Kampuni ya JASMIS INTERNATIONAL LIMITED yenye ofisi zake Mbezi Beach Karibu Na CHEMICOTEX INDUSTRIES inawatangazia watanzania wote wenye vigezo na sifa kutuma maombi yao kuanzia leo hadi Oct 14,2023
Kazi : Clearing Agent
Idara: Operational
Vigezo Cheti / Diploma ya clearing pamoja na awe...
Habari,
Poleni na majukumu Nina pikipiki yangu aina ya TVS 125 hivi ni mchongo gani wa pesa naweza kuufanya kupitia pikipiki hii ukiachana na Bodaboda
Wataalam nipeni michongo mdogo wenu
Habari za wakti huu;
Leo nimeona nilete mjadala kidogo kuhusu Biashara ya Clearing and Forwaring Agency.Kabla ya kuingia kwenye mjadala niweke wazi kwamba mm sifanyi shughuli za C&F.Hivyo basi maoni na mtazamo wangu upo zaidi kibiashara na kiujumla na ninaamni kwamba wengine watajifunza na wale...
Habari,
NATAFUTA NAMBA ZA AGENTS WAFUATAO:
1.SABUNI ZA MCHE
2.SABUNI ZA UNGA
3.SABUNI ZA KUOGEA
4.DAWA ZA MENO
5.MISWAKI
6.DAWA ZA MBU
7.TISSUE
8.SIAGI ZA AINA ZOTE
9.MAFUTA YA KULA
10.TAMBI ZAINA ZOTE
11.VIBERITI
12.DAWA ZA CHOONI
13.MAJANI YA CHAI
14.KAHAWA
15.MAZIWA YA UNGA
16.ROICO...
Ninaomba kwa anayejua eneo lililopo godown la pipi za jumla au wasambazaji wakubwa wa pipi za jumla Arusha, ambao wanahusika na kuwasambazia watu wa maduka ya jumla naomba anipe connection.
To all,
We are looking for sales person and 3 sales commission agents for home appliances retail shop
Duty station:Ilala manicipal in Dar es salaam.
Roles for sales person:
1. Welcoming and explain products to the walking in customers who visit our store or social platforms pages.
2. Open a...
Naam ile nchi jirani iliyojipambanua kwamba ina majaji wenye akili timamu na judiciary yenye nguvu jumatatu inaweka historia nyingine kwa kuendesha kesi nzito ndani ya siku chache na kutoa maamuzi
Kesi hiyo ambayo kuna baadhi ya nchi majaji kama wangepewa waisikileze basi kila dakika...
BREAKING NEWS:
Italian football agent Mino Raiola died after illness.
He was agent of Ibrahimovic, Pogba, Haaland etc
🚨 Football agent Mino Raiola has passed away according to the Italian media. 🙏😔
Taarifa Kadhaa huko Ulaya zinaripoti kifo cha wakala maarufu Raia wa Italia na Uholanzi Mino...
Wadau nataka kusafirisha mzigo kutoka China mpaka Dar es salaaa, Shipping agent niliyempata gharama zake ni Dola 400 kwa ujazo CBM 1. Kama kuna mwenye gharama nafuu zaidi naomba mawasiliano yao.
We are currently recruiting for Airport Services Agent in Kilimanjaro, Africa.
As an Airport Services Agent, you will support the operation by providing five star service to customers at the airport terminal and help create an enjoyable airport environment for customers whilst travelling. You...
We are currently recruiting for Airport Services Agent in Kilimanjaro, Tanzania.
As an Airport Services Agent, you will support the operation by providing five star service to customers at the airport terminal and help create an enjoyable airport environment for customers whilst travelling. You...
Welcome to BRYTE SKY LINKS! BSL is specialized in providing you quality and on-time services. Our goal is to ensure excellent customer experience, and offer innovative tools to simplify your needs.
Services offered at BSL:
- Web Designing
- Logo Designing
- Motion Graphics
- Android & iOS...
Habari za majukumu wakuu,
Kuna mzigo nataka kuingiza kupitia border ya Namanga, Arusha. Ombi langu ni kwa mtu anayejua kampuni au mtu ambaye ni Clearing and Forwarding Agent anayefanyia kazi pale border anipatie mawasiliano yake.
Nipo mbali na eneo hilo ndio maana nimeomba msaada huo...
Nataka kuwa wakala wa nywele bandia za makampuni ya hapa Tanzania mfano daring hair, prima hair n.k.
Mwenye uzoefu wa biashara hii na pia utalatibu wa mchakato mzima pamoja na kianzio cha mtaji kila company anisaidie.
Nitashukuru sana.
Customer Experience Senior Airport Services Agent - Zanzibar
Tanzania - TZ Location Zanzibar - ZNZ, Tanzania - TZ Category Cargo & Airport Operations Job Id 2100009K
About the role
We are currently recruiting for Senior Airport Services Agent in Zanzibar, Tanzania
The successful applicant...
Natoa huduma ya clearlence kwa mizigo,pamoja na magari kutoka duniani kote,kwa haraka na kwa bei rafiki kabisa kwa maelezo Zaidi tupigie: +255710323599 au +255679132109
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.