Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Habari ndugu zangu wa Jamii forum,naomba mnipokee niwe mmoja wa familia yenu tufundishane,tuelekezane na pia tupeane maarifa mapya kwani naamini Jamii forum ni kisima cha maarifa
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Ninaitwa Rehema Chahe, ni mgeni humu ni matumaini yangu nitajifunza mengi kutoka kwenu na mtajifunza mengi kutoka kwangu, Baraka za Mungu ziwepo nanyi, asanteni.
2 Reactions
2 Replies
417 Views
Hodi! Mimi mgeni humu ndani naomba nikaribishwe. Nimekuwa nikifuatilia JF kwa juu juu na sasa rasmi nimeamua kujiunga ili kushiriki na tuendeleze umoja na mshikamano wetu kama waTanzania [emoji1754]
1 Reactions
12 Replies
681 Views
Habarini wote , me ni mgeni humus ndani ila nimekuwa nikufiatilia madam mbalimbali , nimejiunga rasmi kwa kuwa napata madini ya maana humus. Kwa ufupi naipenda mno Jamii forum. Kwani ninajifunza...
1 Reactions
7 Replies
744 Views
Wakuu ndo natia maguu Jf Sina cha maana sana zaidi ya kusema inafurahisha sana kutumia mtandao wa kijamii wa hapa nyumbani TZ
1 Reactions
4 Replies
386 Views
Hi
1 Reactions
9 Replies
852 Views
Hii username ni mpya hapa Jukwaani. Kwa Mara ya kwanza nafanikiwa ku create thread ya kwanza. Nawasalimu wakuu. Asante Kwa kunikaribisha
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Me mgeni naombeni mnipokee na naomba mwongozo
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Katika uboraa wa jf nimependa kujiunga baada ya kuwa mfwatiliaji wa jf kwa Muda wa miaka 3 mpaka leo hiii
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Inakuaje humu Chuga tunasemaga inakua nn fas ya huku
1 Reactions
3 Replies
636 Views
Habari.napenda kuwasalimia na kuomba ushirikiano wenu kwa jambo lololote lile.Asanteni[emoji120]
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Mimi ni msomaji mzuri wa JF,hodi naomba kuingia.
1 Reactions
7 Replies
763 Views
Mm kijana mpole ila mtundu naomba mnipokee kwenye hii jumuiya ya great thinkers.
1 Reactions
10 Replies
982 Views
Helllow
1 Reactions
31 Replies
2K Views
Asalaam
1 Reactions
10 Replies
899 Views
Wakuu mimi ni mgeni naomba mnipokee. Kwa niaba ya members wote heshima kwa wafuatao miss chagga , mshana Jr nyani ,swissme. Asanteni wakuu.
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Newman
0 Reactions
2 Replies
595 Views
Mabibi na mabwana wa jamiiforums hodi! Baada ya kukaa nje na kufurahia ladha ya JF kama guest, leo nami nimeona ni vyema nijitose kuogelea humu ndani. Nimependezwa na kila kitu kinachotendeka...
3 Reactions
25 Replies
1K Views
Mimi ni mgeni humu! Nimejiunga rasmi leo baada ya kuvutiwa na mijadala ya jukwaa la mahusiano pamoja na jukwaa la siasa! Jinsia yangu n ME
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari wana jamvi.. Km kichwa kinavyojieleza apo juu,nimekua mfuatiliaj wa mda mrefu juu ya mijadala mbali mbali,hivyo nimeona nami nijiunge nanyi ili nipate kuelimika na mambo mengi yanayojiri...
2 Reactions
42 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…