SoC01 Threads

  • Suggestion Suggestion
I always get excited whenever I am on duty to perform pharmacy practice in any dispensing outlet. And today was not different from any other day. “Ms. Eli-Ukende, you are here so early today”...
0 Reactions
0 Replies
410 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Ni kitu ambacho nimejiuliza kwa muda mrefu Sana. Ni watu wengi Sana wanafanya hizi biashara ndogo ndogo kama kuuza nyanya, duka, kuuza samaki,kushona nguo, na biashara nyinginezo za kijasiriamali...
4 Reactions
3 Replies
2K Views
Upvote 6
  • Suggestion Suggestion
Habari zenu wakuu wa JF. Kwenye andiko hili nitaelezea baadhi ya maboresho yanayohitajikika au yanayo paswa kutekelezwa ili kutuletea maendeleo na pia kuendana na ukuaji wa uchumi duniani...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Habari yako mwanajamii. Kwa wasaa mwingine tena kuyajua haya : Ujangili ni shughuli ya kiharamia ambayo hufanywa na baadhi ya watu katika kuwinda wanyamapori ambao pia ni rasilimali kubwa kwa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Dunia inaenda kasi wala haifanani na ya miaka 200+ iliyopita. Kila taifa linajitafutia njia za kujipatia mapato na kurahisisha huduma zake kuendana na kasi ya teknolojia inakua na kutanuka kila...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Upvote 6
  • Suggestion Suggestion
Sekta ya habari ipewe kipaumbele Kwa kuwa ndiyo sauti ya jamii kwasababu kwa miaka mingi sasa imeendeleza jukumu lake la kuwasilisha taarifa mbalimbali kwa umma na katika kutoa elimu katika jamii...
1 Reactions
0 Replies
475 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Habari yako mdau unaefwatilia makala hii Siku ya leo karibu tuangazie mambo yanayolenga ukatili wa kijinsia katika maeneo ya kazi Karibu Mdau wangu kama unavyofahamu kwamba kwa hivi sasa kuna...
1 Reactions
0 Replies
583 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Utguanlizi: Machinga ni jina maarufu wanaloitwa wafanya biashara ndogondogo wa mijini na vijijini kote nchini. Wafanyabiashara wa kundi hili wanatabia ya kuhamahama kutembea huku na kule...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
My name is Villain. I am a soldier by profession. I fight for my people with whatever cost. There is a threat globally. It threatens my people and I can’t just sit and watch. Younger children, men...
1 Reactions
0 Replies
305 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
KUFAHAMIANA (CONNECTIONS) KATIKA KUPATA KAZI. Kuna tabia imezuka sana katika jamii zetu na kadri tunavyosonga mbele inaelekea kuwa sugu, si nyingine tabia hii ni kupeana kazi/ajira kwa...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Kama tujuavyo Maendeleo ya nchi yoyote duniani hutegemea kodi kutoka kwa raia wake ili kuweza kujiendesha na kujiimarisha kiuchumi, kama ambavyo pia nchi yetu imekuwa ikifanya jitihada zaidi...
0 Reactions
0 Replies
512 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Wahamiaji hao ambao hutokea nchi zenye machafuko ya kisiasa na hatimaye kufika nchini kwetu na kupokelewa na wenyeji wa hapa kwetu kwa sasa wimbi hili kubwa linalotokea kila mwaka ni tishio kwa...
1 Reactions
0 Replies
425 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Ili Maendeleo yawepo panahitajika amani, umoja na mshikamano katika kufanya shughuli hizo zenye kuleta maendeleo katika jamii. Serikali imekuwa ikiweka jitihada nyingi katika kuhakikisha...
0 Reactions
0 Replies
431 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Kama tunavyofahamu kwa tafsiri kwamba mazingira ni jumla ya vitu vyote vinavyomzunguko mwanadamu ikihusisha vilivyo hai na visivyo hai, Anga hewa, Wadudu, Ndege wanyama mbalimbali na mimea na...
0 Reactions
0 Replies
707 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Hasa kumekuwa na wimbi kubwa la watu kutafuta ajira huku wengine wengi wakiambulia patupu Pengine sababu inaweza kuwa tunasoma na kufundishwa kwamba tupate vyeti ili mwisho wa siku tuajiriwe na...
0 Reactions
0 Replies
455 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Je, Kwa mtazamo wako unalionaje hilo? Katika mazingira yetu wengi tumezaliwa na kuikuta miti ambayo mwanzo tulijua tu ni kwa ajili ya kivuli na kutupatia kuni na mbao tu, Lakini mara baada ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Katika miaka kadhaa ya hivi karibuni tumeshuhudia kwa vile ambavyo mabadiliko hayo yanavyoathiri jamii yetu Mara kadhaa kumekuwepo hali tofauti tofauti katika majira ambapo inaweza ikatokea mvua...
0 Reactions
0 Replies
536 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Habari za jioni wapendwa katika bwana, Siku leo ningeliomba kugusia maswala yanayohusu kilimo ambapo kama tujuavyo kwamba kilimo ni uti wa mgongo katika kuchochea ongezeko kwa pato la taifa...
0 Reactions
0 Replies
367 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Binadamu kama viumbe wengine duniani ni kiumbe ambaye msingi wa uwepo wake ni mabadiliko au ukuaji, zaidi ya viumbe wengine baadhi ya ukuaji wake lazima aufanye kwa hiyari yake. Ni katika...
5 Reactions
0 Replies
950 Views
Upvote 5
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI "Changia Damu,Okoa Maisha"hii ni kauli mbiu ya mpango wa taifa wa damu salama inayotumika kuhamasisha uchangiaji wa damu ili kuokoa maisha. Watu wengi,watoto kwa watu wazima wanahitaji...
4 Reactions
4 Replies
2K Views
Upvote 5
Back
Top Bottom