CCM tayari wameshabugi kwa kumchagua mgombea wao kiholela, hata kama inajulikana ni mama ndiye angekuwa mgombea, lakini nguvu ya "MCHAKATO" wenyewe ndiyo huwa inaleta mshindo mkuu huko mtaani. Sasa mpaka kufika mwezi wa saba, ratings ya mama huko mtaani itakuwa ndogo sana.
Hata hivyo, majabali...