alibaba

Alibaba Group Holding Limited (also known as Alibaba Group and as Alibaba) is a Chinese multinational conglomerate holding company specializing in e-commerce, retail, Internet, and technology. Founded on 4 April 1999 in Hangzhou, Zhejiang, the company provides consumer-to-consumer (C2C), business-to-consumer (B2C), and business-to-business (B2B) sales services via web portals, as well as electronic payment services, shopping search engines and cloud computing services. It owns and operates a diverse array of businesses around the world in numerous sectors, and is named as one of the world's most admired companies by Fortune.At closing time on the date of its initial public offering (IPO) – US$25 billion – the world's highest in history, 19 September 2014, Alibaba's market value was US$231 billion. It is one of the top 10 most valuable and is the 59th biggest public companies in the world by Global 2000 list. In January 2018, Alibaba became the second Asian company to break the US$500 billion valuation mark, after its competitor Tencent. As of 2018, Alibaba has the 9th highest global brand valuation.Alibaba is the world's largest retailer and e-commerce company, is on the list of largest Internet companies and artificial intelligence companies, is one of the biggest venture capital firms, and one of the biggest investment corporations in the world. The company hosts the largest B2B (Alibaba.com), C2C (Taobao), and B2C (Tmall) marketplaces in the world. Its online sales and profits surpassed all US retailers (including Walmart, Amazon, and eBay) combined since 2015. It has been expanding into the media industry, with revenues rising by triple percentage points year on year. It also sets the record on the 2018 edition of China's Singles' Day, the world's biggest online and offline shopping day.

View More On Wikipedia.org
  1. KISUNZU YP

    Nataka kuagiza mzigo Alibaba

    Wadau habari za leo naomba kupata majibu. Nina mpango wa KUAGIZA MZIGO wa mashine ya kusaga karanga. Je, nitaibiwa au ni salama mizigo itafika?
  2. De Professor

    Aliyewahi kuagiza Alibaba au anajua office zao zilipo kwa Dar

    Wadau naombeni nisiwe na mambo mengi naombeni kujua yeyote aliyewahi agizia mzigo Alibaba ulimfikia vipi na ofisi za agent zao hapa Dar zipo wapi? Mimi nina experience na Kikuu nimeagiza sana na kupokea mizigo yangu mara ya mwisho nilinunua mzigo wa Million 1,200,000/= nilifanya maana ofisi zao...
  3. chizcom

    Mtandao wa Alibaba umekuwa na matapeli wengi

    Kwa nini China inashindwa kudhibiti mtandao huu Alibaba kwa sasa! soko kubwa lipo china ndio chimbuko la mtandao huu? Yani kama ufahamu ujuzi wa kutumia mtandao huu,unaweza kulia kilio cha mvua kabisa. Alibaba kama china na tajiri wao isipoweza kuzibiti basi kunaweza kusababisha china na...
  4. Mapank

    Mtandao wa Alibaba una magari ya bei nafuu sana, Sijajua ushuru wake kuyaingiza nchini

    Nimepitia mtandao wa Alibaba, naona kuna magari ya bei nafuu sana kuliko mitandao ya magari tuliyoizoea, Na kuna magari mengi ya umeme ya chini ya 5M Tzs, Sijajua ni kuna mlolongo upi wa manunuzi na masuala ya tax clearance kwenye bisahara ya magari huko Alibaba mpaka watu wanakomaa na mitandao...
  5. M

    Vipi naweza kuagiza mzigo kupitia kampuni ya Alibaba mzigo ukafika salama?

    Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nahitaji kuagiza machine ya incubator hivyo kuna duka wanahitaji kuniuzia hiyo machine lipo China kupitia alibaba ebu nipeni uzoefu mliowahi kuagiza MZIGO nje ya nchi kupitia alibaba
  6. nyamwingi

    Namna ya kujua Supplier fake ununuapo Online kama Alibaba

    Wakuu mimi ni miongoni mwa watu wanaonunua vitu online hasa Alibaba kwa bahati nzuri hadi leo hii sijawahi kukutana na kuibiwa. Hili nalileta kwenu kwa muda huu nimeona kwenye magroup ya Whatsapp zikipita jumbe nyingi zikitahadharisha wizi uliopo huko China kwa manunuzi ya online. Sasa kabla...
  7. BLACK_WIDOW

    Naomba Ufafanuzi kuhusu Kuagiza Bidhaa Mtandaoni

    Asalaam Aleykum wakuu poleni na majukumu ya hapa na pale, shida yangu ni kuhusu hizi online market Alibaba na Amazon, Naomba kwa wanaofahamu wanipe ABCD's kuhusu uaminifu wao, na kama kuna scammers nawatokaje. Nina hitaji kununua gemstone, niliingia Alibaba nimeona kuna masonara wa Pakistan...
  8. Bujibuji Simba Nyamaume

    Alibaba na wezi 40

    ALIBABA NA WEZI 40 SURA YA KWANZA: HAZINA KATIKA PANGO Hapo zamani za kale katika mji wa persia waliishi ndugu wawili mmoja aliitwa Kasim na mwengine aliitwa Alibaba, ndugu hawa wawili walikuwa na baba yao ambae alikuwa na uwezo wa kifedha kidogo ambae alipokufa waligawana mali zake mgao sawa...
  9. JZHOELO

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Imekuwa ni shida sana kwa watanzania wengi kununua bidhaaa katika masoko haya ya mtandaoni kwani mengi huwa hayakupi fursa ya kutumiwa mzigo wako moja kwa moja Tanzania. Baadhi ya thread zilianzishwa na zimeelezea mengi sana kuhusiana na manunuzi haya ya mtandaoni, ila tulipata ufumbuzi mdogo...
  10. H

    Mwenye uzoefu na DHL kusafirisha mzigo kutoka Alibaba

    Habarini watanzania wenzangu, Naomba kupata uzoefu wenu ambao mmewahi kusafirisha mizigo yenu mliyonunua mtandaoni hususani Alibaba kwa kutumia DHL Express, gharama zao zikoje kwa 1kg, na pia mzigo unachukua siku ngapi kufika, lakini pia mlifanyaje kuweza kutumia DHL maana katika options za...
  11. lwifunyomangula

    Mpesa MasterCard Tanzania: Kama unapenda uhakika wa malipo yako mtandaoni USIITUMIE

    Habari wana-bodi, kwa Majina naitwa Lwifunyo Mangula, ni mmoja wa watu wanaopenda technolojia ikiwamo IT ninaifurahia na nina kautaalamu kidogo kuhusu online business maana ninapenda hivyo vitu. So hapa nipo kutoa ushauri kwa wadau wengine kuhusu MPESA MASTERCARD TANZANIA kulingana na UZOEFU...
  12. Samedi Amba

    Kati ya AliBaba na Amazon, nani mkali Bongo?

    Juzi nilikuwa mtandaoni, nikastumble upon uzi unaolinganisha Alibaba na Amazon. Nikaona jinsi ambavyo wanaendana bega kwa bega kwa vitu vingi tu. Tukizingatia pia kuwa watanzania wengi wanaelekea Mashariki china dubai nk kununua vitu. Lakini swali linabaki, kati ya hawa magwiji wawili, nani...
  13. S

    Tusaidiane! Kosa linakuwa wapi kununua mtandaoni?

    Wiki Iliyopita nimepigiwa simu na Rafiki yangu akihitaji msaada namna ninavyoweza kupata suluhisho ya jambo limetokea kwenye kampuni "Y" ambayo ni ya rafiki yake juu ya manunuzi waliyofanya mtandaoni. Case ilikua kama hivi, Kampuni Y ya Tanzania ilikua inahitaji kemikali yenye form ya powder...
Back
Top Bottom