agenda

Agenda-setting describes the "ability (of the news media) to influence the importance placed on the topics of the public agenda". The study of agenda-setting describes the way media attempts to influence viewers, and establish a hierarchy of news prevalence. Nations with more political power receive higher media exposure. The agenda-setting by media is driven by the media's bias on things such as politics, economy and culture, etc. The evolution of agenda-setting and laissez-faire components of communication research encouraged a fast pace growth and expansion of these perspectives. Agenda-setting has phases that need to be in a specific order in order for it to succeed.

View More On Wikipedia.org
  1. Bams

    Kauli Mbiu ya CCM, ya Utu na Kazi, Imewapa Agenda ya Awali Wapinzani.

    CCM ndiyo inayoongoza Serikali. Lolote baya au zuri linalofanywa na Serikali, CCM inabeba uhusika mkuu. Jukumu la kwanza la msingi kabla ya mengine yote kwa Serikali yoyote halali Duniani, ni usalama wa wananchi wake. Katika kipindi hiki cha awamu ya 6, tumeshuhudia uovu wa ajabu kabisa wa...
  2. baro

    Tetesi: ACT Wazalendo : Kufanya Mkutano wa Halmashauri Kuu kubadili agenda ya No Reform No election

    Wakuu Kwa Taarifa zilizonifikia ni kuwa kikao cha Tundu Lissu pamoja na Ado Shaibu (KM ACT WAZALENDO) na Ismail Jussa, kilichofanyika jana ofisi za chadema AGENDA yao ilikuwa ni kuhusu NO REFORM NO Elections na hivyo wamekubaliana, hiyo imepelekea ACT kuitisha halmashauri kuu ili AGENDA hiyo...
  3. Waufukweni

    Pre GE2025 Tundu Lissu: Tuna upungufu wa kutisha wa fedha kwa ajili ya shughuli za Chama (CHADEMA), msiniulize nimekuta nini, jibu halitakuwa zuri!

    Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu akiwa Kibamba akizungumzia urataibu wa kujiunga na Chama amesema kama Chama Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar...
  4. Tlaatlaah

    Maelezo marefu kumbe agenda kuu ilikuwa ni kuomba kuchangiwa pesa za matumizi binafsi ya kifamilia na za kuendesha chama chake

    Ilifahamika na kuonekana bayana tangu mwanzo, kwamba kiongozi mpya wa chadema hana maono wala mipango madhubuti ya kuendesha chama kwa mipango mikakati maalumu ya kiuchumi na kujitegemea kama vyama vingine vya siasa, Tazama sasa, Maelezo marefu kwa muda mrefu kumbe dhumuni na agenda ilikua ni...
  5. Technophilic Pool

    China inatumia Tiktok kuadvance agenda zake kimataifa kwanini Tanzania isitumie app za ndani kama JamiiForums Kudominate Global tech??

    Wakuu nauliza tu!! Kulingana na dunia inavo enda Tech giant zinapewa pesa na serikali zao kusambaza ajenda na maslahi ya nchi zao!! Tanzania tuna ajenda nyingi ambazo tunaweza kuzitumia tech zetu hata kama ndogo kuadvance kwene uso wa dunia Mfano ni hii JamiiForums ambayo mizizi yake ni hapa...
  6. M

    Agenda ya Nishati Safi ya Kupikia ni ya Makamba, akampa Samia. Isieleweke Vinginevyo

    Nimesikia Porojo nyingi juu ya Ajenda ambayo imepata umaarufu duniani na Africa kiujumla, Ajenda ya Nishati safi ya kupikia, iliyoasisiwa na January Makamba na hata utekelezaji wake ulianzia kwake personnel. Najua wanasema dont outshine your Boss, lakini wewe nenda kakae na Makamba sasa hivi na...
  7. Tlaatlaah

    Nakumbusha tu kwamba DR. Emmanuel Nchimbi ndiyo agenda ya taifa kwa mwaka 2030-2040

    Ningependa kusisitiza jambo hilo kwa wadau wote wa JF na kama familia, kwamba agenda ya Taifa letu kwa mwaka 2030-2040 itakua ni Dr. Emmanuel Nchimbi. Ni muhimu kujipanga vyema nyuma ya huyu muungwana mzalendo. Nilishaeleza haya miaka iliyopita, naeleza tena mwaka huu, ili asijekutokea mtu...
  8. S

    Hizi agenda zote Mbowe alikuwa wapi kuzitekeleza?

    Hizi agenda ni kutoka ukurasa wa mtandao wa X wa Martin Maranja Masese:
  9. Burure

    Kukamatwa na kupatikana kwa Nondo inaweza kuwa ni njia ya kuwatoa ACT katika msimamo wao wa kutaka uchaguzi wa serikali za mitaa kurudiwa?

