Habari wana JF,nimekuwa nikipita kama mgeni mara kwa mara lakini nimeamua kuingia rasmi kama member ili tuweze kujadili mambo yanayoligusa taifa letu kwa ujumla wake pamoja,naombeni ukaribisho...
Naomba tujadili hili la matumizi ya dola wakati watanzania wengi mishahara yao inalipwa kwa madafu. Mimi ni mmoja wa wateja wa Dstv tanzania inasikitisha monthly subscription fee ni USD 78. Ni...
Natanguliza salaam za kheir..asalaam aleikhum warahma kwa waislam..amani ya BWANA iwe kwenu kwa wakristu..kwa rika langu mambo vipii masela na masistaduu..na kwa wakubwa zangu shkamooni.nimekita...
Mie mgeni hapa kwa kujiunga sikuzote nimekuwa nikiingia kama guest. Baada ya JF kufagiliwa kule Bungeni nikaona kumbe hii kitu balaaa. Waraka wenu wa Ufisadi wa Blandina Nyoni umesambazwa kwa watu...
Dear JamiiForum Members,
Thank you for accepting me to join you. I have been here officially from January, 1st but I waited first to hear a welcome note from you unsuccessfully.
I...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.