Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Kwa heshima na taadhima naomba mnikaribishe JF. Asanteni sana
1 Reactions
2 Replies
862 Views
How to get started
0 Reactions
3 Replies
746 Views
Hodi humu jf napenda kujumuika nanyi katika kujadili masuala tofauti tofauti yanayoizunguka jamii yetu, Asanteni
0 Reactions
3 Replies
679 Views
Naitwa immanuel Mosha, mkazi wa Kilimanjaro kwasasa Niko Dar salaam, ni mhitimu wa chuo kikuu mwaka huu, (Bachelor degree in social Work and sociology) .Nimekua nikifuatilia JF kupitia ukurasa wa...
12 Reactions
36 Replies
3K Views
Natumai kwa neema ya Mungu nyote mu wazima. Nimekuwa msomaji wa JF kwa miaka 4 sasa bila kujiunga. Leo nimeamua kujiunga ili noweze kuchangia mawazo yangu na uelewa wangu kwenye mada mbalimbali...
3 Reactions
3 Replies
837 Views
Kuna baadhi ya vitu nahitaji kufundishwa
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wadau wa jamii forums leo nimejiunga rasmi naomba mnipoke Nafanya Ellectrical installation majumbani, viwandani, maofisin n.k
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Naitwa ALEX MILANZI Mimi Ni member mpya NAOMBA mnipokee na mnipende pia na Kama ninakosea mnionye kwa upendo japo malengo sio kukosea
4 Reactions
41 Replies
3K Views
Hi, am happy to join you in this platform... Brother White...
0 Reactions
5 Replies
801 Views
Salama wana Jamii Forums...kwa miaka mitano nimekuwa napita humu kimyakimya nakula nondo za maana ubongo unashiba....mwaka huu nimeona ni vema nami niwe mwanachama hai...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Utambulisho Habarini wakuu, kama title inavyojieleza hapo juu Mimi naitwa Mr Zed ni Member mpya hapa JF, Kwanza kabisa napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu Kwa kutupa uhai hadi sasa tunapoelekea...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
We live for what And We die for what
1 Reactions
4 Replies
591 Views
Assalam aleykum warahmatullah wabarakatul. Habari ndugu zangu wana jamii forum,Kwa majina naitwa Omary Athumani..ni kijana mpya katika platform hii,ndugu zangu naomba mpitie chapisho langu na...
1 Reactions
4 Replies
704 Views
Aisee wadau mi napitaga njia tu na kuwaona kwa mbali,napitaga haraka haraka toka mwaka 2015, ila leo nimeamua nikaribie humu ndani nione kunani.
0 Reactions
6 Replies
715 Views
Habari zenu wana JF wote, mimi ni new member, japo nilikuwa na peruzi bila kujisajiri, Natumai nitapata mengi ya kujifunza na kuchangia pia pale inapobidi. Asanteni.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
HODI, Naitwa D Felix Member Mpya Kbx so Naiman Ntajuzwa na Kuelekezwa Meng Mengineyo.
1 Reactions
4 Replies
613 Views
Hodi wadau wa Jamii forums, I hope mko poa, kwa mda mrefu nimekuwa msomaji wa mada mbalimbali hapa jf bila kupewa access ya kupost au kuchangia jambo lolote japokuwa nimejiunga jf mda mrefu...
0 Reactions
3 Replies
909 Views
Habari zenu waungwana, Mimi mgeni humu japo sio mgeni sana. Nimekuwa nikisoma na kupitia mijadala mbali mbali lakini suala la kuchangia mijadala mbalimbali ndio limenivuta kufungua ID rasmi...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Utambulisho Mimi mgeni humu.
1 Reactions
6 Replies
766 Views
Hope you doing good It'my first time to be in jf !!!
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom