aina

The Aïna River is a tributary of the Ivindo River that rises in Cameroon. Along the way it forms the border between Cameroon and Gabon and then the border between Gabon and Republic of the Congo (Map.).
The native pygmies along the river were noted as some of the few to use the plant Strophanthus tholonii as an ingredient in their arrow poison; other Strophanthus species are more commonly used.

View More On Wikipedia.org
  1. MK254

    Ukraine kupokea ndege 42 za aina ya F-16

    Hapa sasa vita vitakua vinakwenda kwenye kiwango kipya, angani... ========= President Volodymyr Zelenskyy, who is currently on a visit in the Netherlands, has announced that 42 F-16 fighter jets "will be in Ukrainian skies". Source: Zelenskyy on social media, Zelenskyy and Mark Rutte during...
  2. Superbug

    Taifa lione sasa haja ya kuwa na wabunge wasomi wabunge aina ya kibajaji wamepitwa na wakati mfano mzuri huu wa DP WORLD.

    Sasa wabunge wote wa ccm walishindwa kutetea maslahi ya taifa je tuendelee kuliamini hili bunge la makanjanja? Kigezo cha mbunge kuishia la saba kimepitwa na wakati hebu fikiria jinsi kina kibajaji na msukuma leo wanaweka wapi sura zao? Elimu hawana lakini wanajitumbukiza kwenye kujadili mambo...
  3. Superbug

    Taifa lione sasa haja ya kuwa na wabunge wasomi wabunge aina ya kibajaji wamepitwa na wakati mfano mzuri huu wa DP WORLD.

    Sasa wabunge wote wa ccm walishindwa kutetea maslahi ya taifa je tuendelee kuliamini hili bunge la makanjanja? Kigezo cha mbunge kuishia la saba kimepitwa na wakati hebu fikiria jinsi kina kibajaji na msukuma leo wanaweka wapi sura zao? Elimu hawana lakini wanajitumbukiza kwenye kujadili mambo...
  4. Mediaty

    Naombeni mnisaidie kujua mimi ni mtu aina gani?

    Hello! Matumaini yangu hamjambo kabisa. Naombeni kujua mimi ni mtu aina gani, (Sanguine, Introvert, sigma, alpha n.k) maana nashindwa kujitambua. Ni kijana wa miaka 24, nina sifa zifuatazi ambazo zinanifanya nishindwe kujitambua maana zinanichanganya; Ni muongeaji sana pale ninapokua na watu...
  5. Teko Modise

    Robertinho hawezi kufika Nyerere Day kama kocha wa Simba kwa aina hii ya soka

    Kitakachomfanya asifike ni yafuatayo; 1. Kulazimisha Chama na Saidoo kucheza pamoja 2. Kumpanga Saidoo kwa dakika 90 huku akiwa hana uwezo huo kwa umri wake 3. Kumpanga mara kwa mara Kibu ambaye hana utulivu kabisa 4. Kucheza soka butua butua ambalo sio utamaduni wa Simba Sports
  6. A teller

    Naomba kufahamu kuhusu ndoa ya aina hii

    Wakuu habarini za jioni! Nafikiria kuanza mchakato wa kufunga ndoa na huyu mchumba wangu wa tangu vidudu Hadi Sasa, kutokana na Mambo kadhaa ambayo yapo nje ya uwezo wetu, naomba kufahamu utaratibu wa kufunga ndoa ya serikali upoje? Nikiwa namaanisha process za kufunga ndoa ya kiserikali upoje...
  7. Mwachiluwi

    Fahamu maana ya Defence mechanism na aina zake

    Hellow Africa Nataka tueleweshane kidogo vitu vichache. Defence mechanism means unconciouses starteges to avoid or reduce pain. Hii ni njia moja wapo ambayo watu wengi hutumia kupunguza wasiwasi na uwoga hii defence mechanism inakusaidia wewe kupunguza hasira. Types of defence mechanism...
  8. figganigga

    Dodoma: Ikulu imejengwa juu ya Madini aina tofauti 28. Je, Tuipige mnada au tumpe Mwekezaji?

    Salaam Wakuu, Imegundulika Ikulu ya Tanzania iliyozinduliwa hivi karibuni iyopo Chamwino Jijini Dodoma, imejegwa Juu ya Madini tofauti 28 ikiwemo dhahabu Sio Ikulu ya Chamwino tu, bali Dodoma yote na Wilaya zake zina Madini tofauti. Huko tuendako, Tujiandae Bunge kuhamishwa na kupewa...
  9. Mla Bata

    Msaada kutambua aina hii ya puppy

    Wasalam, Kwa baadhi yetu ambao pets hasa mbwa na paka ni sehemu ya maisha yetu na tuna mapenzi na wanyama hawa lakini pia tuna ufahamu wa aina mbalimbali za wanyama hawa. Naomba kusaidiwa aina ya mbwa huyu (puppy). Nilikuwa na shepherd mdogo lakini wajanja wakapita nae 😅, hivyo sikutaka kujipa...
  10. B

