Kama kuna uwezekano line na mitandao ya simu kutenganishwa ingekuwa ni vizuri sana.
Yaani anayetoa line na namba awe taasisi moja, halafu kuwe na teknolojia ya kuruhusu mtumiaji kutumia na kuhama kwenye kampuni atakayopenda wakati anapotaka kwa kutumia simu yake.
Yaani line yako uweze...