alama

  1. Kidagaa kimemwozea

    Fanya hivi kuepuka kukosa mawasiliano utakapofungiwa na TCRA kama hujasajili kwa alama za vidole

    Muda wa kutumia simu kadi ambazo hazijasajiliwa unafika ukingoni January 20 huku kukiwa na siku mbili tu mbele. Watanzania lukuki bado hawajakamilisha zoezi hili muhimu huku sababu kubwa ikitajwa ni NIDA kuwa na mwendo wa kinyonga, pamoja na hayo TCRA wametoa msisitizo kuwa hawataongeza muda...
  2. P

    NECTA huwa wanasahihishaje mitihani yao? Nimepata mashaka ya alama za ufaulu wa wadogo zangu

    Nina wadogo na ndugu zangu watano waliofanya mtihani wa kidato cha nne mwaka jana ambao matokeo yao yametoka mapema mwaka huu. Kati ya wadogo zangu watano watatu wamepata daraja la kwanza na mmoja wao amepata daraja la kwanza la alama 10 kati ya masomo kumi aliyofanya amepata A's 4 za masomo ya...
  3. Da'Vinci

    The Greatest Man in Universe: Kijana mdogo aliyefanya makubwa na kuacha alama akiwa na umri mdogo

    Salute Mnamo mwaka wa 4BC jijini Galilaya katika kitongoji kiitwacho Nazareth kulikuwa na familia ya Bw. Joseph na mkewe Maria; walipata mtoto wa kiume wakamwita Jina Yeheshua au Yesu. Ilikua ni moja ya kaya ya kimaskini, Bw. Joseph alikua anajishughulisha na shughuli za uchakataji wa mbao...
  4. Nakle_750

    Je, naweza kwenda HGE au HGL kwa alama zifuatazo

    Samahan wakuu, Je, naweza nikaenda HGE au HGL kwa alama zifuatazo: History-C Geo-D Math-D English-C Literature-C Msaada wenu wakuu
  5. Gemini Are Forever

    Alama "G" na "E" humaanisha nini kwenye simu pale unapotumia Data?

    WanaJF habarini! Mara nyingi niwapo Vijijini (sehemu ambazo network ni dhaifu) napendelea kutumia simu ndogo (ya batani/java phone) maana smartphone huwa slow kupita kiasi tofauti na simu ndogo. Pale nikiwa kwenye data huwa inatokea alama "E" lakini kuna baadhi ya maeneo nikiwa kwenye data...
  6. simba tupo wengi

    Kwanini tusiboreshe uholela wa kuzagaa fingerprints?

    Kama kuna uwezekano line na mitandao ya simu kutenganishwa ingekuwa ni vizuri sana. Yaani anayetoa line na namba awe taasisi moja, halafu kuwe na teknolojia ya kuruhusu mtumiaji kutumia na kuhama kwenye kampuni atakayopenda wakati anapotaka kwa kutumia simu yake. Yaani line yako uweze...
  7. Miss Zomboko

    Rais Magufuli aongeza muda kwa usajili wa laini kwa alama za vidole

    Rais John Magufuli ameongeza siku 20 kuanzia kuanzia Januari 1-20 kwa watu wote watakaoshindwa kusajili laini zao za simu ifikapo Desemba 31. Pia, leo Desemba 27 Rais amefanya usajili wa laini yake kwa kutumia alama za vidole Mwananchi ====
  8. Richard

    TCRA kufunga simu zisizosajiliwa ni mpango wa serikali kuwabana wale wanaotumia simu kusambaza habari za uzushi au fake news

    Habari za uzushi za kutekwa kwa mdhibiti mkuu wa fedha za serikali wa zamani Profesa Assad zimezusha taharuki kubwa. Na mpaka ilipoibuka video mitandaoni ambapo Profesa Assad anaonekana yupo salama na mwenye afya njema, watu wengi waliingiwa na hofu kubwa. Ifikapo tarehe 31 Desemba mwaka huu...
  9. Gemini Are Forever

    Mawakala wanaouza laini zilizokwishasajiliwa kwa alama za vidole wamesajili laini hizo kwa vitambulisho vya nani?

    Heri ya Krismas na Mwaka mpya wanaJF! Usajili wa laini kwa alama za vidole umekuwa changamoto kubwa sana miongoni mwetu hapa nchini. Kutokana na hilo watu wamekuwa wanachukua njia mbadala ili kuepuka kufungiwa laini zao. 1. Baadhi huwachukua marafiki/ndugu/jamaa wenye vitambulisho na kwenda...
  10. Influenza

    Arusha: Aliyekuwa Mgombea wa Ujumbe katika Serikali ya Mtaa akutwa kwake akiwa amefariki huku akiwa na alama kukatwa shingoni

    Aliyekuwa Mgombea katika nafasi ya Ujumbe wa Serikali ya Mtaa ya eneo la Mnara wa Voda, kupitia CHADEMA kabla ya Chama hicho hakijajitoa kushiriki, Sirili Homary amekutwa amefariki dunia nyumbani kwake huku akidaiwa kukatwa na kitu chenye ncha kali shingoni Kamanda wa Polisi Mkoani Arusha...
  11. Suley2019

    Dodoma: Mh. Kangi Lugola asema hakuna Mtanzania ambaye atafungiwa laini yake ya simu kwa sababu ya kutosajili kwa alama za vidole

    SERIKALI imesema, hakuna Mtanzania amabaye laini yake ya simu itafungwa kwasababu ya kutosajiliwa kwa alama za vidole. Kauli hiyo ameitoa Kangi Lugola, Waziri wa Mambo ya Ndani, alipozungumza bungeni jijini Dodoma leo tarehe 13 Septemba 2019. Amesema, ni maelekezo ya Rais John Magufuli kwamba...
  12. Makanyaga

    Simu milioni 30 hatarini kuzimwa kwa kukosa usajili wa alama za vidole

    Takriban nusu ya laini milioni 44 za simu zinaweza kufungwa iwapo kasi ya utoaji vitambulisho vya Taifa haitaongezeka katika siku 49 kuanzia leo. Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema itazizima laini hizo ifikapo Desemba 31 iwapo wamiliki watakuwa hawajajisajili kieletroniki kwa...
  13. bowlibo

    Usajili wa laini za simu kwa alama za vidole against ujumbe uliozagaa leo

    Wadau habari za wakati huu. Naenda kwenye mada moja kwa moja. Leo nimepokea jumbe zenye maana na angalizo jumuishi kama hiyo attachment inavyojieleza. Sasa swali ninalojiuliza ni kwamba iwapo mimi nimeshajisajili kwa kuchukuliwa alama za vidole kwa nini mtu mwingine ajisajili kwa kutumia namba...
Back
Top Bottom