Habari zenu jamani
Bila kupoteza muda ,,, kumeanza kuchangamka, leo hii navyoandika dumu la mafuta ya kupika ya Alizeti huku nilipo limefikia sh 120,000/= ni wiki moja tu nyuma lilikuwa 105,000/=
Ikiwa na maana kwasasa gharama kwa sasa zitakuwa kama ifuatavyo
Lita moja = 6000/=
Nusu...