni ushirikiano wenu wapendwa........ ASANTENI
0 Reactions
7 Replies
982 Views
jaman mpo powa! mi mgen humu ndan nahitaji ushirikiano
0 Reactions
4 Replies
626 Views
Naomba mnipokee wana Jf. Nimekuwa nachungulia tuu humu jamvini kwa muda mreefu nimejifunza mengi nikaona niwe nanyi kwa karibu....
0 Reactions
6 Replies
753 Views
jaman nipokeen kwa mkono mitatu
0 Reactions
2 Replies
844 Views
Nimepapenda humu naomben mnikaribishe na tupeane ushirikiano wa kutosha pia mm ni mpambaji
1 Reactions
5 Replies
694 Views
Waswahili walisema raha ya ngoma wiingie ucheze,nilipo kuwa nje ya uwanja nilikuwa naona shida sana pale ambapo mawazo yangu machache hayawezi kuchangamana na mengine. Hivyo wanajf naomba mnipokee...
0 Reactions
5 Replies
758 Views
hbr zenu member nafurahi kuwa pjm nanyi
0 Reactions
2 Replies
614 Views
Naomba kukaribishwa umuuuuuu
0 Reactions
6 Replies
884 Views
Je vigogo waliosimamishwa kazi katika Wizara ya maliasili Mkoani Arusha wako huru?
0 Reactions
3 Replies
753 Views
ni kweli isiyofichika kuwa hakuna forum nzur yenye maadili ya kijamii kama hii. Binafc cjapata kuona. Naomba kwa member wapya kulijua hilo
0 Reactions
3 Replies
875 Views
habari za jioni wana jamvi! naombeni mnipokee kwa mikono 2.
0 Reactions
5 Replies
910 Views
Hodi wenyeji!
0 Reactions
4 Replies
951 Views
Wadau nitafurahi sana kama tutalisukuma vizuri gurudumu hili JF ili tubadilike kisiasa ,kijamii na kiuchumi
0 Reactions
12 Replies
1K Views
baada ya kupita na kishangaa kila uchwao jf sasa nimeamua kuingia ndani na mm nijisongeze fikra zangu na kupata maarifa zaidi, Nimesoma post nyingi sana za watu mbalimbali na nimejifunza mengi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
HABARINI WANA JAMVI..MIMI MEMBA MPYAA..NAOMBA MNIPOKEE KWA MIOYO YENU YOOTE...KI UKWELI NI MSOMAJI MZURI SANA WA POST ZA HUMU JAMVINI TOKA MIAKA MINGI...ILA SIKUA NA MTO WA KUJIUNGA...LAKINI SASA...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
naingia rasmi jukwaani
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari zenu wapendwa,, Napenda kujiunga nanyi kwa hii group,imenivutia sana ,, kama kuna mashart yeyote niambieni...
1 Reactions
46 Replies
3K Views
oyooo! hodi mpaka chumban nakuja kwenu ili tuendeleze ili gurudumu la maendeleo naomben ushirikiano wenu! thnx!
0 Reactions
6 Replies
851 Views
Back
Top Bottom