Tufike mahali tuwe tayari hata kumfunga paka kengele.
Tanzania ni nchi nzuri sana yenye kila kitu watu, madini, ardhi, mafuta, gesi, mito, maziwa hadi bahari.
Mvua za uhakika na urithi mkubwa wote bure toka kwa Mola. Iweje tufikie kufarakana kwa sababu za kisiasa?
Kwamba ni CCM, Chadema...