ajira tanzania

  1. Jamii Opportunities

    Laboratory Attendant III at CUHAS September, 2024

    The Catholic University of Health and Allied Sciences (CUHAS), owned by the Tanzania Episcopal Conference (TEC), provides training for over 3,500 students. CUHAS currently offers the following programs: Doctor of Philosophy (PhD), Master of Medicine (MMed), Master of Public Health (MPH), Master...
  2. Jamii Opportunities

    Tutor 4 – Positions at CUHAS September, 2024

    The Catholic University of Health and Allied Sciences (CUHAS), owned by the Tanzania Episcopal Conference (TEC), provides training for over 3,500 students. CUHAS currently offers the following programs: Doctor of Philosophy (PhD), Master of Medicine (MMed), Master of Public Health (MPH), Master...
  3. M

    Msaada aliyewahi kufanya usaili kwenye nafasi hizi

    Habari wakuu naomba msaada kwa aliyewahi kuitwa Interview ya written au oral katika nafasi hizi: 1. Admission Officer II (NACTVET) 2. Editor II (TIE) 3. Quality Assurance Officer II (NACTVET) Naomba msaada wa TIPS za interview kuhusu hizo nafasi.
  4. O

    Wadau mnaotafuta ajira na ambao tayari mpo kazini, chukueni ushauri huu utawasaidia

    Nimefanya kazi sehemu tofauti tofauti kwenye sekta binafsi (Kampuni). Nimekutana na mengi kwenye makampuni. Kwa wanaitafuta ajira/ mliopo kazini kuwa makini na yafuatayo; Kampuni nyingi zisizotoa mikataba ya kazi nyingi ni wadhurumaji. Kuwa makini na kampuni changa hasa za waswahili. Utaishia...
  5. K

    Natafuta kazi ya Lab Technician

    Habari wakuu, Nimesomea Science and Laboratory Technology(FTC) kutoka DIT na Nina uzoefu wa zaidi ya miaka kumi nikifanya kwenye kampuni na viwanda tofauti. Mwenye connection tupeane wakuu.
  6. Sharon Cheque

    Ipi njia bora kupata ajira!? Usaili au bila usaili

    Kada ya ualimu/Afya zamani "Ukimaliza unasubiri kupangiwa kituo" - Saizi milolongo lundo...
  7. B

    Natafuta kazi, kama sio ya kulipwa basi hata kujitolea

    Jamani ndugu zangu, wenye makampuni, viwanda au wenye ndugu, marafiki na wadau. Naomba kazi hata ya kujitolea nipate angalau experience ya kazi.. Nipo tayari kujitolea jamani, maana nikienda directly kuomba kazi na kupereka Cv narudishwa punde tu nikifika mapokezi, naambiwa nafasi hazipo hapa...
  8. Uhakika Bro

    Pongezi kwa kubuni mitihani ya mchujo na interview, naiona dalili ya Tanzania yenye weledi (meritocracy)

    Naanza na pole kwa watu wa maabara kwa kupewa mitihani ya watoto wa shule wakati ninyi tayari ni watu wazima wa kazini. Nimeona niandike thread hii kabla sijafanya mtihani hiyo ili nije niisome tena nijicheke baada ya mtihani🤫😁. Bado hayajanikuta. Inapendeza, sasa badala ya kuchagua mtu kwa...
  9. kante mp2025

    Kwenye hili Sekretarieti Ya Utumishi ni Sahihi?

    Leo vijana wa medical laboratory walikuwa na written interview lakini maswali yao yote yalibase kwenye maabara za viwandani na mashuleni Maana mtihani ulibase zaidi kwenye topic za density ile ya form two, volumetric analysis ya form three, wakatolewa vernial calliper ya form one, mambo za...
  10. both teams to score-YES

    Msaada wa kupata kibarua cha halali

    Habari wakuu,natumai nyote wazima.Nisiwachoshe niende katika mada. Wakuu Mwenye connection zozote za kibarua au kazi ninaomba wakuu. Nina hali mbaya sana.ninaishi na mama wakuu kheri nipate chochote kupitia kibarua ili mama ale hata mie nikikosa haina Shida. Niko Mburahati, Dar es salaam...
  11. Jamii Opportunities

    Tender – Supply Of Construction Materials For Primary School Classrooms at Plan International

