The Africa Super League will be an annual continental club football competition run by the CAF that is set to kickoff in August 2023. It was announced on 28 November 2019 by Gianni Infantino, President of FIFA. It was launched on 10 August 2022 in Tanzania, and will include twenty-four elite African clubs with a promotion/relegation system.The essence of holding this tournament is the huge financial returns, projected to exceed $100 million, to be used to develop and improve stadiums, infrastructure and the promotion of African football.
Ukitaka kupata habari za super league basi ukazitafute kwenye magroup ta whatsapp ya mashabiki wa simba au utazisikia kwa Ahmed Ally au Try Again kwenye mkutano wa Simba.
Official page ya CAF (cafonline.com) na social media zake zoote ukikuta habari ya Africa Super league bas ni ile ile...
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mohamed Mwinjuma amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF), Veron Mosengo-Omba.
Katika mkutano huo ulifanyika leo Aprili 6, 2023 Durban nchini Afrika Kusini, Mhe. Mwinjuma ametumia...
Uwanja wa Mkapa kufanyiwa maboresho makubwa kwa michuano ya Africa Super League
Serikali imeahidi kufanya marekebisho makubwa yanayohitajika katika uwanja wa Benjamin Mkapa ili kukidhi viwango vya kimataifa vinavyohitajika katika michuano ya Africa Super League ambayo Klabu ya Simba ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.