ahmed ally

Iajuddin Ahmed (1 February 1931 – 10 December 2012) was the President of Bangladesh, serving from 6 September 2002 until 12 February 2009. From late October 2006 to January 2007, he also served as Chief Advisor of the caretaker government. From October 2006 to early 2008, his responsibilities as president included the Defense Ministry of the caretaker government.
With a doctorate in soil science, Ahmed became a full professor at the University of Dhaka and chairman of the department. Beginning in 1991, he started accepting appointments to public positions, as chairman of the Public Service Commission (1991 to 1993) and of the University Grants Commission (1995 to 1999). In 2002 he won election as president. In 2004 he helped establish the private university, Atish Dipankar University of Science and Technology (ADUST).

View More On Wikipedia.org
  1. chiembe

    Haji Manara, na umri wako wa zaidi ya miaka hamsini, unaenda kugombania kazi na akina Kamwe, Priva, na ubishane na Ahmed Ally

    Tunajua njaa haina rafiki, lakini GSM amtafutie mahala pengine huyu babu, kazeeka. Hivyo vitengo ni vya vijana, na wamevimudu vilivyo. Zee la miaka 50 na zaidi la nini tena Yanga? Awekwe Baraza la Wazee na akina Mzee Mpili akawe msemaji wao. Yaani Engineer Hersi anamsalimia shikamoo babu...
  2. Mjanja M1

    Ahmed Ally: Tuvute Subira kuna mashine zinakuja Simba SC

    --- Akihojiwa na Mwanahabai Meneja wa Mawasiliano wa Simba ameoneana akijinadi kuhusu usajili wao watakaoufanya msimu huu. Akielezea kwa ufupi hoja hiyo Ahmedy Ally anasema: Bado si tunaagana kwanza, tutakapoanza kukaribishana ndiyo ntakwambia sasa huyu anayekuja anakuja kufanya kitimbi gani...
  3. Nyendo

    Ahmed Ally: Mazungumzo group la watsup la Champions league

    MAZUNGUMZO GROUP LA WATSUP LA CHAMPIONS LEAGUE Semaji Mamelod : Mnyamaaa 😭😭 Semaji Al Ahly : Pacha naumia sana kwa ajili yako Semaji Mazembe : Jirani tutakumic sana Champions League Mimi Mashine : Msijali wanangu narejea punde Semaji Raja : Ni Mapito tuu hayo Lunyasi mimi miaka miwili...
  4. Shooter Again

    Ahmed Ally ndiye mchawi namba moja Simba

    Najua wengi itakua ngumu kunielewa. Huyu jamaa amewekwa pale Ili kuwapumbaza wanasimba na wanasimba bila kuwa na uelewa wanamuona kama ni Mtu wa maana sana. Hivi hamjiulizi kila siku anaropoka vitu nje ya uwanja ila ndani ya uwanja timu inachofanya nadhani mnakijua halafu baada ya mchezo...
  5. Kitimoto

    AHMED ALLY SHULE UKAFUTE UJINGA

    AHMED ALLY RUDI SHULE UKAFUTE UJINGA Anasema wamebakiza mechi 3 wakati bado mechi 4. Ligi yetu timu ziko 16, inamaana kila timu inatakiwa icheze jumla ya mechi 30. Ukiangalia kwenye msimamo wa ligi Simba ameshacheza mechi 26, inamaana amebakiza mechi 4 na sio 3 kama anavyosema msemaji wa Simba...
  6. Mcheza Piano

    Tetesi: Ahmed Ally Kutupiwa virago Simba?

    Inadaiwa kauli zake za hivi karibuni zimechangia kushusha morali za wachezaji na kupelekea baadhi ya wachezaji kuleta mgomo baridi. Ikumbukwe kuwa uongozi wa Simba uko makini sana kulinda hadhi na heshima za wachezaji wao. Benchikha aliposema hajawahi kukutana na wachezaji wenye vichwa vigumu...
  7. Frank Wanjiru

    Ahmed Ally: Wote tumepigwa na taharuki juu ya hela nyingi wanazohitaji wachezaji wetu

    Gharama za Mpira zimepanda sana, Wote tumepigwa na taharuki baada ya kusikia fedha wanazohitaji Wachezaji wetu kipindi cha usajili. . Kama ni kweli Wachezaji wanataka fedha hizo basi hakuna klabu Tanzania yenye uwezo wa kuzalisha nyingi hivyo kutoka kwenye vyanzo vyake bali tunamtegemea...
  8. Pdidy

    Ahmed Ally anapitia magumu sana na timu yake

    Ndugu yangu huyu nampa Pole yaani ukweli anatamani kutoka anashindwa afanyaje ndioo maisha yake. Kati ya watu niliwaonea huruma majuzi ni ndugu yangu huyu hatareee sanaaa. Tuendelee kumwombea Allah ampe nguvu na timu yake asikate tamaaa.
  9. Frank Wanjiru

