adam

Adam (Hebrew: אָדָם‎‎, Modern: ʼAdam, Tiberian: ʾĀḏām; Aramaic: ܐܕܡ; Arabic: آدَم‎, romanized: ʾĀdam; Greek: Ἀδάμ, romanized: Adám; Latin: Adam) is a figure in the Book of Genesis of the Hebrew Bible and Christian Bible, and also in the Quran. According to the creation myth of the Abrahamic religions, he was the first man. In both Genesis and Quran, Adam and his wife were expelled from the Garden of Eden for eating the fruit of the tree of knowledge of good and evil.
Various forms of creationism and biblical literalism consider Adam to be a historical person. Scientific evidence does not support the idea that the entire human population descends from a single man.The word adam is also used in the Bible as a pronoun, individually as "a human" and in a collective sense as "mankind". Biblical Adam (man, mankind) is created from adamah (earth), and Genesis 1–8 makes considerable play of the bond between them, for Adam is estranged from the earth through his disobedience.

View More On Wikipedia.org
  1. Skull dance

    Kitabu cha Adam na Hawa

    Habari zenu wakuu, Katika uzi huu, nitaleta maandiko ya kitabu cha Adam na Hawa (The book of Adam and Eve) cha kwanza na cha pili ambacho kwa sababu wanazozifahamu wahusika wamekiondoa kwenye vitabu vya Biblia. Kitabu hiki nitakituma humu kwa Kiswahili kupitia Google translate kwa hiyo baadhi...
  2. Abby Uladu

    Tafakuri juu ya Hawa(EVA) kusingiziwa kuwa alimshawishi Adam Kula tunda na msimamo katika maandishi ya dini kwa mwanamke.(Part 1)

    Dini zote mashuhuri duniani hasa Ukristo ,Uyahudi na Uislam zinakubaliana ya kuwa binaadam ameumbwa na Mungu,ambaye ni muumba wa ulimwengu mzima.Licha ya hivyo utofauti unakuja mara baada ya kuumbwa mwanaume wa Kwanza(Adam).zipo tafakuri na dhana za kiitikadi mbalimbali katika dini tofauti juu...
  3. milele amina

    Elimu bila Rushwa: Kuhama kwa mhadhiri Dr. Adam kutoka Chuo Kikuu cha MWECAU, kilichopo Kilimanjaro,wanachuo WAMESALI SALA YA TOBA!

    Kuhama kwa mhadhiri Dr. Adam kutoka Chuo Kikuu cha Mwecau, kilichopo Kilimanjaro, kumekuwa na tukio la kihistoria ambalo wanafunzi wa shahada ya pili chuoni hapo wameamua kulisherehekea kwa sherehe maalum. Wanafunzi hao wameonyesha furaha na matumaini ya mabadiliko chanya baada ya Dr. Adam...
  4. God Fearing Person

    Nani anamjua Adam Bairu aliyekuwa anaifadhili Yanga kule Arusha?

    Kuna Mambo naendelea kujifunza nani alikuwa anamjua tajiri Adam Bairu alyewahi kuifadhili au kuisaport Yanga Africans. (FC)?
  5. Eli Cohen

    Adam Sandler vs Ben Stiller: Nani ni mfalme wa Comedy Movies

    BEN STILLER Miongoni ya Movies zake: 1: Night at the museum 2: Along came Polly 3: Meet the Fockers 4: Tropic Thunder 5: Zoolander ADAM SANDLER Miongoni ya movies zake: 1: Anger Management 2: Grown ups 3: Zohan 4: Just go with it 5: Blended
  6. J

    Tunajua Mungu alimuumba Adam; je ulipata kujua ilitokeaje Dunia ikawa na watu wengi? Ni hatima ya watu weusi?

    Tupate majibu yako na huku ukitipatia chanzo chako. Mm chanzo habari yangu ni sunnah.com ambapo utasoma ktk Hadith ya 119 ya Mishkat Al-Masabih
  7. Kaka yake shetani

    Dhana ya Adam na Hawa kuwa wa mwanzo kwenye dunia na hadithi ya Nuhu ni mada ambazo zimekuwa na hukakasi nyingi za kifikra na kidini

    Watu wamekuwa wakibishana kuhusu uhalisia wa hadithi hizi na jinsi zinavyolingana au kutofautiana na maarifa ya kisayansi na historia. Kwa mfano, wengine wanachukulia hadithi ya Adam na Hawa kama tafsiri ya kiroho zaidi kuliko kama historia halisi, huku wengine wakiiona kama ukweli wa...
  8. K

    Adam Sapi Mkwawa alishika nafasi ya Spika mara 2

    Adam Sapi Mkwawa alishika Uspika mara mbili, kwa anayejua kwa nini atusaidie. Erasto Andrew Mbwana Mang'enya alishika miaka 2 tu baadae Adam akaja kushika tena.
  9. Expensive life

    Kama Adam, Farao na Samsoni maanguko yao yalitokana na kumuamini mwanamke. Mimi na wewe ni nani?

