aishi manula

Aishi Manula (born 13 September 1995) is a Tanzanian football player. He plays as a goalkeeper of the Tanzanian national football team.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Aishi Manula akatwa na kioo mkononi muda mfupi kabla ya mechi dhidi ya Geita Gold

    Kipa wa Simba, Aishi Manula amepata majeraha ya kukatwa na kioo kwenye mkono akiwa katika vyumba vya kubadilishia nguo kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, muda mfupi kabla ya kuanza kwa mchezo wa timu hiyo dhidi ya Geita Gold, leo Mei 22, 2022. Tukio hilo limetokea wakati Manula akiwa ni mmoja wa...
  2. Kitambi chakufutia tachi

    Aishi Manula sikia hili

    Salaam wakuu, Binafsi ninaamini Aishi S Manula ndiye mlindalango bora wa kitanzania kwa sasa ila kuna jambo ananikera sana. HAWEZI KUCHELEWESHA MUDA (nimemuona kwenye michezo mingi ikiwemo wa jana dhidi ya Benin) yani timu yake inaongoza bao moja na imeelemewa muda wote wanashambuliwa wao...
Back
Top Bottom