    Afrika ni Bara lililobarikiwa utajiri wa raslimali za kila aina, likalaaniwa viongozi wake

    Afrika ni bara tajiri sana duniani. Lina rasilimali za kila aina kuanzia ardhi nzuri inayofaa kulima mazao ya kila aina, maji, hali nzuri ya hewa, uoto wa asili ikiwemo misitu, madini, mafuta, gesi n.k. Viwanda vingi duniani vinaendeshwa na raw-materials toka Afrika. Cha kustaajabisha, nchi...
  11. Chief Wingia

    Kampuni ya Bajaj imetoa toleo jipya la pikipiki aina ya Boxer 125 HD

    Habari zenu wadau na wapenda bike, aisee niende moja kwa moja kwenye mada. Kampuni ya Bajaj wamekuja na toleo jipya la pikipiki aina ya Boxer 125hd isiyokuwa na paper oil filter. Tuone kama muendelezo wa uboreshaji huu utaweza kuboresha engine za boxer maana toleo hili jipya jamaa wameondoa...
  12. H

    Aina za utani ambao ukikuta mwanaume anamtania mwanaume mwezie ni ngumu

    Wanawae wanautani sana mfano Mtu na wifi yake unakuta wanaitana mume wangu au mke wangu Ila mwanaume kukuta wanataniana mke wangu au mume wangu na shemeji yake ngumu sana Wanawake anaweza mwambia mwenzie nakupenda au akamuita mwezie mpenzi wangu Mwanaume ukithubutu mwambia ivyo mwanaume...
  13. R

    Tanzania imejaliwa Madini ya kila aina lakini..

    Nimejaribu kupitia tovuti hii hapa na kuona Tanzania ina kila aina ya madini. Na yanachibwa kweli kweli lakini bado wananchi tunahangaika . https://www.tanzaniainvest.com/minerals Wajameni hii imekaaje? Kuna mwenye jibu anipatie. Mfano Chuma, sema ndio mchina kesha beba. Tanzania Iron Ore...
  14. Gotze Giyani

    Kuendelea kuungua kwa magari aina ya Nissan Dualis nchini Tanzania

    Mtu mmoja Mwajuma Mohamed mwenye umri wa miaka 30 mkazi wa Veta Jijini Mbeya amenusurika kifo usiku wa kuamkia leo Julai 31 baada ya gari alilokuwa akiendesha aina ya Nissan Dualis kuteketea kwa moto katika eneo la Kabwe kata ya Iyela Jijini Mbeya Afisa habari wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji...
  15. Dr. Zaganza

    Ijue afya yako kupitia aina ya kinyesi unachokitoa

    Chati ya kinyesi ya Bristol ilitengenezwa mnamo 1997 kama zana ya tathmini ya kliniki. Kuna aina saba za kinyesi kulingana na Chati ya hiyo. Chati ya kinyesi ya Bristol ni msaada wa matibabu ulioundwa na kuainisha kinyesi katika vikundi saba. Baada ya kujisaidia, kile unachokiona chooni...
  16. L

    Mji wa Karamay, Xinjiang wabarikiwa kuwa na mvuto wa aina ya kipekee

    Wahenga wanasema tembea ujionee. Ikiwa hii ni mara ya pili kutembelea mkoa wa Xinjiang Uygur, nimebaini kwamba hata utembee mara ngapi katika sehemu mbalimbali za mkoa huu, basi hakika hamu haitakwisha na kizuri zaidi ni kwamba utagundua mambo mengine mengi mapya. Nasema hivi kwasababu huu ni...
  17. Anastasia21

    Nauza Tank la Maji used

    Jamani nauza tank used ltr 2000 la aina ya kiboko, bei ni Tsh. 350,000/- Ukiitaji nicheki 0693972647, nipo Dar es Salaam.
  18. U

    Wadau hiyo gari ya hiyo dada ni aina gani

    Wakuu hamjamboni nyote? Naomba kufahamu hiyo gari pichani ni aina gani na inagharimu kiasi gani ukiamua kuinunua kwa fedha za Kitanzania ikiwa mpya kabisa Naomba pia kujua kiwango cha matumizi ya mafuts pet kilometa Aksanteni niwatakie usiku mwema
  19. Burhani Khaled

    Je Kuku aina ya Malawi huatamia na kuangua vifaranga?

    Habarini ya kazi. Naomba kufahamu kwa wanaojua, hivi kuku aina ya Malawi wale wanaopatikana sana Mbeya huatamia na kuangua mayai yao ama nao ni kama chotara wa kawaida wanataga tu pasipo kuatamia mayai?
Back
Top Bottom