KUTEKWA KWA KIBANDA
Kibanda ni Nani? Mwanahabari, Mnyakyusa, na Mkristo
NIANZE kwa kuomboleza msiba wa jicho moja la Absalom Kibanda. Jicho hilo lilijeruhiwa na watu wabaya usiku alipotekwa na kupigwa na watu hao.
Tumejulishwa kuwa madaktari wanne walijitahidi sana kuokoa jicho...