ajira

  1. ChoiceVariable

    Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akizungunza na wakazi wa Igunga, Tabora. "Tumeendelea kuimarisha sekta ya elimu, Muheshimiwa mbunge ulisema unahitaji VETA tumeleta VETA, hizi VETA tumezijenga ili wewe ukasomee ufundi utusaide katika shughuli za ujasiriamali VETA...
  2. N

    Vijana fuateni ushauri wa waziri mkuu Majaliwa kuhusu ajira

    Nimemsikia waziri mkuu Kassim Majaliwa Juzi akiwa Shauri vijana wenye shahada za vyuo vikuu lakini hawana ajira wajiunge na vyuo vyetu vya Veta ili kujifunza SKILLS mbali mbali. Nimesoma pia kwenye mitandao vijana wakiubeza ushauri huu!! Ushauri huu ni mzuri ambao vijana wanatakiwa...
  3. Mwamuzi wa Tanzania

    Watu wanadanganya kuwa ajira ya serikali ina Job security kubwa, kumbe wanazunguka tu lengo hasa ni kusema ajira ya serikali ina madili mengi salama

    Watu wanavyosema ajira za serikali zina job security maana yake ni kwamba unaweza kupiga dili na ukajulikana lakini usichukuliwe hatua yoyote. Hata warning letter hupewi. Maana kuanzia Mkurugenzi, meneja, mpaka mfagizi na mlinzi wanajuana madili yao. Sasa wa chini au wa kati akiharibu kwanza...
  4. M

    Virtual Data Collector - Real Estate

    Job Details: Virtual Data Collector - Real Estate Company: Daniel Advisory Location: Remote (Primarily focused on Dar es Salaam, Tanzania market) About Daniel Advisory: Daniel Advisory is a dynamic real estate agency based in Dar es Salaam, Tanzania. We are committed to providing our clients...
  5. R

    Kwenye ajira za TRA uwezekano wa Mbara kuajiriwa ni 1 kati ya 100 na Mzanzibari ni 10 kati ya 100, nimekosea hesabu zangu?

    WAOMBAJI - 135,027 Kwa makadirio kuna wazanzibari 3000, waliobaki wabara 132,027 NAFASI - 1,596 20 % kwa Wazanzibar - 319 80 % kwa Bara - 1,277 CHANCE YA KUPATA KAZI Wazanzibari - 10 kwa kila waombaji 100 ( 319/3000) Wabara - 1 kwa kila waombaji 100 (1277/132027*100)
  6. Waufukweni

    Pre GE2025 Hatima ya Walimu Wasio na Ajira (NETO) kujulikana baada ya siku 45, wapongeza 4R za Rais Samia

    Wakuu Mawaziri George Simbachawene (Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu) na Prof. Adolf Mkenda (Elimu, Sayansi na Teknolojia) wamekutana na viongozi wa Chama cha Walimu Wasio na Ajira (NETO) kujadili hatua za kutatua changamoto ya ajira kwa walimu. == Mwenyekiti wa...
  7. Waufukweni

    Mawaziri Simbachawene, Mkenda wakutana na Viongozi Walimu wasio na Ajira (NETO), wasema 4R za Rais Samia zimewawezesha kukutana na Serikali

    Wakuu Mawaziri George Simbachawene (Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu) na Prof. Adolf Mkenda (Elimu, Sayansi na Teknolojia) wamekutana na viongozi wa Chama cha Walimu Wasio na Ajira (NETO) kujadili hatua za kutatua changamoto ya ajira kwa walimu. == Mwenyekiti wa...
  8. Ojuolegbha

    Sekta ya madini imezalisha ajira 19,874 kutoka kwenye Kampuni za uchimbaji ambapo kati ya hizo 19,371 ni Watanzania sawa na asilimia 97.5 na 503

    Sekta ya madini imezalisha ajira 19,874 kutoka kwenye Kampuni za uchimbaji ambapo kati ya hizo 19,371 ni Watanzania sawa na asilimia 97.5 na 503 ni wageni sawa asilimia 2.5 ya ajira zote zilizozalishwa. Vilevile, Jumla ya bidhaa zenye thamani ya Dola za Marekani (USD) 3,780,161,183.28 ziliuzwa...
  9. I X 01

    Ajira za Dangote cement

    Habarini za asubuhi wakuu, mimi niko na swali kuna hizi ajira zinatangazwa na kampuni ya Dangote kila siku tunaomba ila hatupati ata majibu kuna mwanazuoni alishawahi pata hizi ajira au ata kuitwa interview atupe abc za kuomba hizi kazi tufanikiwe wote jamani😄
  10. Augustine Aloyce

    Je, Tuendelee kuamini kuwa future zetu zimebebwa na Ajira??