    Ni mama zetu sawa, wake zetu pia, huwa tunaenjoy sana mtupapo utelezi ila ni hatari sana hawa viumbe. Ukiachana na sisi wajamba kunani maanguko ya watu wengi maarufu, matajiri, wasanii wakubwa, wanamichezo pale waangukapo basi asilimia 90 wanawake ndio chanzo. Kuna wamba wameenda mbali zaidi...
  10. green rajab

    Base ya NATO yalipuliwa, Jenerali Adam kauawa

    🚨Top NATO general killed in a Russian Iskander missile strike on NATO underground base near Chasov Yar. ⚡️The Operational Command of the Polish Armed Forces have confirmed the death of Brigadier General Adam Marczak but are covering up the fact that he was killed in Ukraine. 🤡The official NATO...
  11. Mad Max

    Today I Learned (TIL): Adam alikuwa na Wake Wawili

    Katika pita pita nimesoma hivo leo. Sio kwenye biblia. Kwamba Adam alikua na mke wa kwanza anaitwa Lilith ambae nae aliumbwa na Mungu kwa udongo. Sio kutolewa mbavuni kwa Adam. Ila Adam alivotaka kumdominate Lilith, uyu sista akawa kiburi akakataa kutawaliwa. Wakagombana. Pia pengine walisema...
  12. dawa yenu

    Adam Mchomvu hakui?

    Adam Mchomvu ni moja kati ya majina makubwa na yenye athari chanya katika muziki wa Tanzania hususani Bongo Fleva! Amewapa mashavu wana kibao na wanakiri kuwa uwepo wa Adam ulirahisha safari zao za mafanikio katika kiwanda Cha muziki! Zaidi ya asilimia 70 ya wasanii walioibuka kabla ya...
  13. benzemah

    UTEUZI: Rais Samia Amteua Adam Charles Mihayo kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Biashara Tanzania (TCB)

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Bw. Adam Charles Mihayo kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Biashara Tanzania (TCB). Bw. Mihayo ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Afrika Tanzania. Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Novemba, 2023
  14. Dam55

    Kwanini Mungu hakufinyanga mavumbi ya nchi kuumba mwanamke badala yake akachukua nyama toka kwa Adam?

    Ni swali ambalo nimejiuliza sana kwa wajuvi na wenye Elimu basi mnisaidie majibu tafadhali. Tukisoma maandiko tunaona kuwa Adam aliumbwa kwa mavumbi ya nchi ila ilipokuja kesi ya kuumbwa mwanamke HAWA/EVA mambo yakawa tofauti. Mungu akampa Adam usingizi mzito kisha akatoa nyama ubavuni pa Adam...
  15. Fortilo

    RC Adam Malima ashauri Serikali kuwa makini kwenye Mkataba wa DP World, ili tusipigwe kama kwenye Mikataba ya Madini

    Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na...
  16. The Assassin

    Je, ni mwanamke yupi alikuwa mke wa kwanza wa Adam kati ya Eva ama Lilith?

    Naomba kufahamu, kati ya Lilith na Eva ama Hawa ni nani alikua mke wa kwanza wa Adam. Biblia inasema Eva ndio mke wa Adam pekee na kwamba ametoka kwenye ubavu wake lakini vitabu vya kiyahudi vinasema Lilith ndio alikua mke wa kwanza wa Adam kabla hawajagombana na Adam kuachana. Kwa msingi huo...
  17. MSAGA SUMU

    Adam Mchomvu kidogo amtembezee kichapo Ney wa Mitego bar

    Jana mida ya saa 5 usiku katika baa moja maarufu maeneo ya Sinza (jina kapuni) kulitokea patashika baada ya mtangazaji Adam Mchomvu na msanii Ney wa Mitego kukutana. Chanzo cha ugomvi huo ni baada ya Mchomvu kupata kopi ya singo mpya ambayo haijatoka rasmi kutoka kwa Ney ambayo kuna jina la...
  18. chiembe

    Adam Malima, kiongozi aliyependa maendeleo ya Mkoa wa Mwanza, hakika utakumbukwa

    Mwanza imepoteza kiongozi mwana maendeleo, amehamishwa kuelekea Mkoa wa Morogoro. Adam Malima hakika aliifuatilia miradi ya maendeleo kwa moyo mmoja, na hakusita kuwabana watu waliokuwa wanatapanya Mali za Wana mwanza. Ujenzi wa uwanja wa ndege aliufuatilia Kila siku, pale mwanza jengo la...
  19. aka2030

    Mdomo wa Adam Mchomvu, tabia na mwenendo wake

  20. GENTAMYCINE

    Adam Mchomvu wa Clouds FM endelea hivyo hivyo kutembeza Kichapo kwa Wapuuzi na Wanafiki tupo na tutakutetea

    Mmeshajua kuwa Adam Mchomvu hapendi Shobo na kwamba ukijaa tu katika 18 zake Unachapika kwa Kipondo chake Tukuka na cha Kishalubela kwanini Umchokoze? Nimefurahi mno alivyotoa Dozi kwa mwana Yanga Mmoja na Msanii huku Yeye Adam Mchomvu akiwa ni mwana Simba Kindakindaki Mwenzangu. Hopeless...
Back
Top Bottom