SoC04 Threads

  • Suggestion Suggestion
Kukuza Ajira kwa Vijana wa Tanzania kwa Miaka 5 Hadi 25 Ijayo Ili kupata Tanzania yenye uchumi Bora. Tanzania inakabiliwa na changamoto kubwa ya ajira kwa vijana, hali inayotishia ustawi wa taifa...
0 Reactions
0 Replies
170 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Kilimo bado ni muhimu sana nchini Tanzania, kwani kinatoa ajira kwa idadi kubwa ya watu na kuchangia takribani robo moja ya pato la ndani la taifa (Benson, 2017; Cooksey, 2012). Kwa kutegemea sana...
3 Reactions
10 Replies
369 Views
Upvote 10
  • Suggestion Suggestion
Kwa mujibu wa utafiti wa umoja wa mataifa, kila baada ya sekunde 8 mtu mmoja hufa kutokana na madhara ya sigara. 📸Wikipedia Sigara ina madhara makubwa sana katika mwili wa binadamu, lakini...
1 Reactions
0 Replies
176 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Ili tuweze Kufikia malengo tunahitaji kuwa na juhudi, tuweze kuvuka vikwazo na kukamilisha mipango sahihi. Viongozi wetu waonyeshe dira, pamoja tufanye kazi, tuweze kuzalisha ili tufikie...
1 Reactions
3 Replies
256 Views
Upvote 13
  • Suggestion Suggestion
Ili kupunguza changamoto ya foleni katika maeneo tofauti nchini Tanzania ni kuboresha miundombinu ya barabara zetu ambazo ndio chachu ya maendeleo kwa kiasi kikubwa kwani itapelekea Watu kuwahi...
1 Reactions
1 Replies
96 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Munakasha wa kipi kianze kati ya vitu hivyo viwili umekua ni endelevu na wa muda mrefu na mgumu. Aina zote mbili za uhuru ni misingi ya jamii za kidemokrasia na maendeleo binafsi na taifa kwa...
1 Reactions
0 Replies
163 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Nimushukuru mwenyezi mungu Kwa kunipa afya njema nami niwakaribishe watanzania wenzangu katika #storyofchange na jamii forums. Kama ambavyo bendera yetu ikiwakilisha rangi zake nne blue(bahari na...
2 Reactions
1 Replies
116 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Je! watanzania tunaowataka ni wa aina gani? Majibu mepesi ni kwamba tunahitaji Watanzania wazalendo, wachapakazi, waadilifu na wenye maendeleo ya mtu mmoja mmoja kwajili ya afya ya taifa lenye...
1 Reactions
6 Replies
170 Views
Upvote 6
  • Suggestion Suggestion
Kabla ya kuendelea na mada husika ningependa kwanza tuelewe maana ya ujuzi. UJUZI ni maarifa aliyonayo mtu katika kubuni, kufikiri, kuunda na kutenda jambo au kitu kitakachomsaidia yeye mwenyewe...
2 Reactions
1 Replies
169 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
NATAKA TANZANIA IWE YA MAFANO DUNIANI (USHAIRI) --------------------------------------------------- maono yalo moyoni, kichwani mwangu akili asilimia Imani, naona hiyo fahali Miji paka jijini...
2 Reactions
2 Replies
138 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI. Kwa miaka mingi sasa Jeshi la Polisi limekuwa likilalamikiwa na wananchi pamoja na taasisi mbalimbali zinazojihusisha na haki za binadamu na uhuru wa watu kwamba linajihusisha na...
1 Reactions
0 Replies
185 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Tanzania, kama ilivyo kwa mataifa mengi duniani, inajitahidi kuunda jamii yenye usawa zaidi. Usawa wa kijinsia umekuwa kipaumbele katika ajenda za kitaifa na kimataifa, na kwa hakika, tumepiga...
2 Reactions
7 Replies
431 Views
Upvote 7
  • Suggestion Suggestion
Tanzania ni nchi yenye amani iliyosheheni watu wa rika zote. Kijana wa Tanzania Tuitakayo ni mfano wa kisiwa katikati ya bahari. Hivi ndivyo ninavyomfananisha kijana mmoja aliye katika jamii...
1 Reactions
1 Replies
541 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
1. Usawa: Usawa ni kipengele muhimu katika kujenga taifa lenye mshikamano na maendeleo ya kudumu. Tanzania inahitaji kuzingatia usawa katika nyanja mbalimbali Kijinsia: Lengo ni kuhakikisha kuwa...
2 Reactions
2 Replies
422 Views
Upvote 7
  • Suggestion Suggestion
I envision our country as having immense potential to become the business hub of Africa. Blessed with natural harbors and bordered by eight countries, many of which are landlocked, we possess a...
2 Reactions
1 Replies
120 Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
Serikali inapaswa kuongeza idadi wa madaktari wa kike ,ili Wawa hudumie Wana wake pale wanapofika hospitalini. Kufanya hivyo kutapunguza unyanyasaji wa kijinsia na kuongeza ufanisi wa kazi...
1 Reactions
3 Replies
254 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Kijana mwenye adabu kamwe awezi kukaa kwenye kiti iwapo kuna mzee kasimama, iwe kwenye daladala au sehemu nyingine, na hii ni kulingana na hii ni kulingana na utamaduni wetu wa kitanzania, lakini...
4 Reactions
9 Replies
344 Views
Upvote 13
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi Katika moyo wa Afrika Mashariki, Tanzania inasimama katika njia panda kati ya mila na uvumbuzi. Ikiwa na idadi kubwa ya vijana, taifa lina hazina ya uwezo ambao bado...
2 Reactions
2 Replies
284 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Mabadiriko yanatakiwa kufanyika katika utendaji wa Takukuru na CAG ili kuzuia ubadhirifu na ufisadi katika miradi na fedha za uma zinazotolewa na serikali. Kama sheria ya 2007 inayoipa takukuru...
1 Reactions
7 Replies
248 Views
Upvote 7
  • Suggestion Suggestion
Kumetokea sasaiv wimbi la vijana wasiotaka kuoa lakini wana vipato vizuri, wengi wao wanasingizia kuwa bado hawajajipanga, lakini hao hao ndio wanaongoza kufanya uasherati wamekuwa wanawapa...
3 Reactions
3 Replies
192 Views
Upvote 3
Back
Top Bottom