africans

The population of Africa has grown rapidly over the past century and consequently shows a large youth bulge, further reinforced by a low life expectancy of below 50 years in some African countries. Total population as of 2020 is estimated at more than 1.341 billion, with a growth rate of more than 2.5% p.a. The total fertility rate (births per woman) for Sub-Saharan Africa is 4.7 as of 2018, the highest in the world according to the World Bank. The most populous African country is Nigeria with 191 million inhabitants as of 2017 and a growth rate of 2.6% p.a.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Hongera dar-es-salaam young africans

    Twende. Mmeonyesha utofauti na ukomavu mkubwa,Kila jicho lililopata nafasi ya kutazama mechi hii ya Dar es salaam Young Africans na waarabu litakiri hili nalokwenda kulisema. Kiwango cha timu kupambana na kutafuta matokeo chanya uwanjani ni kikubwa sana. Utimamu wa miili na akili za wachezaji...
  2. SYLLOGIST!

    Ukraine's conflict with Russia weighs on Africans' minds

    Europeans are weighing getting to know Kenyan's whether they are perfect people like them or we have a little crime to be perfect human beings like them. Even monkeys and apes if you give them bananas they always turn out to be your friends through conditioning (influence) without using their...
  3. Teko Modise

    FT: Marumo Gallants 1 - 2 Young Africans | CAF Confederation Cup 17.05.2023

    Marumo Gallants wapo nyumbani kuwaalika Young Africans katika mchezo wa marudiano ya nusu fainali ya CAF Confederation Cup kwanzia saa 1:00 usiku kwa hapa nyumbani Tanzania. Mechi ya kwanza iliyopigwa juma moja lililopita Yanga waliibuka na ushindi wa mabao 2-0. Hivyo matokeo yoyote ya ushindi...
  4. mwarabu feki

    FT: Singida BS 0 - 2 Yanga S.C | NBC Premier League | Liti Stadium| 04.05.2023

    Mabingwa watetezi wa ligi kuu nchini Tanzania Young Africans Leo wanajitupa dimbani kumenyana na Singida Big Stars katika mchezo wa wa ligi ya NBC.. Ikumbukwe katika mchezo wa awali Yanga waliibuka na ushindi wa magoli 4-1 Je nani ataibuka mshindi? 00" Mpira umeanza 03" Mzize anapiga shuti...
  5. MwananchiOG

    FT: Young Africans SC 5-0 Kagera Sugar | Ligi Kuu Bara | Azam Complex | 11-04-2023

    Karibuni katika mtanange mwingine wa NBC Premier League kati ya mabingwa watetezi Young Africans SC dhidi ya Kagera Sugar FC katika dimba la Estadio de Azam Complex muda wa saa moja kamili usiku Kikosi cha Young Africans 👇👇👇 ▪️Vikosi vinaingia uwanjani hapa ▪️0' Mpira unaanza ▪️03' Mayele...
  6. Kilimbatzz

    Uzi maalumu wa updates za Rivers United vs Dar es Salaam Young Africans

    Wakati tukisubiria mbugi la kisasi kati ya miamba ya Nigeria na Mabingwa wa kihistoria walioshindikanika hapa Bongo, Nitakuwa nakuletea on hand updates za timu hizi mbili ili ujue kiwango cha mpira cha kila mmoja 📌1)Dar Young Africans walicheza Jana mechi ya Kombe la Azam na kuibuka na ushindi...
  7. Kilimbatzz

    Mpinzani wa The Super Dar es Salaam Young Africans kujulikana kesho

    Timu zilizoingia robo fainali kombe la CAF CC ni: 1)Asec Mimosa-Cote d'Ivore 2)Rivers United-Nigeria 3)Marumo Gallants-South Africa 4)Young Africans-Tanzania 5)AS Far Club-Morocco 6)Pyramids-Egypt 7)US Monastrienne-Tunisia 8)USM Alger-Algeria Kuna timu nne za Juu ya Jangwa la Sahara na...
  8. Kilimbatzz

    Baada ya Yanga kutinga robo fainali kwa kishindo, timu zilizoshika nafasi ya pili kwenye makundi yao zinahaha kumkwepa

    Nimepenyezewa za chini ya kapeti. Zile timu zilizoshika nafasi ya pili kwenye makundi yao zinapishana pale HQ za CAF. Lengo lao eti CAF ichengeshe draw Ili wasikutane na miamba hii ya hapa Bongoland. Kuna wengine mpaka wakaamua kuwaconsult maofisa na mashabiki wa Ile timu iliyopigwa nje ndani...
  9. Wakili wa shetani

    Sema jina Young Africans limekaa unyama sana

    Katika timu zote kwenye mashindano ya CAF, jina la Young Africans ndiyo tamu zaidi.
  10. Neter

