Al Jazeera (Arabic: الجزيرة, romanized: al-jazīrah, IPA: [æl (d)ʒæˈziːrɐ], literally "The Island", though referring to the Arabian Peninsula in context) is a free-to-air international Arabic news channel based in Doha, Qatar that is operated by the media conglomerate Al Jazeera Media Network. The channel is a flagship of the media conglomerate and hence, is the only single offering to carry the name as simply "Al Jazeera" in its branding.
The channel's willingness to broadcast no holds barred views, for example on call-in shows, created controversies in the Arab States of the Persian Gulf. One of the station's office was the only channel to cover the War in Afghanistan live.The parent holding is a "private foundation for public benefit" under Qatari law. Under this organisational structure, the parent receives funding from the government of Qatar but maintains its editorial independence. The network is sometimes perceived to have mainly Islamist perspectives, promoting the Muslim Brotherhood, and having a pro-Sunni and an anti-Shia bias in its reporting of regional issues. Al Jazeera insists it covers all sides of a debate and says it presents Israel's views and Iran's views with equal objectivity. Al Jazeera has aired videos released by Osama bin Laden.In June 2017, the Saudi, Emirati, Bahraini, and Egyptian governments insisted the closure of the entire conglomerate as one of thirteen demands made to Government of Qatar during the Qatar diplomatic crisis. Other media networks have spoken out in support of the network. According to The Atlantic magazine, Al Jazeera presents a far more moderate, Westernized face than Islamic jihadism or rigid Sunni orthodoxy and though the network has been criticized as "an 'Islamist' stalking horse", it actually features "very little specifically religious content in its broadcasts."
Hakuna haja ya salamu.
Hali imezidi kuwa mbaya kwa upande wa Palestina baada ya kuanzisha mashambulizi Israel. Waisrael wameendelea kumimina mabomb maeneo mbalimbali ya palestina hasa huko GAza na kuleta hali ya Umauti Mauti kwa wakazi wa eneo hilo.
Wapalestina wengi wameonekana wakisikitishwa...
MAHOJIANO NA MOHAMED VALL WA AL JEZEERA 2007
Jana nilikuwa naangalia Al Jazeera yanayotokea Gaza mara nikamuona mtangazaji wa Al Jazeera, Mohamed Vall anatangaza habari za vita hivi.
Mohamed Vall akanikumbusha mahojiano tuliyofanya nyumbani kwangu Dar es Salaam na Tanga kati ya mwaka wa 2007...
Waandishi wa habari undercover wanajifanya kuwa majambazi wenye dola bilioni moja za pesa chafu zinazohitaji kusafishwa. Wanapata upenyo kwa wanachama wa Afrika wa Gold Mafia na kurekodi mikutano ya siri na viongozi wa uhalifu.
Balozi Mkubwa wa Afrika anatoa huduma ya kutakatisha pesa chafu...
Marekani na Umoja wa Mataifa wamelaani vikali mauaji ya mwandishi wa habari wa Al Jazeera ambaye alikuwa anaripoti kuhusu operesheni ya jeshi la Israel katika ukingo wa magharibi.
Shireen Abu Akleh, m
Mmarekani mwenye asili ya Palestina mwenye umri wa miaka 51, alipigwa risasi licha ya...
Mwandishi wa habari Shireen Abu Akleh enzi za uhai wake
Mwandishi wa habari wa Al Jazeera Shireen Abu Akleh (51) ameuawa kwa kupigwa risasi ya kichwa akiwa katika majukumu yake ya kazi wakati akifuatilia uvamizi wa Jeshi la Israel kwenye kambi ya wakimbizi ya Jenin.
Wizara ya Afya ya Palestina...
Shirika la Habari linalomilikiwa na Serikali ya Uturuki, Anadolu Agency (AA) limetoa kibali cha kutumiwa kwa ofisi zake katika mji wa Gaza kwa Mashirika ya Habari ya Al Jazeera na Associated Press (AP) baada ya ofisi zao kuharibiwa na shambulio la kombora la Israel siku ya Jumamosi...
Mashambulizi ya makombora katika eneo la Gaza yanaingia siku ya sita mfululizo, huku idadi ya vifo ikiongezeka kufikia watu 140, wakiwamo watoto 39.
Israel imeendelea kutumia makombora kushambulia majengo marefu katika eneo la Gaza, ikilenga jengo la ofisi za Shirika la Habari la Al Jazeera na...
Kipindi ni The Stream.
Kinaongozwa na Femi Oke.
Wageni ni Ansbert Ngurumo, akiwa yupo Stockholm, Sweden na Dkt. F. Minja, kutokea Atlanta, GA, USA.
Mazungumzo ni kuhusu madai ya Rais Magufuli kuhusu COVID-19.
Baada ya kukaa kizuizini kwa zaidi ya miaka minne, mwandishi wa habari wa Al Jazeera, Mahmoud Hussein ameachiwa siku ya Ijumaa.
Hussein, raia wa Misri, alikamatwa mwezi Disemba mwaka 2016 kwa tuhuma za kuandika habari za uwongo. Shirika la Habari la Al Jazeera lilifanya kampeni kila siku kutaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.