Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Baada ya kusoma kwa siku kadhaa sasa nimeingia rasmi JF ila uchunguzi wangu umebaini kuwa kuna memba hawaielewi hii forum au kwa makusudi hawataki kuielewa, HESHIMU MAWAZO YA MWENZAKO KOSOA BILA...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Good day wana JF nyoote, naomba baraka zenu wakati nikijitambulisha kwenu kwa ajili ya kusukuma maendeleo ya taifa letu mbele ndugu zang. Naomba nipokeeni kwa upendo wa bwana. gawiza bhagalu? thanks
0 Reactions
2 Replies
935 Views
Hello! naomba kuwasalimia wakubwa shikamooni,wadogo marahabaaaa!! mwangaluka, namnani? shimbonyi,mwakeye,wachamawe,
0 Reactions
7 Replies
1K Views
mpiganaji mwenzenu nimeingia rasmi jukwaani.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Napiga hodi rasmi ndani ya jamii ingawa nimekuwa msomaji mzuri wa forum hii
0 Reactions
1 Replies
845 Views
Jamani wana Jf me nilijiunga zamani lakini bila kujitambulisha leo nimeona ni vuzuri nijitambulishe ili tuwe pamoja jamani inchi yetu inaenda wapi?
0 Reactions
4 Replies
987 Views
habari zenu? mimi triza nimeipenda jamii forum kujiunga nanyi tubadilishane mawazo
0 Reactions
5 Replies
907 Views
I AM GLAD I AM BACK TO JAMII FORUMS. HOW ARE YOU DOING ALL? NASEMA ASANTE SANA KWA JINSI MEMBERS WALIVYONIFANYA NIRUDI JAMII FORUMS KUTOKANA NA MICHANGO YAO SAFI TOFAUTI NA ZAMANI. NIMEFURAHIA...
0 Reactions
1 Replies
983 Views
Mimi ni msomaji mzuri wa post mbalimbali ambazo wana JF wamekuwa wakizichangia na huwa navutiwa sana na michango ya members. Tafadhali naomba mnipokee ili nami niweze kuchangia kwa manufaa ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
npenda kuwa kwenye hii forum . kwa kweli nimeipenda, imetulia and so interesting.
0 Reactions
1 Replies
696 Views
Nawasalimu all of u, i luv u, i am here to contribute the truth as much as i can, nipokeeni wajameni, i am in hurry, fury, unhappy, angry, with our Nation how is being driven into a big holes...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari wakubwa, naomba kadi ya JF.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Greetings
0 Reactions
3 Replies
850 Views
Nimekuja kuwapa changamoto...nahamisha milima
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Mambo vipi wanajamii forum,mimi mpendwa wenu nipokeeni,na tupeane ushirikiano..
0 Reactions
4 Replies
873 Views
Nawapenda wote nategemea kupata elimu dunia hapa na kujuzwa mambo mengi nisiyoyajua..kazi njema
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hi wana jf, nilikua nimepotea kidogo sasa nimerudi full.
0 Reactions
4 Replies
992 Views
Habari ndugu zangu, nami nahitaji kuwa member wa jukwaa hili. Naomba ukaribisho
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Hodi! Hodi! Wana jf!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom