The population of Africa has grown rapidly over the past century and consequently shows a large youth bulge, further reinforced by a low life expectancy of below 50 years in some African countries. Total population as of 2020 is estimated at more than 1.341 billion, with a growth rate of more than 2.5% p.a. The total fertility rate (births per woman) for Sub-Saharan Africa is 4.7 as of 2018, the highest in the world according to the World Bank. The most populous African country is Nigeria with 191 million inhabitants as of 2017 and a growth rate of 2.6% p.a.
Twende.
Mmeonyesha utofauti na ukomavu mkubwa,Kila jicho lililopata nafasi ya kutazama mechi hii ya Dar es salaam Young Africans na waarabu litakiri hili nalokwenda kulisema.
Kiwango cha timu kupambana na kutafuta matokeo chanya uwanjani ni kikubwa sana.
Utimamu wa miili na akili za wachezaji...
Europeans are weighing getting to know Kenyan's whether they are perfect people like them or we have a little crime to be perfect human beings like them.
Even monkeys and apes if you give them bananas they always turn out to be your friends through conditioning (influence) without using their...
Marumo Gallants wapo nyumbani kuwaalika Young Africans katika mchezo wa marudiano ya nusu fainali ya CAF Confederation Cup kwanzia saa 1:00 usiku kwa hapa nyumbani Tanzania.
Mechi ya kwanza iliyopigwa juma moja lililopita Yanga waliibuka na ushindi wa mabao 2-0.
Hivyo matokeo yoyote ya ushindi...
Mabingwa watetezi wa ligi kuu nchini Tanzania Young Africans Leo wanajitupa dimbani kumenyana na Singida Big Stars katika mchezo wa wa ligi ya NBC..
Ikumbukwe katika mchezo wa awali Yanga waliibuka na ushindi wa magoli 4-1
Je nani ataibuka mshindi?
00" Mpira umeanza
03" Mzize anapiga shuti...
Karibuni katika mtanange mwingine wa NBC Premier League kati ya mabingwa watetezi Young Africans SC dhidi ya Kagera Sugar FC katika dimba la Estadio de Azam Complex muda wa saa moja kamili usiku
Kikosi cha Young Africans 👇👇👇
▪️Vikosi vinaingia uwanjani hapa
▪️0' Mpira unaanza
▪️03' Mayele...
Wakati tukisubiria mbugi la kisasi kati ya miamba ya Nigeria na Mabingwa wa kihistoria walioshindikanika hapa Bongo,
Nitakuwa nakuletea on hand updates za timu hizi mbili ili ujue kiwango cha mpira cha kila mmoja
📌1)Dar Young Africans walicheza Jana mechi ya Kombe la Azam na kuibuka na ushindi...
Timu zilizoingia robo fainali kombe la CAF CC ni:
1)Asec Mimosa-Cote d'Ivore
2)Rivers United-Nigeria
3)Marumo Gallants-South Africa
4)Young Africans-Tanzania
5)AS Far Club-Morocco
6)Pyramids-Egypt
7)US Monastrienne-Tunisia
8)USM Alger-Algeria
Kuna timu nne za Juu ya Jangwa la Sahara na...
Nimepenyezewa za chini ya kapeti.
Zile timu zilizoshika nafasi ya pili kwenye makundi yao zinapishana pale HQ za CAF. Lengo lao eti CAF ichengeshe draw Ili wasikutane na miamba hii ya hapa Bongoland.
Kuna wengine mpaka wakaamua kuwaconsult maofisa na mashabiki wa Ile timu iliyopigwa nje ndani...
AFRICOM is training Africans to overthrow their own governments
In a heated exchange on Thursday, Congressman Matt Gaetz grilledthe Commander of U.S. Africa Command, General Michael Langley over taxpayers’ dollars being spent on training coup leaders in Africa. The exchange served as a...
Ni Jumapili tulivu, wapenda kandanda tunakutana tena hapa jukwaani kushuhudia mechi za Kombe la Shirikisho Afrika.
Leo katika Kundi D, AS Real Bamako ya Mali inawakaribisha wawakilishi wa Tanzania, Young Africans SC.
Ikumbukwe AS Real Bamako, bado inatafuta ushindi wake wa kwanza, mara baada...
Young Africans watashuka dimbani kuwakaribisha TP Mazembe ktk mchezo wa kombe la shirikisho afrika.
Yanga ina historia ya kufungwa na Mazembe mara nyingi. Leo wataweza kupindua meza? Yanga wanapaswa washinde ili kulinda heshima ya nchi.
Mazembe wanapewa nafasi kubwa ya kuibuka na ushindi ktk...
africans
benjamin mkapa
caf
confederation
matukio ya soka
mkapa
mkapa stadium
sifa
simba
soka
soka kimataifa
soka tanzania
tp mazembe
ushamba
ushindi
yanga
yanga na simba
young
young africans
Mechi ngumu sana lakini Wananchi wamepambana mpaka mwisho, KMKM ni wazuri sana chini ya Kocha Hemed Morocco lakini hawakuweza kuwa wababe mbele ya Wananchi, alama tatu kwao.
Sio timu tu kutoka Zanzibar, Ni KMKM, mabingwa wa ligi ya Zanzibar tuliowashinda tena kwa kikosi cha pili, hii ndio maana...
FULL TIME: Yanga inafanikiwa kufuzu Hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika
90' Zinaongezwa dakika 4 za nyongeza
89' Bakari Mwamnyeto anaingia anatoka Morrison
88' Wenyeji wanaonekana kama wamkata tamaa, wanapata kona
80' Yanga wameanza kucheza vizuri zaidi, wanamiliki mpira
Azizi Ki...
Habari kwa wote, Historia hii nimeitoa huko ulimwenguni nimeunganisha doti zangu na ww unganisha zako.
LEGEZA FUVU KIDOGO😅
The history of Nubians,Aliens and Earthans
alkebulan
By NeoMoletsane:
The earth is 4.5 billion years old. The Khoi and San (Yellow or light skinned Africans) existed for...
Vifo vinavyotokana na ugonjwa wa homa ya ini vimeripotiwa Kuongezeka kwa kasi barani Afrika.
Pia, baadhi ya nyaraka zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zinaonesha kuwa idadi ya visa vya ugonjwa huu vimefikia zaidi ya milioni 90.
Ukweli wa taarifa hizi upoje?
More than 91 million Africans live with Hepatitis B or C, which are the deadliest strains of the virus, according to a World Health Organisation scorecard.
The Viral Hepatitis Scorecard 2021 looks at data from the African region but focuses on Hepatitis B and C, both of which cause liver...
Kila pembe ya dunia imeshuhudia hili tukio na kulizungumzia kwa ukubwa wake... Nisiwe na maneno mengi maana maneno bila uthibitisho ni porojo tu.
Hebu chekini hapa.
Hakika hii ndio klabu kubwa Afrika mashariki na kati, pengine Africa kwa ujumla....
Kongore wananchi..... 💪💪💪
Mabao ya Mayele, Said Ntibanzokiza ‘Saido’ na Dickson Ambundo yalitosha kuipeleka mapumziko Yanga ikiwa kifua mbele kwa mabao 3-0.
⚽️' 34, F Mayele
⚽️' 39, S Ntibazonkiza
⚽️' 44' D Ambundo.
Yanga first eleven
Diarra
Job
Bangala
Farid
kibwana
Sureboy
Aucho
Saido
Moloko
Ambundo
Mayele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.