Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Hodi rasmi, ma bibi na mabwana. Nilichelewa kujitambulisha nilikuwa nakamilisha taratibu za kupata VISA ya kuingia kwenye hii "ndenge" iliyo na kila aina ya "abiria". Hivyo nikuombeni ruhusa ya...
0 Reactions
11 Replies
890 Views
Nimekuwa mwana ccm muda mrefu, ila kwa hakika hakuna jipya ambalo twaweza kulipata toka chama hiki kinachokumbatia ufisadi kama sera yao! Kwa wenye mapenzi mema na maendeleo ya nchi hii, jibu ni...
0 Reactions
4 Replies
738 Views
wana wa jf hodi tena ukumbini nilitoka kwa muda kiasi ,nimerejea tena nilikotoka hawajambo wanawapa hai na poleni na majukumu
0 Reactions
3 Replies
933 Views
Hello Jf am glad kujiunga na zone kubwa ya wanaharakati, great thinkers.
0 Reactions
4 Replies
970 Views
habari wanajamii forums wote mimi ni memba mpya humu naitwa mtoto wa kuku.Dhumuni la kujiunga ni kujaribu kuongeza maarifa upande wangu na kutoa ujuzi wangu kwa jamii naomba ushirikiano wenu.
0 Reactions
7 Replies
876 Views
Mimi member mpya. naomba mnikaribishe. asanteni
0 Reactions
4 Replies
732 Views
hi kwa wanajamii forums wote mi ni memba mpya humu naitwa mjuzi wa mambo.lengo la kujiunga humu ni kujaribu kuongeza ujuzi wangu na kutoa ujuzi wangu kwa wengine naomba ushirikiano wenu
0 Reactions
5 Replies
835 Views
Nafurahi kujiunga na JF! Natumai nitajifunza mengi kutoka kwa wanajamii! THANKS!
0 Reactions
5 Replies
868 Views
nimekuwa nkifuatilia this forum 4 while. nimeikubal. plz let me in. I got lot to share with u
0 Reactions
5 Replies
721 Views
nimekua napita humu mara nyingi nikisoma post mbalimbali.nimependa sana wakuu wanavyosema mambo kwa ukwel na undan kabisa.nimelipenda sana jukwaa la ufundi na science.pamoja wakuu!
0 Reactions
3 Replies
809 Views
jamani kupiga hodi kwa wenyeji sio ujinga ila kuomba ruhusa nijambo la kiungwa mpaka hapo nazani sina pinga mizi.
0 Reactions
9 Replies
857 Views
Mambo zenu? Nahitaj suport yenu
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jamani wana jamii wote mlionitangulia. "I GREET YOU IN THE NAME OF JAMIIFORUM" asante kwa kunitegea sikio. nawasilisha
0 Reactions
4 Replies
675 Views
wats up pp rytl here
0 Reactions
4 Replies
673 Views
ei, mi mtumizi mpya wa jamii forums, nimefurahi kuwa"fahamu".. nili"fika" leo tu.. mambo yanayonivutia> siasa, utamaduni, activism, na mambo ya kijamii.. musiki.. kama mgependa kusikiliza musiki...
0 Reactions
3 Replies
596 Views
helow guys iam new here
0 Reactions
5 Replies
690 Views
Habari wamajamii mpo i am a new
0 Reactions
8 Replies
1K Views
jamani naomba niwatake radhi kwanza kabla ya yote coz nimeshakuwa humu ndani kama cku ya 5 leö na ckujua kama kuna chumba cha utambulisho pil nhngependa mnikarbrishe kwa mikono miwili na makof ma3...
0 Reactions
3 Replies
790 Views
Ningetamani niwe nimeingia kitambo ila 'kawia ufike' walinena wahenga. Nami najipa moyo kuwa mimi siyo wa mwisho kwani bado watakuja/watajiunga wengine humu baada yangu. Baada ya hayo sasa naomba...
0 Reactions
8 Replies
949 Views
Watz wenzangu Makongoro Mahanga kashindaje kwenye kesi ya ubunge?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom