ada ya mkopo

  1. Memtata

    NMB, hesabu zenu za mkopo sijazielewa

    Mwezi uliopita nilipata shida ya pesa nikaona kuliko kwenda kwa kausha damu bora niende NMB nikafanye top-up sababu nilikuwa tayari namkopo, lakini baada ya kuchungulia account yangu wananiambia bado inasoma negative siwezi kupata chochote! Tangu nichukue mkopo ni mwaka mmoja sasa, lakini...
Back
Top Bottom