Rapa kutoka New York Marekani 50 Cent ameendelea kuwashushia zigo la lawama familia ya Jay Z kwa kile anachodai haiwatendei haki wasanii wengine kutokana na nafasi ambayo familia hio inayo kwenye Grammy na maeneo mengine.
Kwa muda sasa Jay Z amekua akipokea lawama nyingi kutoka kwa 50 Cent...
Kutokana na kwamba mwanangu Marquise hataka kuchukua biashara niliyompa yenye thamani ya almost $5 milioni, nimeamua kuacha kumpa $6700 ya matunzo ya kila mwezi. Nafikiri ni wakati mitaa kumfundisha maisha.”
Hivi sasa sina tena uhusiano mazuri na mwanangu Marquise.
Ni hali ya kusikitisha...
Rapa wa Marekani Curtis Jackson, maarufu kama 50 Cent, amekataa ofa ya zaidi ya TSh bilioni 8 aliyopokea ili kutumbuiza kwenye kampeni za Donald Trump. Katika mahojiano na Power 105.1 New York, 50 Cent alisema kwamba alialikwa kutumbuiza wimbo wake maarufu “Many Men” kwenye Mkutano wa Kitaifa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.