air force

  1. B

    Hivi Air Force wanalengaje Target?

    Salaam, najiuliza hawa mfano IDF huwa wanajuaje Millitary target zao sababu hayo ni maeneo ya siri, mfano wamepiga vitu kibao Yemen wanajuaje latitude hii au longtide hii kuna ghala la silaha au kuna tanks za mafuta n.k na hawakosi Shabaha
Back
Top Bottom