alikiba

  1. sky soldier

    Tatizo nyota au? Ni wiki sasa Jealous ya Alikiba haijashika namba 1 trending licha ya views nyingi

    Mmakonde kaamua kumkata matumaini kabisa Binafsi nashangaa kuona hii ni video ya pili mfululizo ya kiba haijafika kilele cha trending, Nahisi ni sababu Ali kiba kaanza kulipia matangazo ya kulipia fb na insta ya sponsored (kama la kwenye picha ya chini), haya matangazo unaweza kuchagya...
  2. Kigoma Independent

    Alikiba kwa Hali hii hauwezi kuwa wa kimataifa unatuletea kwaya

    Tuwe wakweli nilidhania kuwa Alikiba amejifunza kitu kutoka kwa Mwalimu wake Diamond Platinumz kuhusu on how to sing international collabo ila cha ajabu ametutia aibu tu. Jelaous ya Alikiba imedhihirisha kuwa hakuna kitu anaweza fanya naona hata Ile salute kaotea sana. Rayvanny na Mayorkoun...
  3. kibaWaKitaa

    Alikiba alamba dili nene

    Msanii wa muziki wa bongo fleva "Ali saleh kiba" maarufu km kingKiba au alikiba amepata ubalozi wa kampuni ya uzalishaji wa vinwaji vya energy drink vinavyofaamika kama "HORSE POWER ENERGY " kutoka Australia.Ifaamike kua kampuni io ni moja kati ya wadhamini rasmi wa timu ya ligi kuu ya England...
  4. katoto kazuri

    Zuchu anajua kuimba kuliko Alikiba?

    Jamani nashangaa kuona hili hivi mnasema alikiba hajui kuimba kuliko zuchu? nyimbo ya alikiba salute ya mwezi huu imekata vizuri tu. na hii ya bibie inaitwa nyumba ndogo kazi kwenu nani mkali
  5. B

    Hivi Ali Kiba alimaanisha nini alipoimba kwa kusema 'Ushamba mwisho kwa mtoto wa Kariakoo'?

    Wakulungwa inakuwaje? Kwa wale mliowahi kukaa na kuishi mitaa ya kariakoo au mpaka sasa mnaishi hapo Kariakoo naombeni mnijuze kwa wale mnaojua hii kauli ya watoto wa Mjini akina KINGKIBA wa maeneo ya kariakoo wanayopenda kutumia kuwa "USHAMBA MWISHO KWA MTOTO WA KARIAKOO" wana maana gani maana...
  6. goodlif1600

    Alikiba ni msanii mwenye taste unique

    Tangu nimeanza kufuatilia mziki huu wa Kitanzania, Bongo fleva nimesikiliza nyimbo za wanamuziki wengi. Lakini huyu mwanamuziki Ana taste flani ukiwa unamsikiliza iko unique Sana. He knows how to sing, kiukweli tukiachana na drama au siasa kwenye mziki it's not a shame to say hata ambao...
  7. kibaWaKitaa

    Wimbo wako pendwa kutoka kwa Alikiba ni upi?!

    Tukianza na mm km mimi wimbo wangu pendwa kutoka kwa mfalme huyu wa bongo fleva ni "MBIO". Kwanini mbio?ni wimbo ambao uandishi wake naupa 100%...melodies99.9%...beat..99.8%...mm co mtaalam sana ila naeza sema utunzi wake umejitoshelezaa.! Wewe je ni upi wimbo wako pendwa na kwanini!?
  8. DR HAYA LAND

    Alikiba is the only best musician found in Tanzania

    Without any vague , Alikiba has achieved to maintain the game of Bongo fleva almost seventeen years without any opponent. This new song Infedile which mixed by French words is very untouchable .... #Domo Nyange is outdated musician.
  9. sky soldier

    Siku ya tatu hii Alikiba kashindwa kung'ara YouTube, tatizo nini?

    Naona alikiba tangu atoe juzi ngoma yake ya mediocre hakaweza kabisa kuwa trending namba one youtube, Tatizo ni nini?
  10. Dr Matola PhD

    Ali Kiba Fans' Special Thread...

    Mashabiki wa Ally Kiba wajumuike hapa kumpa ushauri what is next baada ya mashabiki kuonesha mapenzi yao ya dhati kwa Kiba kwenye Fiesta na kuandika historia mpya Tanzania. Mimi kama Matola nitatumia effort zangu binafsi kuhakikisha nakutana na Kiba na manegement yake ili kuwapa mikakati ya...
  11. Da'Vinci

    Uwezo wa kujenga hoja wa mashabiki wa Ali Kiba unasikitisha na kuhuzunisha

    Mimi ni mshabiki halisi wa CEO na mwanamuziki Diamond platinumz, nimejitahidi sana kumantain principle hiyo niliyoieleza hapo juu kwa msanii huyu ila nimeshindwa maana anapendwa na watu wengi sana ila tofauti na watu wengine wengi mimi na wengine wachache ninamkubali zaidi mtu huyu kutokana na...
  12. Mshumaa_Tz

    Kinachomfanya Alikiba asishuke kimuziki sio huruma ya watanzania bali ni tungo zake Matata sana

    Habari JF Watu baadhi walikuwa wakizusha, kuwa Alikiba anatumia huruma ya Watz , hili kuendelea kusumbua hapa Tz. Lakin sio kweli msanii Alikiba amejaliwa sauti nzuri yenye mvuto wa aina yake na, pia katika uandishi amefanikiwa kuliteka soko. Huwezi kuwa na akili timamu ukasikiliza nyimbo za...
  13. Singida ndio home

    Man Water: Ali Kiba hajanilipa, kaenda kurudia nyimbo tulizofanya kwingine

    Man Water ni miongoni mwa ma producer hodari aliewatoa wasanii wengi kama kina 20% ila baada ya kutoelewana 20% akapotea. Katika mahojiano na Azam TV, amesema kuwa kuna nyimbo kadhaa alizofanya na msanii Ali Kiba lakini hawajazirelease kwa sababu hazijalipiwa. Anasema kuwa licha ya kwamba...
  14. CONTROLA

    Siri ya ukimya wa mfalme(KING) Alikiba kutoa nyimbo ya bumburuka, Man walter kamwaga mchelee kweupe

    Nikitia neno hapa nitaambiwa napendelea, msikilizeni wenyewe Man Walter
  15. N

    Shikamoo Alikiba, shikamoo Diamond!

    AliKiba: huyu jamaa ni mwanamuziki mzuri kwakweli. anafanya kazi kivyake na hana shobo za kijingajinga. anatoa nyimbo anapoona inafaa kufanya hivyo. anapondwa kweli humu JF na watu wanaojiita ni magreat thinkers. ukiziangalia sana sababu zenyewe za kupondwa kwake, utagundua kuwa shida ni wivu...
  16. H

    Ali Kiba ajifunze kwa huyu

    Hiv karibuni wakati Diamond akifanya press conference ya kuzindua tamasha lake la Wasafi Festival akaulizwa swali na mwandishi "Ali Kiba hivi atakuwepo? Diamond akamjibu bifu hazisaidii kitu Kama tutakubaliana sawa anaweza kuwepo. Baada ya hayo Kiba akalipuka huko kwenye insta "mithili ya mtu...
Back
Top Bottom