    AFRICOM is training Africans to overthrow their own governments

    AFRICOM is training Africans to overthrow their own governments In a heated exchange on Thursday, Congressman Matt Gaetz grilledthe Commander of U.S. Africa Command, General Michael Langley over taxpayers’ dollars being spent on training coup leaders in Africa. The exchange served as a...
  11. Greatest Of All Time

    FT: AS Real Bamako 1-1 Young Africans | CAF Confederation Cup | Stade Modibo Keita | 26.02.2023

    Ni Jumapili tulivu, wapenda kandanda tunakutana tena hapa jukwaani kushuhudia mechi za Kombe la Shirikisho Afrika. Leo katika Kundi D, AS Real Bamako ya Mali inawakaribisha wawakilishi wa Tanzania, Young Africans SC. Ikumbukwe AS Real Bamako, bado inatafuta ushindi wake wa kwanza, mara baada...
  12. Mchochezi

    FT: Young Africans 3-1 TP Mazembe | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium | 19/02/2023

    Young Africans watashuka dimbani kuwakaribisha TP Mazembe ktk mchezo wa kombe la shirikisho afrika. Yanga ina historia ya kufungwa na Mazembe mara nyingi. Leo wataweza kupindua meza? Yanga wanapaswa washinde ili kulinda heshima ya nchi. Mazembe wanapewa nafasi kubwa ya kuibuka na ushindi ktk...
  13. NetMaster

    𝗙𝗨𝗟𝗟 𝗧𝗜𝗠𝗘: Mapinduzi cup: Yanga 1-0 KMKM SC

    Mechi ngumu sana lakini Wananchi wamepambana mpaka mwisho, KMKM ni wazuri sana chini ya Kocha Hemed Morocco lakini hawakuweza kuwa wababe mbele ya Wananchi, alama tatu kwao. Sio timu tu kutoka Zanzibar, Ni KMKM, mabingwa wa ligi ya Zanzibar tuliowashinda tena kwa kikosi cha pili, hii ndio maana...
  14. OKW BOBAN SUNZU

    Club Africain 0-1 Young Africans | CAFCC Playoff | Yanga yatinga hatua ya makundi

    FULL TIME: Yanga inafanikiwa kufuzu Hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika 90' Zinaongezwa dakika 4 za nyongeza 89' Bakari Mwamnyeto anaingia anatoka Morrison 88' Wenyeji wanaonekana kama wamkata tamaa, wanapata kona 80' Yanga wameanza kucheza vizuri zaidi, wanamiliki mpira Azizi Ki...
  15. Waterbender

    The history of Nubians, aliens and Earthans

    Habari kwa wote, Historia hii nimeitoa huko ulimwenguni nimeunganisha doti zangu na ww unganisha zako. LEGEZA FUVU KIDOGO😅 The history of Nubians,Aliens and Earthans alkebulan By NeoMoletsane: The earth is 4.5 billion years old. The Khoi and San (Yellow or light skinned Africans) existed for...
  16. Diversity

    KWELI Zaidi ya watu milioni 91 wanaishi na Ugonjwa wa Homa ya Ini barani Afrika

    Vifo vinavyotokana na ugonjwa wa homa ya ini vimeripotiwa Kuongezeka kwa kasi barani Afrika. Pia, baadhi ya nyaraka zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zinaonesha kuwa idadi ya visa vya ugonjwa huu vimefikia zaidi ya milioni 90. Ukweli wa taarifa hizi upoje?
  17. Donnie Charlie

    91 million Africans infected with deadliest hepatitis - WHO

    More than 91 million Africans live with Hepatitis B or C, which are the deadliest strains of the virus, according to a World Health Organisation scorecard. The Viral Hepatitis Scorecard 2021 looks at data from the African region but focuses on Hepatitis B and C, both of which cause liver...
  18. Dong Jin

    Young Africans (Yanga) SC to the world

    Kila pembe ya dunia imeshuhudia hili tukio na kulizungumzia kwa ukubwa wake... Nisiwe na maneno mengi maana maneno bila uthibitisho ni porojo tu. Hebu chekini hapa. Hakika hii ndio klabu kubwa Afrika mashariki na kati, pengine Africa kwa ujumla.... Kongore wananchi..... 💪💪💪
  19. Little brain

    Young Africans 4-0 Mbeya kwanza | Ligi kuu NBC | Benjamin Mkapa

    Mabao ya Mayele, Said Ntibanzokiza ‘Saido’ na Dickson Ambundo yalitosha kuipeleka mapumziko Yanga ikiwa kifua mbele kwa mabao 3-0. ⚽️' 34, F Mayele ⚽️' 39, S Ntibazonkiza ⚽️' 44' D Ambundo. Yanga first eleven Diarra Job Bangala Farid kibwana Sureboy Aucho Saido Moloko Ambundo Mayele...
Back
Top Bottom