afya ya uzazi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Rorscharch

    Kataa ndoa ni zao la mfumuko wa gharama za maisha na wahanga ya wanawake wasiojielewa

    Si mara kwa mara huwa napitia Jamii Forums, lakini mara nilipokuja kuvutiwa na mijadala kwenye jukwaa hili, nilikutana na kundi la vijana wanaojiita “Kataa Ndoa.” Vijana hawa wanazua mjadala mkubwa, na maoni juu yao yanatofautiana sana – kuna wale wanaowaona kama wanaokwepa majukumu, wengine...
  2. Waufukweni

    Pre GE2025 Heche amchana RC Chalamila, kisa kauli ya mjamzito anayegoma kununua gloves, adai wamejisahu kwasababu ya shibe ya kijinga

    Wakuu Makamu Mwenyekiti wa Chadema (bara), John Heche amlipua RC Chalamila kwa kauli yake iliyozua gumzo kuhusu Mama Mjamzito aliyempigia simu na kumweleza changamoto ya ukosefu wa Gloves hospitali. Soma, Pia: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai...
  3. Wakusoma 12

    Chalamila unapata matibabu premium kupitia Kodi za kina mama unaowatukana

    Hivi unahisi Tanzania ya Leo ni sawa na miaka ya 60? Unapokuja kulazimisha hospitali za Umma zianzishe utaratibu wa kuchangisha pesa kinyume na miongozo ya afya una maana Gani? Kuna huduma zinazolipiwa na zipo huduma ambazo kutokana na umuhimu wake serikali imeona zitolewe Bure. Wewe kwa ukaona...
  4. Wakusoma 12

    Kama mama Samia ameonyesha kwa vitendo kwenye nishati ya kupikia kwanini hawaonei huruma wajawazito wanaotukanwa na wasaidizi wake?

    Ni mambo ya kushangaza kidogo, je tumerogwa? ama tumejiroga? Ni hali ya hatari kwa kweli inakuwaje serikali imetumia pesa nyingi kwenye michezo lakini imeshindwa kununua vifaa vya kujifungilia kina mama? Mkuu wa mkoa wa Dar anaongoza mapambano ya kuwatukana wajawazito kisa tu yeye na familia...
  5. milele amina

    RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

    Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Albert Chalamila amewataka wananchi wa mkoa huo kuacha kuingiza siasa katika mambo yanayowahusu binafsi hasa katika Afya kwani hazitawasaidia badala yake zitawachelewesha na pia kuwa na madhara zaidi. Akizungumza hivi karibuni na wanachi wa Temeke jijini Dar Es...
  6. D

    Unamwacha kwa sababu hazai baada ya miezi kadhaa unasikia ana ujauzito!

    Wanajukwaa mko pouwa? Nimeamua kuleta hii mada kutokana na adha wanazopitia baadhi ya wanandoa au wachumba wanaofikia hatua ya kuachana kutokana na changamoto za uzazi unakuta kunakuwa na kushutumiana baina ya watu walio katika uchumba au ndoa inapotokea wamechelewa kupata mtoto bila kufanya...
  7. Hypersonic WMD

    Kwa mliopata Utasa ukubwani ambao hamkuzaliwa nao nini ilikua chanzo cha tatizo

    Nina rafiki yangu amejaliwa watoto wawili nje ya ndoa !! Kufika kwene ndoa bila bila wakat na mke ana mtoto wa pembeni. Tupeni ABC!Mliopata matatzo ya utasa au ugumba ukubwani tatizo lilikua nini. Soma Pia: Tatizo la Ugumba kwa wanaume la zidi kuwa kubwa
  8. Nyanda Banka

    Dalili za Fangasi ukeni

    ●Kuwa na miwasho sehemu za siri mara kwa mara ●Vipele vidogo vidogo ukeni ●Kutokwa na uchafu mweupe au wa rangi ya kijivu ukeni wenye harufu mbaya ●Vidonda au kuwa na michubuko ukeni ●Kutokwa na harufu mbaya ukeni Kupatwa na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa au tumbo La chini ●Kuvimba au...
  9. GENTAMYCINE

    Mtaalam wa Afya ya Uzazi: Mimba za Watoto wa Kike 'Style ni ya Mende' na za Watoto wa Kiume 'Style ni ya Bong'oa' hivyo Kazi Kwenu sasa mnaowatafuta

    " Ukitaka kupata Mtoto wa Kike hakikisha Mwenza wako ( Mke au Mpenzi ) ukiwa unafanya nae Mapenzi hafiki Kileleni ( yaani Wewe Mwanaume wahi Kumwaga ) kwani ukifanya hivyo utafanya zile Mbegu za Kiume za Y za Mwanaume zisigusane na X za Mwanamke. Lakini pia ukitaka kupata kirahisi Mtoto wa Kike...
  10. I

