Tanzania Yangu ya sasa imekosa alama yaani haina Identify kabisa. Je, ni nini alama ya Taifa letu kwa mgeni?
Kwa mfano mgeni akitoka Marekani, China, Hispania au Ufaransa je, atatambua vipi hapa amefika Tanzania?
Ukiingia China utakuta Maandishi ya kichina Kwenye Mabango, hivyo hivyo ukienda...