UTANGULIZI
TEHAMA au Teknolojia ya Habari na Mawasiliano ni mkusanyiko wa watu,vifaa vya kompyuta na mawasiliano,programu na data ambazo zinachakatwa na kutoa au kupata taarifa zinazo tumika...
Tatizo la ajira limekuwa Tatizo kubwa Sana katika nchini mbalimbali za bara la Africa, Tatizo hili ni matokeo ya mfumo wa elimu tulionao katika nchi yetu ya jamuhuri ya muungano Tanzania.
Tangu...
Mada yangu itajikita zaidi kuonesha namna uhuru wa fikra na kusema unaweza kuwa ni chachu ya kuleta mapinduzi ya maendeleo ya kiuchumi kwa jamii, hususani ya watanzania. Hivo, natoa pia fursa kwa...
WANAFUNZI WAFUNDISHWE SANAA SHULENI.
Sanaa ni ufundi au ujuzi ambao unatokana na fikra za mwanadamu na kuwasilisha kwa wengine. Sanaa imebaba matawi mbalimbali kama vile ushonaji, muziki, uhunzi...
Kijana ambae umemaliza KIDATO Cha sita na hukufaulu kujiunga na elimu ya juu yaani chuo kikuu kutokana na kutokufikisha alama sitahiki kwa ajili ya kujiunga chuo kikuu zingatia haya yafuatayo...
Awali ya yote ninamshukuru Mungu aliyetuweka hai mpaka sasa mimi na wewe tupo pamoja katika ukurasa wetu wa jamii.
Mwanajamii, karibu tuangalie kwa pamoja kwa jinsi gani tunaweza kuchukua hatua...
ALHAMISI ya Julai 15, 2021 inaweza kuwa moja ya siku yenye kumbukumbu ya kuchosha akili za mamilioni ya Watanzania, ambao simu imekuwa tegemeo lao la kufanya miamala ili kufanikisha shughuli...
Kwa miaka mingi dunia ilipitia changamoto nyingi sana kwa baadhi ya jamii kuzitawala jamii nyingine au taifa moja kulitawala taifa jingine katika kila nyanja kuanzia siasa, uchumi, biashara na...
Swala la elimu ni pana sana ni kweli kabisa. Pia tunaelewa kuwa mfumo huu wa elimu ndio umetufikisha hapa leo hii. Lakini Serikali kila siku inakubali kuwa teknolojia inazidi kukua,lakini bado kwa...
Sia ni binti ambaye wakati Fulani tuliwahi kuwa katika uhusiano wa kimapenzi,Japokuwa ndio kwanza tulikuwa tumetoka masomoni kwa kuhitimu kidato cha sita.Si jina lake halisi ,Lakini naamini...
Tunayategemea mazingira, tunaishi ndani yake, hapana Shaka bila ya mazingira maisha yetu hayawezekaniki, pengine niseme, Sisi ni watoto wa mazingira, nayo ndiyo Mama yetu anayetulea Kwa kutupatia...
Ni wazi kuwa kwa sasa kuna tatizo kubwa la ajira nchini. Ni jambo la kawaida kabisa Watu 1000 kugombea nafasi tano za kazi. Rejea Ajira za Elimu na Aya zilizotolewa na Tamisemi mwaka Huu 2021...
KILIMO - BIASHARA
Sekta ya kilimo ni sekta inayotegemewa sana katika kukuza uchumi na kuendeleza maisha ya watanzania walio wengi. Hata hivyo sekta hii imeendelea kutawaliwa na wakulima wadogo...
Kwanza naomba niseme mimi sio mwanachama wa chama chochote lakini kama mtu huru ninao uwezo wa kuishauri serikali na Rais wetu njia bora ya kupata Katiba mpya
Kuna watu watauliza je kwanini...
Nawasalimu wana jukwaa,amani iwe nanyi!
Kwanza kabisa naomba nimshukuru Mungu kwa kunijaalia uzima hadi ninapoandika andiko hili sina budi kusema Alhamndulilah!
Bado kuna upungufu wa walimu wa...
Njia ya mafanikio ina changamoto nyingi sana. Changamoto ambazo anahitajika mpambanaji ajizatiti kwa ngao ya kutokata tamaa na ajikinge kwa silaha ya uvumilivu. Vikatisha tamaa katika maisha ni...
Wafungwa ni watu wanaotumikia vifungo mbali mbali katika magereza zilizopo nchini Tanzania kote.
Wafungwa hawa wana ujuzi tofauti tofauti kwa kusomea ama kwa kujifunza mtaani, wengine ni...
Kilimo cha Bangi,kuweka tozo na kupunguza posho za watumishi wa Serikali katika kuongeza pato la Taifa mbadala wa tozo za simu, mafuta ya petroli, dizeli, mafuta ya taa, mafuta ya chakula na...
Katika hali ya kawaida, kila mtu mwenye kipato lazima kwa njia moja au nyingine ajikute analipa kodi. Kodi inaweza kulipwa kupitia manunuzi/matumizi, mshahara, biashara, au uwekezaji.Kwa...
Uchumi ni jumla ya shughuli zote za binadamu zinazolenga kutosheleza mahitaji yao. Namueleza mchumi kama mtaalamu ambaye kesho atajua kwanini vitu alivyotabiri jana havijatokea leo. Mjasiriamali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.