    Je,hili sakata la kada wa ACT wazalendo (Mwenyekiti wa vijana) kukamatwa na kupatikana ndani ya siku moja inaweza kuwa ni njia ya kuwatoa ACT katika msimamo wao wa kutaka uchaguzi wa serikali za mitaa kurudiwa? Katika sakati hili tumeona Mheshimiwa zitto kabwe akitoa taarifa mbalimbali kuhusu...
  10. M

    Rais Samia alivyowanyima wapinzani agenda za kujijenga na kujiimarisha kisiasa

    Utendaji wa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kupitia serikali ya awamu ya sita anayoiongoza umekua sumu kali kwa upinzani nchini kwani umewanyima wapinzani agenda za kusimama nazo kwenye majukwaa ya kisiasa kumnanga na kumshambulia. Zaidi wamebaki kufanya siasa za kibaguzi kwa kushambulia asili...
  11. ngara23

    Agenda ya CCM ni kuikuza ACT- Wazalendo na kuidogosha CHADEMA

    Imeshangaza nilivosikia katibu wa CCM Nchimbi akisema Chama chenye wagombea wengi cha upinzani ni ACT kwamba kina wagombea Zaid ya 3000 Me nimetoka Ngara hadi Dar sijaona mtaa wala Kijiji chenye mgombea wa ACT ACT ni CCM B ACT akishinda ni CCM imeshinda Na Sasa ACT watapewa mitaa kadhaa ili...
  12. Meneja Wa Makampuni

    Trump's Economic Agenda for the Next Four Years: What to Expect

    Trump's Economic Agenda for the Next Four Years: What to Expect With Donald Trump's presidential victory, many are wondering what his economic policies will look like for the next four years. Based on his previous term, here are some potential changes: - Tax Cuts and Deregulation: Trump is...
  13. Tlaatlaah

    Dr. Emmanuel Nchimbi is a significant national agenda come 2030

    The emergence Dr. Emmanuel Nchimbi, the CCM National SG has changed political equations of some young Presidential hopefully come 2030 completely, and that situation forced them to go back to their drawing tables again for thier planBz options... Do you think Dr.Emmanuel Nchimbi will be...
  14. G

    CHADEMA ya Mbowe isiyokuwa na agenda maalumu na kutomaanisha wanachosema inapendeza kuwa upinzani sio Tawala mpaka ijitambue

    Naendelea kusisitiza tu hoja zangu Kwamba Cdm ya Mbowe bado haimanishi kile inachisema Walilalmika JPm kutaka kujiongezea muda wa uongozi huku Mbowe akibadilisha kipengele Cha ukomo na kumiliki Cha kisiasa Kama kampuni yake halisi Walioinga ufisadi baadae wakampa uraisi waliyemuita fisadi...
  15. Logikos

    Je, Ajira sio Agenda tena?

    Hapa nataka kuwauliza watunga Sera na Vyama vya Siasa..., ila kabla ya yote kwanza ninanukuu Babu wa Chama Tawala cha Sasa kilivyosema na kilivyokuwa kinaamini.... (Extract kutoka Hotuba ya Mwalimu Nyerere) CHAMA CHETU KINASEMA - mtu mwenye Afya ambaye tumeshindwa kumpa njia halali ya kujipatia...
  16. Tlaatlaah

    Changamoto zilizokuwa zimeibuliwa na wanainchi na kubebwa na upinzani kama agenda, zimetatuliwa sawa sawia na serikali ya awamu ya 6 ya CCM

    Changamoto zilizokua zimeibuliwa na wanainchi na kubebwa na upinzani kama agenda, zimetatuliwa sawa sawia na serikali ya awamu ya 6 ya CCM. Kiu, matamanio na matarajio ya waTz yamefikiwa na kutekelezwa. serikali sikivu ina zingatia sana sauti, mitazamo na maoni ya waTanzania kuhusu masuala...
  17. J

    Je, umefika wakati Wapalestina kutambua Muslim Brotherhood wanatumia vibaya ili kutimiza agenda yao ya kisiasa?

    Kwa Watanzania wengi Muslim Brotherhood unaweza isiwasitue sana hasa ukizungumzia ubaya wa Ugaidi. Lakini tusichojua ni kuwa Muslim Brotherhood ndiyo ambao wamekuwa nyuma ya panzia ya utendaji wa Alqaida, ISIS Salafi na kwa sasa Hamas. Muslim Brotherhood ilianzishwa mwanzoni kabisa mwa Karne ya...
  18. Pang Fung Mi

    Je, anguko la Rostam Aziz na wenzake kupitia agenda feki ya kujivua gamba mmesahau?

    Watanzania acheni kuwa vichwa panzi, Chini ya Kikwete CCM ilikuja na agenda ya kujivua Gamba, machawa wakuu wa kupayuka kauli mbiu hio walikuwa Ndugu Kinana na Nape. Miongoni mwa waliofedheheshwa na kuabishwa ni Rostam Aziz, Lowasa na wengineo. Msisahau waliosalitiwa nchi hii ni wengi...
  19. comte

    Agenda za +255 ya CHADEMA zinazidi kuongezeka

    +255 katiba mpya okoa bandari ugumu wa maisha miswada mitatu Kunyimwa pilau na kuongea kwenye msiba
  20. Doctor Mama Amon

    Padre Nyenyembe on Francis-Samia agenda on Church-State Cooperation: Will the Pope’s Agenda for Peaceful and Credible Elections Come True in Tanzania?

    Pope Francis posing with President Samia for a photo I. Abstract "Since the Church is present across the different stages of the election process, readers might wonder whether it is permissible in its advocacy to recommend a specific candidate to the Christian faithful. The answer is no. The...
Back
Top Bottom