SoC04 Threads

  • Suggestion Suggestion
Wizara ya ardhi ni miongoni mwa sekta nyeti sana ambayo mtu yeyote anayepewa nafasi ya kuiongoza wizara hii hapaswi kucheza nayo hata kidogo mathalani viongozi wa vijiji na watendaji wote katika...
0 Reactions
0 Replies
186 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Nashauri bajeti ya Wizara ya Ulinzi iongezwe kwa kiasi kikubwa sana, ili kuliwezesha jeshi letu kwenda na kasi ya maendeleo ya kijeshi duniani. Pia vigezo vya kujiunga na jeshi viangaliwe. Yaani...
0 Reactions
1 Replies
179 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Ni jioni tulivu kabisa, naamua kuperuzi mtandaoni kupitia simu yangu ya kiganjani. nakutana na tangazo kutoka jamii forums linalohusu stories for change, ambalo kama nitaamua kushiriki napaswa...
0 Reactions
0 Replies
158 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
TANZANIA YA KESHO NA UTALII Tanzania ni miongoni mwa nchi pekee barani africa na duniani kote kwa ujumla kwakuwa na vivutio vingi ikiwemo mbuga za wanyama, mapori, mito pamoja na safu za...
0 Reactions
0 Replies
154 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Disability Inclusive Culture in Tanzania. Introduction: - According to the 2012 Tanzanian Census, there were 2,772,032 people with disabilities in the country, which represents 6.2% of the total...
2 Reactions
0 Replies
218 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Jukumu la Serikali Kutoa Kipaumbele kwa Maendeleo ya Vijijini Katika nchi yangu ya Tanzania, kuna hali inayozidi kuonekana ambapo serikali inatoa kipaumbele zaidi kwa maeneo ya mijini kuliko...
0 Reactions
0 Replies
178 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
1 elimu tulio nayo atuna uhitaji nayo kwa sasa. tuzalishe watoto wenye ujuzi mbali mbali wasome Toka darasa la 5 2 tupuguze muda wa kukaa darasani muda mwingi wa kusoma unafanya elimu isiwe...
0 Reactions
0 Replies
135 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Maono yangu kuhusu TANZANIA TUITAKAYO yamejikita katika nyanja 6 ambazo ni elimu, afya, Teknolojia, uchumi, mazingira na miundombinu. 1. ELIMU. -serikali kuendeleza mchakato wa elimu ya watu...
0 Reactions
0 Replies
142 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Tanzania ni nchi inayopatikana ndani ya bara la Africa na ipo kwenye ukanda wa Afrika ya mashariki pia kusini mwa jangwa la sahara,ni nchi inayoundwa na nchi mbili ambazo ziliamua kuungana mnamo...
0 Reactions
0 Replies
160 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi Kujiua au kujaribu kujiua ni kitendo cha mtu kusababisha au kujaribu kusababisha kifo chake mwenyewe kwa makusudi kwa njia mbalimbali. Mara nyingi chanzo huwa ni matatizo ya kihisia...
1 Reactions
0 Replies
441 Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
Salamu Mabibi na Mabwana; Dibaji. Sekta ya michezo ni moja ya Sekta zenye uwezo wa kujiendesha zenyewe kwa asilimia kubwa,kupitia namna ambavyo zinaingiza mapato makubwa na inazalisha fursa...
0 Reactions
0 Replies
515 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Teknolojia ina jukumu muhimu katika kuendesha maendeleo ya kisasa na kuleta mabadiliko chanya katika jamii. Kuelekea miaka 5 hadi 25 ijayo, Tanzania inapaswa kulenga katika kukuza matumizi ya...
0 Reactions
0 Replies
192 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Tanzania inakabiliwa na changamoto na fursa nyingi katika kuboresha mfumo wake wa elimu ili kuandaa vizazi vijavyo kwa mafanikio na ustawi wa taifa. Hapa, tunaangazia mawazo bunifu yanayoweza...
0 Reactions
0 Replies
195 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Ukuaji wa taifa lolote wenye kuleta tija unategemea nguvukazi kubwa sana ya vijana wake. Mathalani, rasilimali hii adhimu ya taifa imejikuta ikiachwa nyuma sana katika hatua mbalimbali za...
0 Reactions
0 Replies
229 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI Katika juhudi za kupambana na changamoto ya ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana nchini Tanzania, serikali pamoja na wadau mbalimbali wa maendeleo waanzishe kliniki maalumu za...
0 Reactions
0 Replies
272 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Picha kutoka shirikisho la vyama vya watu wenye ulemavu Tanzania. Mungu hajakosea kumfanya kila mmoja wetu jinsi alivyo,japo kati yetu kuna walemavu ambao huwa na matatizo au upungufu wa...
0 Reactions
1 Replies
225 Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
TANZANIA TUITAKAYO: KUWEKEZA KATIKA TEKNOLOJIA YA HALI YA JUU KWA MUSTAKABALI WA TAIFA Utangulizi Katika ulimwengu wa sasa, teknolojia ya hali ya juu imekuwa msingi wa maendeleo ya kiuchumi na...
1 Reactions
0 Replies
233 Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
The Parched Village In the village of Mwaloni, a young girl named Neema stares despondently at the cracked, dry basin that was once her community's well. Forced to abandon school and embark on an...
1 Reactions
3 Replies
201 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Makala haya yanaangazia suluhisho la kina na mikakati ya kukabiliana na mfumuko wa bei, kukuza uchumi thabiti na unaostawi katika kipindi cha miaka 5, 10, 15, na 25 ijayo. Suluhu za Muda Mfupi...
0 Reactions
0 Replies
154 Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
TAKUKURU - Taasisi Ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa jukumu lake mama ni kupambana na rushwa na ufisadi nchini. Hata hivyo, ufanisi wa juhudi hizi unategemea sana uwezo wa wananchi kutoa taarifa za...
1 Reactions
0 Replies
167 Views
Upvote 4
Back
Top Bottom