Naitwa Nyamayao na ni mara yangu ya kwanza najiunga na Forum....kwa utangulizi tu nitakuwa nazungumzia masuala mbali mbali ya nchi haswa upande wa siasa kutoka CCm Dodoma na Chadema pia..mengi...
Vipi JF,
Nimefurahi sana kujiunga na JF na kuona watu wengi wakiwemo katika forum hii. Our company, Webserve Africa is here to offer you web services at very competitive costs. As time goes by...
Habari kwa wana JamiiForums wote,mimi ni mama wa makamo naombeni mnikaribishe katika jukwaa hili adhimu lenye kuelimisha kwa kila namna, kufurahisha,kuhuzunisha na hata kukuweka huru kifikra...