The Catholic University of Health and Allied Sciences (CUHAS), owned by the Tanzania Episcopal Conference (TEC), provides training for over 3,500 students. CUHAS currently offers the following programs:
Doctor of Philosophy (PhD), Master of Medicine (MMed), Master of Public Health (MPH), Master...
The Catholic University of Health and Allied Sciences (CUHAS), owned by the Tanzania Episcopal Conference (TEC), provides training for over 3,500 students. CUHAS currently offers the following programs:
Doctor of Philosophy (PhD), Master of Medicine (MMed), Master of Public Health (MPH), Master...
Habari wakuu naomba msaada kwa aliyewahi kuitwa Interview ya written au oral katika nafasi hizi:
1. Admission Officer II (NACTVET)
2. Editor II (TIE)
3. Quality Assurance Officer II (NACTVET)
Naomba msaada wa TIPS za interview kuhusu hizo nafasi.
Nimefanya kazi sehemu tofauti tofauti kwenye sekta binafsi (Kampuni).
Nimekutana na mengi kwenye makampuni. Kwa wanaitafuta ajira/ mliopo kazini kuwa makini na yafuatayo;
Kampuni nyingi zisizotoa mikataba ya kazi nyingi ni wadhurumaji.
Kuwa makini na kampuni changa hasa za waswahili. Utaishia...
Habari wakuu,
Nimesomea Science and Laboratory Technology(FTC) kutoka DIT na Nina uzoefu wa zaidi ya miaka kumi nikifanya kwenye kampuni na viwanda tofauti.
Mwenye connection tupeane wakuu.
Jamani ndugu zangu, wenye makampuni, viwanda au wenye ndugu, marafiki na wadau.
Naomba kazi hata ya kujitolea nipate angalau experience ya kazi.. Nipo tayari kujitolea jamani, maana nikienda directly kuomba kazi na kupereka Cv narudishwa punde tu nikifika mapokezi, naambiwa nafasi hazipo hapa...
Naanza na pole kwa watu wa maabara kwa kupewa mitihani ya watoto wa shule wakati ninyi tayari ni watu wazima wa kazini.
Nimeona niandike thread hii kabla sijafanya mtihani hiyo ili nije niisome tena nijicheke baada ya mtihani🤫😁. Bado hayajanikuta.
Inapendeza, sasa badala ya kuchagua mtu kwa...
Leo vijana wa medical laboratory walikuwa na written interview lakini maswali yao yote yalibase kwenye maabara za viwandani na mashuleni
Maana mtihani ulibase zaidi kwenye topic za density ile ya form two, volumetric analysis ya form three, wakatolewa vernial calliper ya form one, mambo za...
Habari wakuu,natumai nyote wazima.Nisiwachoshe niende katika mada.
Wakuu Mwenye connection zozote za kibarua au kazi ninaomba wakuu.
Nina hali mbaya sana.ninaishi na mama wakuu kheri nipate chochote kupitia kibarua ili mama ale hata mie nikikosa haina Shida.
Niko Mburahati, Dar es salaam...
Invitation to Tender (ITT)
Tender Ref. No. PIT/RUK/01/FY25
Supply Of Construction Materials For Primary School
Classrooms, Nkasi District Council, Rukwa Region.
Plan International is an independent development and humanitarian organization that advances children’s rights and equality for...
Request for Proposals
Consultancy services: Gender equality and inclusion. Analysis
of district plan and budget
RFP No. PIT / VUM/02/FY25
Plan International Tanzania is an International humanitarian child-centered development organization without religious, political or government...
Habari za kazi kaka tunaomba utupazie sauti tuweze kufahamu sheria pamoja na utaratibu wa sekretarieti ya ajira utumishi katika mchakato wa usahili.
Hivi karibuni 1/09/2024 zilitangazwa ajira za kada ya afya kupitia sekretarieti ya ajira Baada ya mchakato wa kupata wanaostahili kwa usahili...
Niulize nini faida ya kufanya kazi serikalini, kama ualimu na daktari?
Kuna mwana ni mwalimu ajira mpya mwaka jana anatamani kuacha kazi mazima ila pa kuanzia sasa ndo haelewi. Anaomba ushauri sababu haoni challenge yoyote ya maisha ikiwa hamna marupurupu na take home ni finyu kidogo...
Mbunge wa jimbo la Arumeru Magharibi (CCM) Noah Lemburis Saputi amesema ipo haja ya wataalamu wanaoandaa vigezo vya ajira kuangalia hali za Watanzania kwani kigezo hicho hakiko sawa huku akitaka serikali kujiridhisha umri wa Mtanzania mwenye uhalali wa kuajiriwa.
Saputi ameyasema hayo Jumatatu...
VAS Software Integration Engineer
Posting Country: Tanzania, United Republic of
Date Posted: 30 Aug 2024
Full Time / Part Time: Full Time
Contract Type: Permanent
At Vodacom, we’re working hard to build a better future. A more connected, inclusive and sustainable world. As a dynamic global...
Senior Instructor/Assistant Professor, Urology
Entity - Aga Khan Health Services
Location - Tanzania
Introduction
Aga Khan University, a private, self-governing international university chartered in Pakistan in 1983, is a role model for academic, research and service programmes in health and...
Habari za majukumu wakuu?
Natumaini mko salama. Ningeomba msaada wenu wa hali na mali katika kunisaidia kupata nafasi yoyote ya kazi. Nina imani kuwa kwa msaada wako, nitapata nafasi itakayoniwezesha kutumia uwezo wangu na kuchangia kwa mafanikio ya mtu binafsi, shirika au kampuni yoyote.
Mimi...
Wadau hivi katika suala la kuomba ajira mpaka kwenye interview,je ukiwa unatumia AFFIDAVIT AU DEEDPOLL kutokana na changamoto ya majina.
Je, hii inaweza kuwa kama udhaifu kwako wa uwezekano wa kufanikiwa?
Ni matumaini yangu mu bekheri wa afya wakuu kwa wanaoumwa poleni sana na mtakuwa sawa tena.
Mimi ni kijana wa miaka 26 -28 nipo Jijini Mwanza ahangaika ila katika mihangaiko yangu mambo yamekuwa magumu deals zimekata kbs hadi nachanganyikiwa pesa sina kodi ndio imefika na kama mjuavyo Mwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.