agenda

Agenda-setting describes the "ability (of the news media) to influence the importance placed on the topics of the public agenda". The study of agenda-setting describes the way media attempts to influence viewers, and establish a hierarchy of news prevalence. Nations with more political power receive higher media exposure. The agenda-setting by media is driven by the media's bias on things such as politics, economy and culture, etc. The evolution of agenda-setting and laissez-faire components of communication research encouraged a fast pace growth and expansion of these perspectives. Agenda-setting has phases that need to be in a specific order in order for it to succeed.

View More On Wikipedia.org
  1. Mathanzua

    If you believe your thoughts and behaviour will remain under your own control, think again, the transhuman agenda is targeting your soul

    Please Share This Story! PDF 📄 All of the rhetoric surrounding transhumanism points to complete capture of one’s soul: mind, will and emotions. Can the Soul become a tradable commodity? A foretelling verse from the Bible lists tradable goods: “cargoes of cinnamon and spice, of incense, myrrh...
  2. kmbwembwe

    Hivi AU ina uwezo kuitisha mkutano wa nchi zake na na nchi za EU kwa agenda yake au sisi huwa tunaitwa tu kwa agenda za wakubwa?

    Kuna hii kitu unakuta nchi tajiri kama marekani, japan ufaransa, au china zinaitisha mkutano na viongozi wa afrika. Bila shaka ni kujadili agenda za maslahi kuhusu nchi hizo tajiri. Hivi karibuni tumeona european union na wao wakiitisha mkutano na viongozi wa afrika. Sasa utaona viongozi wote...
  3. 5

    CHADEMA yagawanyika, Lissu kukutana na Samia haikuwa ajenda ya chama

    Habarini watu wa ukumbi huu.., Vyanzo vya ndani vinasema hivyo, Tundu Lissu alikutana na Rais Samia kwa matakwa na maamuzi yake binafsi haikuwa ajenda ya chama wala hawakuwahi kukaa ata kwa dakika 5 kupeana mashauri juu ya kukutana na rais Brussels., Lakini vyanzo vilienda mbali zaidi baada ya...
  4. B

    Said Mwema ni IGP pekee aliyejikita ku-transform jeshi kutoka Ulimwengu wa Tatu kulipeleka Ulimwengu wa Kwanza, (community policing is global agenda)

    Mzee Said Mwema live long, you did what IGP suppose to do. Ulifanya Kwa uelewe na maarifa makubwa. Ulifanya jamii kuwa sehemu ya ulinzi wa nchi, ulitenganisha kazi ya Polisi na kazi ya siasa. Ulitambua wapi Kuna siasa na uingieje katikati ya wanasiasa nakuwadhibiti wasikulazimishe kutenda...
  5. Prof Koboko

    Hii ndiyo Agenda ya ACT-Wazalendo kumuombea Mbowe msamaha kwa Rais

    Shabaha kubwa na ya Makusudi ya ACT-WAZALENDO kumuombea Mhe Freeman Mbowe msamaha kwa Rais amsamehe kuhusu kesi yake ya tuhuma za ugaidi inaonekana chama hiki kwa kujua au kutokujua kinataka kutumika kuisafisha serikali ya awamu ya 6 baada ya kuona kua hii kesi inalitia taifa aibu. Sasa...
  6. B

    Zamani jina la Mgombea kiti cha Uspika lilikuwa mjadala kusubiri Moshi mweupe, Leo hii hata CCM hawataki kujadili kama agenda wamemwachia Mwenyekiti

    Nakumbuka enzi za Pius Msekwa, Sita na hata Makinda kidogo kulikuwa na mjadala mkali na mpambano wa fikra kuhusu qualities za mtu wa kushika Nafasi hii nyeti. Ila Kwa miaka ya hivi Karibuni kiti Cha spika kimekuwa kama mchakato wa kumpata mwenyekiti wa Kijiji na siyo vijiji vyote. Spika...
  7. B

    Mbowe kutokufungwa pingu yawa agenda ya kamati ya roho mbaya, malalamiko kufikishwa kwa Waziri. Tusubiri

