Wakuu,
Ila kwenye ile video jamaa alisema wapo wengi hapo hospitali, serikali inasema watu 2!🤔🤔
Pia soma: Huu ni ugonjwa gani? Wizara ya Afya semeni kitu
=====
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UGONJWA WA MPOX NCHINI
Tarehe: 10 Machi, 2025, DODOMA
Mnamo tarehe 7 Machi, 2025 Wizara ya Afya kupitia...