    Je, Tuendelee kuamini kuwa future zetu zimebebwa na misingi wa Ajira?? Na hatutakiwi kuamini katika kufungua fahamu zetu juu ya kujifunza na kubadili mwelekeo??
  11. Manfried

    Mimi nilimaliza chuo na miaka 33 kipata ajira na miaka 34 nikaoa na miaka 35

    Katika maisha kuna changamoto nyingi Sana Ila kubwa kuliko yote ni pale nilipooa na miaka 35 na ajira yangu ya kwanza niliipata na miaka 34. Nb nilimaliza chuo 2007 and I became jobless na mwaka 2012 nilisoma diploma ya ualimu pale university of Zanzibar na kumaliza 2014 na 2015 nikapata ajira...
  12. RIGHT MARKER

    Wengine wanapata ajira kwasababu ya urembo na ukubwa wa makalio

    MHADHARA (102)✍️ Mpaka sasa kuna makampuni makubwa yana "Wasimamizi na Maafisa waajiri wa hovyo" ambao wanaajiri wanawake wenye sura nzuri (warembo) na makalio makubwa hata kama wana changamoto ya vigezo vya kitaaluma. Wanawake ambao wana "sura za baba zao" na wasiokuwa na makalio makubwa...
  13. Chris Lukosi

    Itumie mitandao ya kijamii vizuri iwe ajira kwako

    Ndugu zanguni Ni muda sasa sijapost humu kwani nimekua bize sana na kazi Nimekua nikiona na kusikia vijana wakilalamika sana kuhusu ajira. Napenda kuwajuza tu kua moja ya ajira ambazo huhitaji kutuma maombi wala elimu ni kuitumia mitandao ya kijamii kama ajira Mimi nadhani wengi mnanifahamu...
  14. Mudawote

    Waziri wa Kazi Ridhiwani Kikwete - Ajira kwa Vijana Watanzania na Ukiritimba wa Wachina

    Mheshimiwa Waziri wa Kazi, Mh. Ridhiwani Kikwete, Najiuliza, je, tunafahamu hali halisi ya ajira kwa vijana wa Kitanzania, hasa wanapokuwa wanatumikishwa na wawekezaji kutoka nchi za nje, kama vile wachina? Hali hii imefikia hatua ya kutisha ambapo vijana wa Kitanzania wananyanyaswa na kuzidi...
  15. Carlos The Jackal

    Rais Trump : Wamarekani Kuajiriwa au kupandishwa vyeo kwa kuzingatia Uwezo wako na sio Jinsia yako

    Njoo Bongo, Kuna mapambio Kila siku , Si Wanawake Si Wanaume wa bongo walioko vyaman wao wameamua kua machawa Pro Max . Na kweli bana,Uchawa Kwa Bongo unalipa. Wao wana msemo wao ukitaka kutoka lazima umsifie aliyetoka. Matokeo yake kuanzia majeshini, Mahakaman, Wizaran Bungeni ,Kila Mahali...
  16. T

    Pre GE2025 Umoja wa vijana wasio na ajira Tanzania (UYAM) umesema kuwa ukosefu wa ajira ndiyo chanzo cha vijana kujihusisha na ku- bet

    Umoja wa Vijana Wasio na Ajira Tanzania (UYAM) hii leo umesema ukosefu wa ajira kwa vijana umepelekea baadhi yao kujiingiza katika ubashiri huku wengine wakiuza miili yao kama njia ya kujipatia kipato. Lawrent Kayaya, Mwakilishi wa UYAM akizungumzia hilo
  17. indundidotcom

    AJIRA MPYA NA CONNECTION (MTU NA MTU WAKE)

    Wakati namsikiliza waziri Simbachawene akizungumzia ajira mara nasikia anatoa taarifa ya kumuunganishia ndugu yake kupata ajira. Ni juzi ametukataza waombaji tuditafute connection!!!! Ni juzi amedai ajira zinatoka kwa uwezo!!! Ni juzi wasailiwa wametoka na kudai kuwa usaili unajanjajanja...
  18. Baraka Sabi

    Walimu wasio na ajira; ushauri kwa Serikali

    WAKUU, AMANI NA IWE NANYI. Ni lengo la sera ya elimu ya mwaka 1995 na 2014 kuwa na Mtanzania aliyeelimika, mwenye maarifa, stadi na mtazamo chanya katika kuchangia maendeleo endelevu ya Taifa la Tanzania. Nikiri tu kwamba, Serikali imefanikiwa kuwaelimisha kwa kuwapa maarifa na stadi walimu...
  19. Impactinglife

    AJIRA UALIMU : COMMERCE NA BOOK KEEPING (ACCOUNTANCY)

    Anahitajika Mwalimu Kwajili ya kufundisha somo la commerce na Accountancy A level. Shule Iko Mbeya Mjini. Qualification: mtu mwenye degree katika masuala ya Commerce na Accountancy. Au Finance na Account. Mawasiliano: +255754543934 Salary: Government scale.
  20. Mwamuzi wa Tanzania

    Wasomi msio na ajira muishinikize serikali mpate haki ya kuajiriwa Zanzibar kama ilivyo wenzenu kutoka Zanzibar walivyo na haki kuajiriwa bara

    Kama unakuwa msomi na huzijui haki zako za msingi ni heri upokonywe vyeti vyenyewe. Si wasomi wote wataajiriwa na serikali au sekta binafsi ila ni sharti kuwepo na usawa katika ajira. Bila kijali huyu anatoka visiwani au bara kwenye suala la ajira vijana wote wanapaswa kuwekwa kwenye kapu moja...
Back
Top Bottom