    Umuhimu wa matumizi ya choo bora

    Kwa mujibu wa Ripoti ya Tafiti ya Afya ya Uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria ya Mwaka 2022 yaani (Demographic and Health Survey and Malaria Indicator Survey) imeonesha kuna ongezeko kubwa la watu wanaotumia vyoo bora kutoka asilimia 21 mwaka 2016 hadi asilimia 74.8 mwaka 2022. Takwimu hizi...
  11. Golden Elimeleck

    SoC04 Mikakati ya kuboresha huduma za afya ya uzazi ili kupunguza vifo vya mama na mtoto na kuifikia Tanzania tuitakayo yenye afya njema

    Kuboresha huduma za afya ya uzazi na kupunguza kabisa vifo vya mama na mtoto ifikapo mwaka 2035, Tanzania lazima ijikite katika mikakati muhimu sita. Mikakati hii inalenga kushughulikia changamoto kuu katika mfumo wa afya na muktadha mpana wa kijamii, lengo likiwa ni kuhakikisha kila mwanamke...
  12. Mtandaoni

    Msaada: Ipi ni tiba sahihi kwa tatizo la uume kulegea?

    Ipi ni tiba sahihi kutibu tatizo la uume kelegea mbali na hizi dawa za asili zinazotrend sana mtandaoni? Sent from my 23028RNCAG using JamiiForums mobile app
  13. AUGUSTINE MWINUKA

    Je, kuna madhara gani kwa mtoto ambaye mama alijaribu kutoa mimba na misoprostol lakini haikutoka?

    Zamani tulijibiwa na madaktari,saivi wanajibu machinga,wakulima na mazezeta waliodata kwa HIV
  14. Nchi Kavu

    Msaada: Ni zaidi ya nusu mwaka sasa tunatafuta mtoto bila mafanikio, tatizo linaweza kuwa nini?

    Habari wadau, Suala hili linaumiza kichwa. Kwa mujibu wa shirika la afya wanasema mwanamke akitimiza mwaka bila kuzaa na anashiriki tendo, basi huyo ni tasa. Sasa ni zaidi ya nusu mwaka mtoto anatafutwa bila mafanikio. Najua humu kuna wataalamu na wajuzi wa hizi changamoto. Kama mwanamke hana...
  15. Mstoiki

    Hili suala la nguvu za kiume ni jambo serious kabisa, tuambie umewahi kutumia mmea au chakula gani kuondokana na tatizo hili

    Kumekuwa na vumi tofauti tofauti kuhusiana na vyakula na mimea inayoongeza Nguvu za kiume hasa karne hii ambapo tafiti zinaonyesha Vijana wengi Jogoo zao haziwiki 😂. Leo tumalize utata, weka picha hapa ya mmea au chakula chochote kinachoongeza nguvu za kiume. Ukiweza tuelezee na Matumizi.
  16. Matindi94

    Nifanyeje kupunguza unene wa uume wangu ili mwenza wangu asiumie wakati wa tendo?

    Poleni na majukumu wanajamvi, msaada wenu wa taalamu. Nifanyeje nimridhishe mchumba wangu wakati wa tendo? Maana analalamika uume wangu mnene sana, namuumiza. Msaada, nitumie mbinu gani ili asiumie? Nasubiri majibu.
  17. frenderPH

    Tatizo la kuwahi kumwaga dawa yake ni nini?

    Wadau wa JF habari za J2, Naandika post hii kwa masikitiko makali sana ambayo yameshanipatia mawazo mpaka nahisi kuchanganyikiwa. Sasa ni wiki ya pili nimekumbwa na tatizo la kuwahi kumwaga pale nitakapokuwa kwenye tendo la ndoa, yaani haichukui hata dakika moja wazungu wanatoka. Hii hali...
  18. ndege JOHN

    Kutana na Kondom ya kale

    Kondomu zilizotumika katika Roma ya Kale zilitengenezwa kwa kitani na utumbo wa wanyama (kondoo na mbuzi) au kibofu. Inawezekana kwamba walitumia tishu za misuli kutoka kwa wapiganaji waliokufa lakini hakuna ushahidi mgumu kwa hili. Kabila la kizamani la Djukas [1] lililoishi New Guinea...
  19. K

    Ni sahihi kumpa mimba mke miezi miwili tu baada ya kujifungua na kupoteza mtoto?

    Mwezi wa pili mke anajifungua na mtoto kufariki, mwezi wa nne mke anapata mimba nyingine. Ni sahihi wadau kiafya na kisaikolojia ya mke? Karibuni wadau kwa elimu.
  20. jerryempire

    Serikali isilifumbie macho suala hili la Watanznia kuwa na Wagumba wengi

    Habari,
Back
Top Bottom