    Ahmed Ally: Shabiki wa 5imba mwenye moyo mgumu ndio aje uwanjani kwenye derby

    “Kwenye Derby, Mwenye moyo mgumu aje uwanjani” Ahmed Ally. Nafikiri madunduka mmemsikia msemaji wenu. Kama unahisi hujiwezi, usije kutufia uwanjani. Maisha yako ni muhimu kuliko kolozidad ya mwamedi. Mwamedi enyewe anaweza asije, sasa wewe jitoe ufahamu.
  10. vvvv

    Ahmed Ally acha propaganda haisaidii, uwe na aibu hata kidogo

    Namsikiliza kwenye radio free sahizi anasema Simba nafasi ya ubingwa tunayo timu iko imara, mashabiki waache kulalamika,huwezi kuwa mbovu wakati umefika robo fainali club bingwa, upo nafasi ya pili ligi kuu na una ngao ya jamii,, akaongeza kwamba mashabiki wanalishwa maneno ya uongo kwamba Mo...
  11. U

    Kwanini Ahmed ally asiombe nauli CHADEMA, kwenda Misri

    Baada ya Club ya Simba kukasirishwa na kitendo Cha Serikali kuridhia Ombi la club ya Yanga la Kusafirisha Mashabiki wake 48 kwenda Pretoria Africa ya Kusini Kwa ajili ya mechi ya pili ya marudiano, Sasa imemtuma Msemaji wake Ahmed Ally kujitokeza Hadharani na kuikashifu waziwazi Serikali ya...
  12. Frank Wanjiru

    Ally Kamwe amjibu Ahmed Ally

    "Eti Tunapendelewa? Sisi Tulishaanza mchakato wetu wa safari mapema. Zaidi ya Mashabiki 30 walishalipia 600,000 zao za safari .. Uongozi ukaona kuna Fursa ya kuishirikisha Serikali kusaidia kidogo mashabiki wetu kwenye accommodation.." "Bahati nzuri, Mungu ametujaalia Serikali yenye viongozi...
  13. Petro E. Mselewa

    Ahmed Ally, Msemaji wa Simba, Mungu anakuona!

    Kuwa Msemaji wa timu, tena kubwa kama Simba au Yanga, si lazima uwe unamwaga porojo na ndoto ambazo si rahisi kutimizika. Kabla ya mechi ya Al Ahly Benjamin Mkapa, Ahmed Ally aliwaaminisha washabiki na wanachama wa Simba kuwa Ahly anakufa kifo kibaya na HATOKI BENJAMIN MKAPA. Baada ya kupigwa...
  14. U

    Kisugu, GB 64, Pasi Milioni na Mzaramo hawaikosoi Simba why? wamemzidi nguvu Ahmed Ally

    Hivi Simba ni Lini imewateua Hawa watu kuwa wasemaji wa Washabiki wa Simba, mana wao wamekuwa wakisifia Simba hata ikifungwa na na nguvu nyingi wameweka kuikosoa Yanga. Tofauti na Mashabiki wengine wa Simba , wasemaji Hawa wa mashabiki wa Simba , wamesema haya ni moja ya matokeo ya Mpira hivyo...
  15. kavulata

    Ahmed Ally ni mjukuu wa Kinjekitile?

    Kinjekitile Ngwale aliwaaminisha watu wake kuwa risasi za askari wa kijerumani zitageuka maji kwenye vita Ile ya majimaji. Hii iliwafanya watu wengi kujiunga na vita Ile, lakini kusema Kweli Kinjekitile aliwadamganya wenzake wakafa wengi sana. Risasi za adui hazikugeuka maji hata kidogo...
  16. Mjanja M1

    Picha: Karia akabidhiwa Jezi ya Simba na Ahmed Ally

  17. Mjanja M1

    Picha: Ahmed Ally kabla ya kuwa Semeji la Wanamsimbazi

  18. vvvv

    Simba na (Ahmed Ally) waache propaganda waandae timu

    Hii timu yangu natamani waache propaganda ingewezekana waachane na media wajifiche sehemu wajinoe haswa, Hizi propaganda za Ahmed Ally ipo siku atakuja kupigwa mawe, jamaa akiongelea kuhusu Simba utadhani ni Real Madrid au Man City, watu tunaaminishwa uwezo ambao wachezaji hawana na tunapata...
  19. lee Vladimir cleef

    Msemaji wa Simba Ahmed Ally ni balaa

    Katika taasisi kubwa hapa duniani Kuna Maafsa habari au wasemaji wa taasisi hizo.Achilia mbali taasisi pia Kuna wasemaji wa serikali hususan katika masuala ama jambo Fulani. Simba sports club ni club ya mchezo wa mpira wa miguu. Mpira wa miguu ni burudani,ni starehe ni furaha na anasa...
  20. kavulata

    Kazini kwa Ahmed Ally kuna kazi.

    Mpira hauchezwi kwenye mwendokasi. Unakaribisha sonona kama usipopata matokeo https://www.youtube.com/watch?v=q5XPwqG7Y-4
Back
Top Bottom