    Invitation to Tender (ITT) Tender Ref. No. PIT/RUK/01/FY25 Supply Of Construction Materials For Primary School Classrooms, Nkasi District Council, Rukwa Region. Plan International is an independent development and humanitarian organization that advances children’s rights and equality for...
  12. Jamii Opportunities

    Request for Proposals – Consultancy services at Plan International

    Request for Proposals Consultancy services: Gender equality and inclusion. Analysis of district plan and budget RFP No. PIT / VUM/02/FY25 Plan International Tanzania is an International humanitarian child-centered development organization without religious, political or government...
  13. L

    Ufafanuzi kuhusu ajira UTUMISHI

    Habari za kazi kaka tunaomba utupazie sauti tuweze kufahamu sheria pamoja na utaratibu wa sekretarieti ya ajira utumishi katika mchakato wa usahili. Hivi karibuni 1/09/2024 zilitangazwa ajira za kada ya afya kupitia sekretarieti ya ajira Baada ya mchakato wa kupata wanaostahili kwa usahili...
  14. The Lonnie

    Ushauri: Anataka kuacha kazi Serikalini sababu ya maslahi madogo

    Niulize nini faida ya kufanya kazi serikalini, kama ualimu na daktari? Kuna mwana ni mwalimu ajira mpya mwaka jana anatamani kuacha kazi mazima ila pa kuanzia sasa ndo haelewi. Anaomba ushauri sababu haoni challenge yoyote ya maisha ikiwa hamna marupurupu na take home ni finyu kidogo...
  15. Mkalukungone mwamba

    Mbunge Saputi: Ipo haja ya wataalamu wanaoandaa vigezo vya ajira kuangalia hali za Watanzania kwani kigezo hicho hakiko sawa

    Mbunge wa jimbo la Arumeru Magharibi (CCM) Noah Lemburis Saputi amesema ipo haja ya wataalamu wanaoandaa vigezo vya ajira kuangalia hali za Watanzania kwani kigezo hicho hakiko sawa huku akitaka serikali kujiridhisha umri wa Mtanzania mwenye uhalali wa kuajiriwa. Saputi ameyasema hayo Jumatatu...
  16. Jamii Opportunities

    VAS Software Integration Engineer at Vodacom

    VAS Software Integration Engineer Posting Country: Tanzania, United Republic of Date Posted: 30 Aug 2024 Full Time / Part Time: Full Time Contract Type: Permanent At Vodacom, we’re working hard to build a better future. A more connected, inclusive and sustainable world. As a dynamic global...
  17. Jamii Opportunities

    Senior Instructor/Assistant Professor, Urology at Aga Khan University

    Senior Instructor/Assistant Professor, Urology Entity - Aga Khan Health Services Location - Tanzania Introduction Aga Khan University, a private, self-governing international university chartered in Pakistan in 1983, is a role model for academic, research and service programmes in health and...
  18. M

    Mtu mwaminifu, mbunifu, na mwenye bidii anatafuta nafasi ya kazi

    Habari za majukumu wakuu? Natumaini mko salama. Ningeomba msaada wenu wa hali na mali katika kunisaidia kupata nafasi yoyote ya kazi. Nina imani kuwa kwa msaada wako, nitapata nafasi itakayoniwezesha kutumia uwezo wangu na kuchangia kwa mafanikio ya mtu binafsi, shirika au kampuni yoyote. Mimi...
  19. E

    Matumizi ya Affidavit au Deed Poll katika kuomba Ajira Je, hii inaweza kuwa kama udhaifu wa kufanikiwa?

    Wadau hivi katika suala la kuomba ajira mpaka kwenye interview,je ukiwa unatumia AFFIDAVIT AU DEEDPOLL kutokana na changamoto ya majina. Je, hii inaweza kuwa kama udhaifu kwako wa uwezekano wa kufanikiwa?
  20. S

    Natafuta Kazi ambayo hahitaji Elimu

    Ni matumaini yangu mu bekheri wa afya wakuu kwa wanaoumwa poleni sana na mtakuwa sawa tena. Mimi ni kijana wa miaka 26 -28 nipo Jijini Mwanza ahangaika ila katika mihangaiko yangu mambo yamekuwa magumu deals zimekata kbs hadi nachanganyikiwa pesa sina kodi ndio imefika na kama mjuavyo Mwanza...
Back
Top Bottom