    Nimesikia Watu Zaidi ya Kumi Sasa wakilaumu Kwa Nini Magereza siku hizi wanamwacha Mbowe free bila pingu na kuruhusu asalimiane na Watu? Hii imetokea siku chache baada ya wanachadema kuimba mahakamani huku watuhumiwa wakiwa wanafurahi. Mzee Mmoja mstaafu anaishi jirani kwangu hapa ameenda mbali...
  8. R

    Kumbe Chadema ndiyo ililengwa kufanikisha Agenda za leo?? kimekuwa gumzo kuliko umuhimu wa waliohudhuria na walochokizungumza!

    Ni kama vile chadema ndio alikuwa mlengwa wa kikao cha leo kinachodaiwa kuwa mkutano wa wadau wa siasa na msajili wa vyama vya siasa. Kimantiki ni kuwa kama mtu hana umuhimu ktk mkutano au jambo fulani ni kumpotezea tu maana uwepo wake au ukosefu wake haubadilishi lengo la jambo au mkutano huo...
  9. MSHINO

    Kama siyo Magufuli kuwaokoa 2015 na agenda ya mabadiliko CCM, leo ingekuwa chama cha upinzani

    Katika binadamu aliowaumba hapa duniani watanzania aliwapa sifa na vipawa tofauti kama ifuatavyo Wakati MUNGU amewaumba wanadamu kusahau lakini wamepewa uwezo wa kukumbuka lakini Watanzania MUNGU ametuumba kusahau milele bila kukumbuka. Mungu aliwaumba Watanzania kuwa wapole na wavumilivu...
  10. Jesusie

    Tanzania huenda tukapata Least Deleveloped Countries Fund ( LDCF ) kwenye US$100B za COP

    Agenda ya US$100B kwa nchi masikini baada ya Rais Samia kurejea nchini tutarajie chochote kutoka COP26? "Hakuna kama Samia " Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ni miongoni mwawajumbe 197 wa baraza la 26 la Uhifadhi wa Mazingira duniani yaani COP26 lililoketi kwa kipindi cha Siku 12...
  11. Mathanzua

    Planned Parenthood’s genocidal Agenda

    Planned Parenthood’s documented blueprint for destroying humanity has come to fruition over last 50 years, culminating with COVID-19. The provisional number of births in the U.S. for example was 3,605,201 in 2020. That is the lowest number of births in the United States since 1979, according to...
  12. B

    Utesaji wa Dola - Agenda kubwa Uchaguzi ujao

    Habari hii iwafikie wote wanaokodolea macho nafasi za uongozi. Ifahamike kuwa bila tume huru hakuna uchaguzi. Hatutaangalia mgombea ni mwanamke au mwanaume. Haki zetu za binadamu hazitakuwa na mbadala. Kama ni mtarajiwa atuambie atafanya nini kuondoa kadhia kama hizi: Kama alikuwamo...
  13. Wildlifer

    Je, ni kweli wanawake huwa na agenda ya siri kwenye ndoa?

    Salaam wanaJF! Kuna riwaya moja, nilikutana na mtazamo huu kuwa wanawake huwa na agenda za siri kwenye ndoa zao na sio Mapenzi. Kuwa na agenda ya siri haimaanishi kuwa ni nia ovu, bali ni sababu halisi na sio inayosemwa/kuonekana. Je, hili lina ukweli kiasi gani? Esi’s main problem was that...
  14. Kididimo

    Inakuwaje kila RC anayepangiwa Ruvuma agenda ni ukosefu wa soko la mahindi? Kuna haja gani kuwanadili kila mara?

    Leo TBC 1 Tv,nimeona Mkuu mpya wa Mkoa wa Ruvuma amezungukwa na magunia ya mahindi,hakuna soko. Hii inaashiria nini endapo aliyekuwepo mambo yalikuwa hayohayo? Ukienda mkoa wangu wa Rukwa ni yaleyale. Tunakosaje sera endelevu ya soko la mahindi Kitaifa?
Back
Top Bottom