Tumekuwa tukisema walijenga waafrika weusi zile pyramids. Na tunasema zamani waafrika walikuwa wana akili sana (wazungu wakaiba akili bila shaka) tukabaki mabumunda tu. Au sivyo?
Sawa weusi ndo walijenga na kutawala Egypt na Waafrika ndo walikuwa na ustaarabu mkubwa miaka hiyo.
Swali. Baada...
Kuna stori nyingi hasa za wanafunzi wa shule za sekondari kuona au kukutana na viumbe wa ajabu ajabu wasioeleweka ambao wamepewa jina maarufu la vibwengo.
Stori nyingi huwa zinawahusisha hawa viumbe wanaodaiwa kuonekana na uchawi, tatizo kubwa Waafrika mambo mengi yasiyoeleweka huwa...
Tukio La Varginha (Roswell ya Brazil).
Tarehe 13 Januari 1996 Komandi Ya Anga Ya Anga Ya Amerika Kaskazini (NORAD) ilitoa tahadhari kwa majeshi ya Brazil, kwamba kuna kitu kisichotambuliwa (UFO) kilomita 300 katika anga la mji wa Sao Paulo.
Wakati jeshi la Brazil linaanza kuchukua hatua...
Miaka 30 baadae, nashawishika kuwa wanafunzi wale 62 wa miaka kati ya 6 hadi 12 katika shule iliyopo Zimbabwe waliona vitu ambavyo havikuwa vya dunia hii.
Ilikuwa ni asubuhi ya saa nne tarehe 16 mwaka 1994, wanafunzi hawa wakiwa break. Miongoni mwao walisema waliona chombo mfano wa ndege huku...
Salaam, Shalom!
Kwanini watu waliotokea kuwa na akili nyingi sana tangu utotoni huitwa geniouses?
Je watu hao, Wana mahusiano yoyote na aliens Kutoka Ulimwengu mwingine?
Na kwanini watambulike kama geniuses wakati Kwa kawaida genius ni Neno linalotokana na genie au jini/ majini?
Kwanini...
Habari jukwaani kwa wawafatiliaji wa movie za aliens sizani kama Kuna movie Bora kuizidi invasion ambayo iko season two episode ya 7 week hii ubora wake ni
1. kwanza Aliens hawajavamia america tu ni world wide.
2. Aliens hawaongei kingereza Wala hawafati linguistics yetu.
3. Mapambano...
Vitabu vitakatifu vimeandika kuwa Mwenyezi Mungu aliumba vitu vinavyoonekana na visivyoonekana, inaaminika kuwa vitu visivyoonekana ni vingi kuliko vinavyoonekana.
Viumbe hao wa ajabu waishio angani wanaitwa Aliens. Inaaminika wana muonekano kama binadamu isipokuwa hawafanani moja kwa moja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.